Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Hahahaha weni ze oldi wichi izi baki wati du tu ekspecti ledha zani spriding wizadri pawa.hahahaaa

Afta 30 deyzi ovu fastingi zeni shi izi baki ini ze woridi ovi sinsi hahahaha so jokiizi tu sa GODI shua.

Wayi bekozi shi prosidingi hetingi pipo endi hetingi izi wani ovu ze sosi ai mini rutisi ovu sinsi hahahahah

Yakhe njoo upate kidogo kikombe cha kahawaa ..we wasusa wenzio twalaa!

Hahahaaa hivi mna nini lakini? Nisameheni mwenzenu, mnanivunjia mbavu lol!
 
Et nitafurahi n shoo halafu izi afrimam zina nichanganya sn zipo mbili kuna ile ya marekani n za Nigeria cjajua km mdhamini anakuwa huyo huyo mmoja

Acha uongo wewe embu tuletee link ya AFRIMMA ya NIGERIA fasta,maana hiyo hapo juu nimeweka mwenyewe ukiweza nenda kwenye "ABOUT US"...usome biography yao,sawaaa???
 
Mkuu me nakuelewa sana...sana maana ili CHIBU ajiakikishie ushindi wa tuzo zote 6,ilibidi tusigawanyike yani TEAMONDI NA TEAMKIBA wote tumuunge mondi mkono na ili hili lifanikiwe inabidi TEAMMONDI pia waungane na TEAMKIBA kumpigia kiba naye achukue ile moja...huku kwa pamoja pia tukiungana kuwapigia waTZ wengine ambapo MONDI NA KIBA hawapo na kwa namna hii ndo njia pekee ya kuzipata izi tuzo zote hapa TZ,tatizo teamondi wanajikuta sana...pasipo kupima nguvu ya upande wa TEAMKIBA ambao kwa hakika naamini MONDI alikuwa na uwezo wa kupata zile tuzo zote tatu za MTV's MAMA lakini kwa mpasuko huuhuu ulifanya jamaa arudi na tuzo moja tu home na kwa hakika kabisa kura za TEAMKIBA alizopigiwa davido ndo zimemzidi MONDI na kupelekea davido kuchukua ile BEST MALE wakati wote kwa pamoja tungemuunga mkono Mondi lazima tu angepata zote tatu amini usiamini na hilo wazo la TEAMMONDI kusema eti MONDI anamashabiki hadi nje ya TZ hivyo lazima atashinda tu ni kitu kisicho chakuamini sana na wachukulie mfano mmoja tu mbona hakuchukua zote za MTV's.???,kwani hao mshabiki wa nje kawapata leo hii????,teamondi wakubali wakatae nguvu ya TEAMKIBA imemdhuru MONDI kwenye MTV's MAMA,Na huo ndo ukweli halisi.kwa hiyo TEAMMONDI wachague wapate tuzo 6 kati ya zile 7 kwa kuungana na support ya TEAMKIBA uku nao wakimpigia KIBA ili apate ile moja pia AU Wasiungane na TEAMKIBA kumwezesha KIBA kupata iyo moja na wao wapate mbili au tatu kati ya zile 7.
-MY TAKE:Kuzuia hili lisitokee tena kwa Mara nyingine "WE HAVE TO PLAY THE GAME OF THE BENEFIT FOR OUR NATION"...tween these two bongofleva gangsters i.e KIBA & MONDI.

Tuna 30% ya ku contribute katika ushindi. Halafu leo hii ndo umejua kuhamasisha watu waungane? Mimi nitoeni kwenye muungano .
 
Uzuri wa wanaoandaa hizi TUNZO si bora liende USHINDI WA KURA UNA NAFASI WA 30% NA WA MAJAJI NI 70% HII INA MAANA KWAMBA KUNA VITU MAJAJI WANAJIRIDHISHA ZAIDI YA KURA UTAKAYOPIGA.

Mkuu "NO EVIDENCE,NO RIGHT TO ARGUE"... right?, embu lete link yenye criteria za AFRIMMA AWARDS zinazotumika kuchagua WINNERS ili tuamini ayo uyasemayo bwana Sams,usituletee habari za MTV's hapa.
 
Acha uongo wewe embu tuletee link ya AFRIMMA ya NIGERIA fasta,maana hiyo hapo juu nimeweka mwenyewe ukiweza nenda kwenye "ABOUT US"...usome biography yao,sawaaa???

That's y nilisema zina nichaganya kumbe kuna afrimma ya us n kuna afrima ya Nigeria n zote last year diamond alichukua tuzo best east katika awards zote izo mbili so ipo ivi afrimma ya us alingia Ben Paul halafu afrima ya Nigeria alingia peter msechu upo
 
Hao jamaa ni watu wabaya sana...kumbuka walimshindanisha KIBA na shilole wakati uyo shilole hajawai ata kuwa nominated kwenye KTMA tu,Mara sasaivi waseme mrisho mmpoto...bhasi tu ili mradi wana wayawaya kiukweli wanajisumbua "IT'S ONLY A MATTER OF A TIME NEEDED FOR THE KING TO PROVE THEM WRONG!!!

We jamaa una jitahidi kwa nguvu zako zote kuficha mahaba lakini u nashindwa. Rejea post yako ya #253 . Uliandika nini na sasa umeandika nini!
Unajua tulichofanyiwa humu kipindi cha kupiga kura za MTVMAMA?
#uzalendouchaguzimkuutu !
 
Duh! We jamaa naona una utani na Kiba... yaani wamekutana wapi wakati mmoja amekuwa nominated kwenye SINGLE category na mwingine SIX different categories zinazomuhusu yeye moja kwa moja na ya saba aliyoshirikishwa??!! Sema jamaa kana-improve, from KTMA to AFRIMMA East Africa Category!!!!

Mkuu Sijakuelewa ujue kwani kitendo cha wao kuwekwa kwenye category moja yani "BEST MALE ARTISTE EASTAFRICA"...sasa hapo siwamekutana au umeelewaje labda?
 
Tupe ata screenshots tu tuamini mzee,vinginevyo wewe ni muongo tu kama waongo wengine.

IPO ivi afrimam aliingia Ben Paul kabla ya huyo kiba wenu halafu afrima aliingia peter msechu n wimbo wa nyota
N.B Diamond alishomba tuzo zote ktk kipengele cha best male east ktk awards zote
 

Attachments

  • 1437504724145.jpg
    1437504724145.jpg
    54.5 KB · Views: 90
  • 1437504739042.jpg
    1437504739042.jpg
    32.4 KB · Views: 83
  • 1437504834533.jpg
    1437504834533.jpg
    26.2 KB · Views: 87
  • 1437504855482.jpg
    1437504855482.jpg
    25.4 KB · Views: 84
hahahahahaaaaa yaani kibba hana kick ya kollabo na msanii wa nje na bado watu wameona kwamba kuna kitu ndani yake....kawanyooshe baba maana they are stubborn...na wanajifanya hawajui thaman yako in bf industry...huwezi mfananisha nyerere na kikwete ever..

well said & truth noted here!!!
 
moja kama ya Hadija Kopa na Ommy dimpoz....wale ndio saiz yake aache kujilinganisha na mtabe Mondi Bin Laden

Hahaahaaa!.. Mkuu naona unatamani ilo lakini wanaojua kama hao AFRIMMA wamemuita kiba BEST MALE NOMINEE,na huyo Ommy ni chipukizi,kopa yeye ni best female...na sio kama ulivyotaka wewe wawe sawa...Damn!!!
 
Mkuu Sijakuelewa ujue kwani kitendo cha wao kuwekwa kwenye category moja yani "BEST MALE ARTISTE EASTAFRICA"...sasa hapo siwamekutana au umeelewaje labda?
Dah! Inawezekana kweli wamekutana lakini mmoja amekuwa nominated in 6 categories, mwingine kwenye single category...
 
kwa kigezo gani hadi kuwa kwwnye hiyo tuzo??? bora wangemuweka hata Rich Mavoko

Bhasi ndo hamna namna tena KIBA ameshaingia kwenye AFRIMMA AWARDS na huyo mavoko unayemsema hajawa nominated ata kwenye iyo KTMA2015 tu alafu aje atokee hapo kwenye "BEST MALE"..ama kweli chuki kidonda.
 
Hahahahahaaaaa yaani Kibba hana kick ya kollabo na msanii wa nje na bado watu wameona kwamba kuna kitu ndani yake....kawanyooshe baba maana they are stubborn...na wanajifanya hawajui thaman yako in BF industry...huwezi mfananisha NYERERE na KIKWETE ever..
Wameona kuna kitu ndani yake wapi? East Africa? Angalau angekuwa nominated Best Male Africa ungeleta hizo mbwembwe... lakini kubwa kuliko yote, ndugu... wewe wa wapi wewe usiyefahamu maana ya collabo? Hivi huoni hata hao wasanii wakubwa wanatafuta collabo kwa ajili ya kujitanua? There's no way, kwa mfano, unaweza kuingia soko la Angola bila kufanya collabo na Msanii kutoka Angola unless uwe tayari upo juu dizaini za akina P Square! Hivi huoni akina DonaldInDenial wanapotafuta collabo na mt kama Diamond kwa ajili ya kupenya East Afrika? Usije ukajidanganya ukadhani huyo Kiba hazitaki hizo collabo... na yeye anazitaka sema hajazipata!! Achaneni na mawazo ya Ndondo Cup... think Big... think how to cross boundaries badala ya kufurahia sifa za kijinga ambazo hata huyo Kiba mwenyewe hazipendi! Haya mambo mengine msiwe mnaongea mbele za watu waungwana...
 
Hahaahaaa!.. Mkuu naona unatamani ilo lakini wanaojua kama hao AFRIMMA wamemuita kiba BEST MALE NOMINEE,na huyo Ommy ni chipukizi,kopa yeye ni best female...na sio kama ulivyotaka wewe wawe sawa...Damn!!!
Ndugu yangu... status ya King Kiba na Quuen Khadija ni moja kwa kuwa wakati King ni Best Male East Africa nominee, Queen yeye ni Best Female East Africa Nomineee... yaani wote wanapigani nomination ile ile lakini Status ya Ommy Dimple, hata kama ni Chipukizi, ni kubwa kuliko category ya King na Queen kwa kuwa Ommy ni Africa na sio huku East Africa! Hebu mpe shikamoo Ommy Dimple....
 
Hahaahaaa!.. Mkuu naona unatamani ilo lakini wanaojua kama hao AFRIMMA wamemuita kiba BEST MALE NOMINEE,na huyo Ommy ni chipukizi,kopa yeye ni best female...na sio kama ulivyotaka wewe wawe sawa...Damn!!!

Diamond ameitwa kwenye zipi?
 
Kwahiyo mkongwe anayechipukia nae kavuka boda this tym duh!

Yani hapo ilitakiwa kusema mkongwe bora wa kiume Africa mashariki na sio chipukizi ikiwa KTMA2015 hakuwekwa kwenye category ya chipukizi na ata hiyo AFRIMMA hajawekwa hapo kwenye chipukizi,sasa embu tupe vigezo vyako ulivyotumia kumuita ivyo labda???
 
best male wallah tunabeba cc hatuna category nyingi wala tuzo cc ni hapo nikiamka ni hapo na my best artist in africa wizkidayo


show me the money na johny zimeshinda itaweza ntampata wapi et best song haya #show me the money

Mkuu yani full burudani kwa kweli Mimi menyewe ni apo tu kwa kiba siku nzima sina pengine na kwa mda ambao wao wanaompigia MONDI kura 7 sehemu 7 Mimi nishapiga kura 14 sehemu 1 tu!!!
 
Back
Top Bottom