Kwani hadi wasafi festival wameshanyonywa?? Hhahahaha wabongo bana
Wasafi Festival hivi itakuwa inajumuisha wasafi tu au na wasanii wengine?
Kama na wasanii wengine watahusishwa sitoshangaa kusikia malalamiko kuwa wasanii wanalipwa pesa ndogo na hapo ndipo utashangaa iweje aliyekuwa analalamika kunyonywa na Ruge naye ananyonya wengine kama ambavyo imetokea kwa Rich Mavoko.
Wasanii uwa sijui wanakuwa wamezibwa macho wakati wakuingia mikataba maana uwa nashangaa mkataba asaini yeye halafu aje kusema ananyonywa.