Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Mnapomuita Ally kiba hasimu wa diamond ndo mnapompa bichwa... He can never be Diamonds rival, Diamond is miles away from kiba.. Halafu hiki kitu cha kumlinganisha Na Diamond ndo kinachofanya tunagombana kila siku, hivi kwanini msimshindanishe na wenzake hukoo .. Kwani lazima Diamond!!

Anyweiz hongera kwa ally kuchaguliwa kwenye tuzo za kimataifa ni kitu kizuri katika career yake ya Kimataifa..

Kuhusu Diamond mwendo ni uleule Ushindi.. Maana hakuna namna nyingine

Vote for Diamond

http://afrimma.com/nominees-2015/
 
Mkuu samahani kama umenielewa vibaya hapo,Mimi sijamaanisha kwamba mtu ukiwa TEAMMONDI au TEAMKIBA ndo usipigie kura wengine...hapana si hivyo,Mimi mwenyewe kwa kila step niliyopiga kwa kiba nimempigia na Diva-Vanessa,pia utambue kitendo cha wao kuwa category moja ni tatizo maana ni wazi kwamba mshabiki wa KIBA hawawezi mpigia MONDI na wa MONDI hawawezi mpigia KIBA iyo ipo wazi maana hapo anatakiwa mmoja tu achukue iyo tuzo kati yao,hivyo mtu kama ni mshabiki wa mmojawapo hapo ni ngumu kuwapa wote maana at the end nani atamzidi mwenzie kwa kura ili ashinde sasa.

Oook. Kwa maana hiyo inabidi tusahau hiyo tuzo si yetu tena. Siku zote umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kenya wote watampigia mtu wao halikadhali uganda na nchi nyingine. Sisi watanzania kura zetu zitagawanyika aly nusu, naseeb nusu.

Tukumbuke aly yupo kwenye category moja tu ambayo kwa misingi hiyo ya nusu kwa nusu wakati wenzetu wana nzima aly atarudi mikono mitupu.

Kuna haja na kila sababu ya kuwafanya hawa wawili wawe kitu kimoja ikiwezekana na campaign ya kura hizi wapige pamoja naseeb awe tayari kumuachia aly for the sake of our country huu sasa ndio uzalendo tunaouhitaji.

Na itasaidia wasanii wetu kuwa wengi katika mashindano ya kimataifa. Asijikute naseeb mwenyewe maana si kweli kuwa anafit kila kona. Kona asizofit wawepo kina aly, ommy kuziba mianya.

Kwenye footbal tushashindwa tujipange huku tulikoona mwanga.

Haya shime wazalendo wenzangu
 
Huwa inauma sana mtu anapojibu post kama hii iliyosheheni FACTS, afu yeye anakuandikia "K 4 REAL" au " #TIME WILL TELL" au "MBONA UNAANDIKA GAZETI".
Nikuambie kitu; lazima wajibu hivyo coz' FACTS hujibiwa kwa FACTs ukikosa unaamua kuleta viroja! Kuhusu u-GAZETI, nimegundua Team Ndondo Cup pamoja na kujiona wapo juu na kuwasimanga wenzao kwamba hawjasoma, wengi wao ni vilaza kwahiyo dawa yao ni kuwaandikia mgazeti basi wanaupita kama hawauoni...
 
Kuna haja na kila sababu ya kuwafanya hawa wawili wawe kitu kimoja ikiwezekana na campaign ya kura hizi wapige pamoja naseeb awe tayari kumuachia aly for the sake of our country huu sasa ndio uzalendo tunaouhitaji.

Hakuna Kitu kama hicho...Kama Mbwai mbwai tu

Wampigie Davido kama walivyokuwa wanafanya

Si ni hawa hawa walipiga kampeni Diamond akose Tuzo MTV....Sasa tuone kama hata hii moja ataipata....

Usitende Ubaya ukategemea kutendewa wema
 
Nikuambie kitu; lazima wajibu hivyo coz' FACTS hujibiwa kwa FACTs ukikosa unaamua kuleta viroja! Kuhusu u-GAZETI, nimegundua Team Ndondo Cup pamoja na kujiona wapo juu na kuwasimanga wenzao kwamba hawjasoma, wengi wao ni vilaza kwahiyo dawa yao ni kuwaandikia mgazeti basi wanaupita kama hawauoni...

Unajua nini Mpwa

Watu wenye Inferiority Complex ndio hua wana tabia ya kujifanya wana kitu fulani kumbe hawana...

Umewahi kujiuliza kwa nini Matajiri hua hawajitapi na utajiri wao...ila masikini

Mtu mwenye elimu hajitapi kwa kuwa na elimu yake ila yule hohe hae na mie ndiye anayejifanya ana elimu

Mpwa wewe wape nondo nzito nzito....WATANYOOOKA Tu...Lazima wajue tofauti ya X na Jumlisha
 
NO!!!

Mkuu haijalishi mtu anajibu vipi, cha muhimu umetoa somo la kutosha..

Mimi nimejiunga JF 2012 lakini nilikuwa mzuri sana wa kufuatilia facts humu ndani, siasani, vichekeaho n.k BUT comment yangu ya kwanza ilikuwa mwaka Jana mwishoni..

So ni poa tu watu wengi tunafuatilia hata mtu ajibu pumba, somo limeelewewa
Mkuu umenikumbusha jambo moja; enzi hizo nikiwa member kindakindaki wa Jukwaa la Siasa... wenye busara zao walikuwa hawachoki kusema "Achana nao hao, humu jamvini wengi ni wasomaji kuliko wanao-comment!"
 
Unajua nini Mpwa

Watu wenye Inferiority Complex ndio hua wana tabia ya kujifanya wana kitu fulani kumbe hawana...

Umewahi kujiuliza kwa nini Matajiri hua hawajitapi na utajiri wao...ila masikini

Mtu mwenye elimu hajitapi kwa kuwa na elimu yake ila yule hohe hae na mie ndiye anayejifanya ana elimu

Mpwa wewe wape nondo nzito nzito....WATANYOOOKA Tu...Lazima wajue tofauti ya X na Jumlisha
Unachoongea humu jamvini nimeshawaambia mara kibao kwamba kujitapa kwamba upo level hii au ile ni ulimbukeni uliopitiliza hata kama kweli hicho kitu utakuwa nacho!! Kwa mfano, mtu aliyezaliwa maisha ya kishua, hata siku moja huwezi kumkuta anam-dis mtu wa Uswahilini coz' vile vitu yeye kavikuta na amekuwa navyo kwahiyo anaona kawaida tu!!! Mtoto wa Kishua unasoma Kisutu, Zanaki, KIbasila, Azania, St Anthony, St Mary, n.k halafu mtoto anaesoma IST sijui ajiite nani!!! Na kama ulivyosema, mwenye elimu hajitapi hata siku moja... ukiona mtu ana elimu halafu full mashauzi basi ndo wale wenzangu mimi na elimu zao za kuunga unga!!
 
Umetisha sana mkuu..

Suala la kubebwa kwenye colable ni propaganda yao ya kutuliza maumivu tu, ukweli wanao..

Ukianzia dogo kuwa nominated BEST NEW ACT 201 kwa mbagala 2010 MTVMAMA akiwa na mwaka tu kwenye game

Last year kwa my number one original akapata nomination 4 channel o na kuibuka na tuzo tatu zote hizo ni za pekeyake..

Mdogomdogo last year ikachukuwa IRAWAMA kama best African traditional song ikiikalisha aye ya davido

Mwaka huu ndio kabisa Nitampata wapi mpaka sasa AEA, na hii AFRIMMA imekuwa nominated best african song

LAZIMA WANYOOKE!!!
Kama Mwaka jana
BRAZIL 1 vs GERMAN 7
wanabaki kulialia
Duh! Mkuu hizi sindano za kukumbushiana maumivu ambayo walishayasahau utawafanya waanze kukatwa na maini!!!
 
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za AFRIMMA AWARDS, Najua teamondi hawaamini na ni ngumu kwao kukubali ila ndo ivyo tena jamaa(KIBA) ndo kashavuka mipaka ya TANZANIA nayeye...hivyo muache kejeli na dharau,Najua mwaka huu AFRIMMA watashangazwa na mvua ya KURA zitakazopigwa ambayo haijawai kutokea kabla na hasa zikitokea TZ na kama kwenye hizi TUZO wao wanapiga pesa basi ni wazi hawatosita kuwarudisha hawa jamaa tena mwakani kwenye kinyanganyiro hicho.

-Haya sasa kipenga kimeshalia "TEAMKIBA" na "TEAMMONDI"... Let's go!!!!!


CHANZO:Nominees 2015 |

Mie kura nawapa wote sababu wote ni TZ Ujinga wao nawachia wenyewe,raha yangu ni kuona Awards zinakuja TZ apate Kiba au Mwenzie ntafurahia kua Mshindi au Washindi wa mziki wametoka kwetu full stop.
 
Wakuu kama Msanii bora wa Africa kwa miaka 2 mfululizo na mshindi wa BET mwaka 2014, Davido (OBO) kausoma upepo mapema kuwa No way out ni lazima kupiga collabo na King Kiba.

Ni wazi kwamba mr.Collabo na mfalme wa mbeleko Diamond ni lazima naye afanye kama alivyofanya baba yake Davido kwa kupiga collabo na KingKiba.
Of course, Davido keshaotea kwamba ndo anaanza kupotea hivyo kwahiyo lazima atafute back up kutoka kwa nominee wa East African category ambae tuzo za kupandia ndege kuzifuata anafanya kuzisikia tu kwenye bomba!!!
 
Uungsne na nani wakati wa MTV voting mlijifanya mnajua sanaaaaa!!! Mkaendesha kampeni ya kijingajinga " kampeni davido ..UA mondi" .

Tuliwapa somo LA uzalendo lakini hamkusikia wala kuelewa mkaendeleza fitna zenu na MUNGU akawaumbua .Sasa tunayo tuzo.

Kwakua nyinyi ni mlioshindikana Sasa hivi kila mtu atabeba msalaba wake.hahahahahah

Mtanyooka tu.
Kumbe jamaa wanalia poo!


 
Last edited by a moderator:
Mtaelewa tu
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!
 
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!

Mi naskilizia tu hapa dose zako!tangu asubuhi nafuatilia tu!!
 
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!

Hahahahah eti mtu maarufu zaidi yako akiku-follow ndo anakusaidia khaa!!

Basi mbona Obama amemfollow vannesa ...je vanesa amealikwa whitehouse?

#mtanyooka tu.
 
Hahahahah eti mtu maarufu zaidi yako akiku-follow ndo anakusaidia khaa!!

Basi mbona Obama amemfollow vannesa ...je vanesa amealikwa whitehouse?

#mtanyooka tu.
Kwani huna habari, Vanessa alipelekwa South Africa na Air Force One... bwah! bwah! bwah! Yaani jamvi lina viroja hili... mtu anashangilia Kiba kuwa followed na Davido!
 
Hapa ni sindano za kwinini tu hapa kisha unawaacha wakuchukie kimoyomoyo manake wanajua fika sie tuliozaliwa na kukulia ushenzini hatuna haja ya ku-pretend, mtu akikuzingua, unamzingua tu!

Hahahaaa kwenye ule uzi wa diamond kawatukana sijui wameukimbia!
 
Back
Top Bottom