Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Uzuri mwengine ni diamond mwenyewe hizi tuzo anahamasisha watu kumpigia kura tofauti na ilivyo kuwa KTMA hata mashabiki wake hawakupiga kura ki vile!Ana mashabiki wengi sana ukiacha tanzania

Nakwambia shughuli hapo ipo tena sio kidogo!!Kiba aombe sana kwa mungu ili ashinde hii tuzo ila akishinda Diamond litakuwa ni pigo moja takatifu kuwahi kutokea kwa kiba
 
R Kelly, Amani, 2Face, 4x4, Alikiba, Fally Ipupa, JK, Movaizhaleine & Navio - Hands Across the World

nyimbo ya misaada hiyo usipaishe usipaishe ka vile walijadili collabo la wawili wao tu au hata baada ...


alikuwa anawika enzi hizo na akaishia kushuka hakutoka hata kujulikana boda ya nchi na alidhani ndio mwisho watamsaka tu akikaa chini ya muembe bila kufanya kazi. unaitwa inabidi ujaribu kupaaa usipopaa unalo wewe, na inajulikana mwimbo haukuchukua nafasi ka ule wa MJ..WE ARE ...

Hahaahaaa!... Sikia wewe,ayo mengine sijui eti "kujadili\kuaangaikia collabo" umesema wewe tena bila mashiko Mimi nilichosema kiba kaimba na rkelly iwe amejadili...hakujadili,ameangaikia...hajaangaikia...msaada unajua wewe maana kitendo cha "ZAIDI YA MSANII MMOJA KUIMBA NYIMBO MOJA TAYARI NI COLLABO AU WEWE UNADIFINE VIPI?..embu niambie wewe COLLABO ina maana gani labda?"...sijaona mantiki hasa ya ulichokiandika hapo.
 
Haya bhana itajulikana ifikapo tareh 10/10/15 kule Dallas-states!!!

Muambie kiba asipotezee ela ya nauli kwnd marekani iyo cku iyo ela bora awekee anaze kununua mifuko kadha ya cementi kwajili ya kitengeneza kibanda chake
 
hivi ndio tunavyo taka,tuwe wengi wengi huko nje,niliumia sana kuona wanigeria walivyo zoa tuzo kibaoo daah east afrika tumechua moja tu,kwani wao wana nini na sisi tushindwe tuna nini?

Uki angalia hizo nomination za AFRIMAMA utaona wanaija walivyo jaa wako kma 20 hivi wakati Tanzania wapo wasanii wanne tu diamond,Ali,vmoney na khadija kopa.

Umenena vyema mkuu sikufikiria kwenye teamondi kuna watu kama wewe maana kwa comment za wengine wa team yenu hawajapenda ishu ya KIBA kupata nomination kabisa.
 
hiyo nana hata isipopigiwa kura itashinda tu. Africa magharibi wenyewe wameinyooshea mikono. hapo Dai tayari ana tuzo mbili

1. nana
2. nitampata wapi
hizi lazima zishinde yaani hamna namna zitashinda tu eee na usipozipigia utapigwa wewe maana hamna namna ya kuzishinda
 
Hivi hawa AFRIMMA wametumia vigezo gani labda. Hivi huyu bwana mdogo (Ommy Dimpoz) ni New comer kweli!???
Huyu si wa kitambo tangu enzi za Nai Nai!?
Labda wenzangu mnalionaje hili!?
Karibuni.

Mkuu hao AFRIMMA wanajua wanachofanya na hawajakosea hapo maana dimpoz ameanza kutoka na NAINAI kwenye mwaka 2011 ivi,so almost ni kama miaka minne ivi imepita kutokea ilipotoka na kujulikana,haya tumuangalie Mondi ameanza kutoka na "nenda kamwambie" mwaka 2010 lakini mwaka Jana(2014) kwenye TUZO alizopata za channel O-Africa...moja ilikuwa ni ya "best upcoming artiste".. Je walikosea na hao channel O???..maana jamaa nae amepata iyo tuzo wakati akiwa na miaka minne nae Kwenye bongofleva.
 
Hapo kiba km yupo nitapga

Mkuu Fanya kweli tena Mara nyingi uwezavyo maana jamaa hawana limitation kabisa so ukishavote unaclick ile "return to vote poll" then unaendeleza kupiga kura.
 
Kweli ushabiki wa team katika bora wake!
Jamani mambo haya ndio yaliyotufanya juzi south afrika tukaambulia tuzo moja tu. Thanks to Naseeb (Diamond) Mungu akuweke.

Kwenye hizo Afrimama award kuna watanzania wengi wamekuwa nominated jamani kuna (bi Khadija Kopa, Vanesa Mdee, Mrisho Mpoto, Ommy dimpoz, Lady Jeydee, na produzer mmoja nimesahau jina) Hawa wote wanahitaji kura zetu sisi watanzania.

Utoaji huu wa habari unavunja moyo unakatisha tamaa washiriki wengine na hata wapiga kura maana sisi wengine hatumo kwenye hizo team zenu so ukianza na habari hizo mwingine haoni sababu ya kuingia kwenye matusi wengine sijui ndio mnajifunza kuongea matusi kwenye hizo team ndiko mnakofanyia practical. Unawafanya watu wasipige kura. Kwa kutokufanya hivyo unawanyima washiriki fursa nyingine ya kutoka. Tuwe more practical and real.

Kitu kingine Naseeb ameingia kwenye category 7 my dia lakini Aly kaingia category moja tu ambayo pia Naseeb yumo mnavyochochea hivyo si afya kwa hawa wasanii na kazi zao lakini pia si afya kwetu sisi watanzania tutachochea mwisho wa siku nchi nyingine ichukue tukose.

Tijipange ili vijana hawa wachukue tuzo tena ikiwezekana category zote ambazo watz wapo tupige kura tuzo zote zije tanzania tunaweza na itawatia moyo sana wasanii wetu. Sio kuwaza ugomvi tu.

Team hizo ziwe kwa faida yao na iwe furaha kwetu watanzania tujivunie uwepo wao.

Mjue kwenda kwao huko kunafungua fursa kwa watanzania sidhani kama Naseeb na Vanessa juzi south africa walienda wao peke yao lazima walienda na watu, waliokutana na mataifa mengine so kuna kitu wameongeza hao be wide kichwani.

Yangu ni hayo. ....... Haya kampigie kura bi. Khadija Kopa na Ommy dimpoz


Haya mambo ilibidi yakemewe mapema sana, sasa naanza kuona tatizo kwa kuona alichokiandika mrisho mpoto kwenye account yake ya instagram, Ameandika hivi "Nimefurahi kwa kuwa nominated AFRIMMA lakini uwezekano wa kushinda ni mdogo kwani mashabiki wa Tanzania wamegawanyika ki timu" . (Nadhani nimeqoute content sio maneno ) sio siri naona a serious problem here. Naona kuna wasanii wamekata tamaa sana daah hadi nimeumia.

Binafsi kila nikipata muda ntawapigia wasanii wote #isipokuwammojatu !
 
Kiba ndo hvyo sasa kashatoboa bila colabo la mnaijeria, yani pure bongo flavor, walisema kiba hadhi yake ni tuzo za kTMA sasa mfalme kakasirika kaamua awapandie kavu kavu na chekecha bila kolabo sasa je hiyo mwezi wa 11 colabo la king na Wizkid likitoka si ndio mtahama nchi, pigeni kelele na mayowe yote King ndo hvyo sasa kaamua kuwafata huko huko sijui mtalia tena mmehujumiwa Hahahaha, alafu mpaka sasa katika category aliyopo king yeye ndio anaongoza kwa kura ndani ya masaa 18 ana kura laki moja akifatiwa kwa mbali sana na Eddy kenzo wa Uganda alafu Diamond yeye wa tatu wamefungana na Dynamiq wa south sudan mpaka sasa teteteteh Hahahaha

#Rockstar4000presents
 
Waganda pia wana huu ugongwa wa team!team za uganda ni team Bebe cool na Bobywine,zikapelekeshana weee hizi team mwisho team bebecool wakasanda kiana!ikaongezeka tena team chemeleon na team zingine nyingi!

Eddy kenzo hana team kama sikosei ila bebecool anayoteam ingawa haina nguvu sana!ninaimani team bobywine watampigia kura eddy kenzo

Kwanza kipenzi umeona wakenya wanavotifuana leo kwenye mitandao ya kijamii? Wanasema sautisoul kwenye MTVMAMA wamepigiwa kura sana na wa Tz kwa hiyo wa kenya wamewakosesha wenzao tuzo.
 
tuzo ambayo dai anaweza shinda labda hiyo ya category na kiba ila hizo zingine asahau

Kwanini mnajifanyaga wapiga ramli mapema hivi? Kwa mantiki hiyo basi penye diamond kiba hapumui? Ni swali tu.
 
Kwanini mnajifanyaga wapiga ramli mapema hivi? Kwa mantiki hiyo basi penye diamond kiba hapumui? Ni swali tu.
nimesema labda" yani kwa mbaali mbona ktma ilitupwa kule akaanza kulialia
 
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Ndugu acha kuteta UJINGA you're self...maana kwa watu wanaojua haya mambo wanakushangaa...ni hivi kila aliyekuwepo kwenye category yoyote ile ana sifa na anavigezo vya kuwa mshindi sasa unaposema kiba hapewi sijui wewe ndo judge?...na unaposema CHIBU ana 7 na zote atapata inamaana hao wenzie kwenye hizo categories majina yao hayaonekani linaonekana lakwake tu ama??,kama ni kupata zote angepata za MTV's sasa...mbona kapata moja kati ya nomination 3 tu???,then unajihakikishia eti tayari ni zakwake ameshashinda,tena kwa maneno kama haya yako ndo yanawagawa waTZ ambao ni TEAMKIBA waanze kupigia wapinzani wa Mondi kwa categories ambazo kiba hayupo wakati inawezekana kabisa kumpigia Mondi ili zote zije home.
 
Mkuu Fanya kweli tena Mara nyingi uwezavyo maana jamaa hawana limitation kabisa so ukishavote unaclick ile "return to vote poll" then unaendeleza kupiga kura.
best male wallah tunabeba cc hatuna category nyingi wala tuzo cc ni hapo nikiamka ni hapo na my best artist in africa wizkidayo


show me the money na johny zimeshinda itaweza ntampata wapi et best song haya #show me the money
 
Back
Top Bottom