Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Uzuri mwengine ni diamond mwenyewe hizi tuzo anahamasisha watu kumpigia kura tofauti na ilivyo kuwa KTMA hata mashabiki wake hawakupiga kura ki vile!Ana mashabiki wengi sana ukiacha tanzania
Nakwambia shughuli hapo ipo tena sio kidogo!!Kiba aombe sana kwa mungu ili ashinde hii tuzo ila akishinda Diamond litakuwa ni pigo moja takatifu kuwahi kutokea kwa kiba