Uzuri mwengine ni diamond mwenyewe hizi tuzo anahamasisha watu kumpigia kura tofauti na ilivyo kuwa KTMA hata mashabiki wake hawakupiga kura ki vile!Ana mashabiki wengi sana ukiacha tanzania
R Kelly, Amani, 2Face, 4x4, Alikiba, Fally Ipupa, JK, Movaizhaleine & Navio - Hands Across the World
nyimbo ya misaada hiyo usipaishe usipaishe ka vile walijadili collabo la wawili wao tu au hata baada ...
alikuwa anawika enzi hizo na akaishia kushuka hakutoka hata kujulikana boda ya nchi na alidhani ndio mwisho watamsaka tu akikaa chini ya muembe bila kufanya kazi. unaitwa inabidi ujaribu kupaaa usipopaa unalo wewe, na inajulikana mwimbo haukuchukua nafasi ka ule wa MJ..WE ARE ...
Oh...me too jamaniiiiii!
Dada nimeku-mis
Haya bhana itajulikana ifikapo tareh 10/10/15 kule Dallas-states!!!
hivi ndio tunavyo taka,tuwe wengi wengi huko nje,niliumia sana kuona wanigeria walivyo zoa tuzo kibaoo daah east afrika tumechua moja tu,kwani wao wana nini na sisi tushindwe tuna nini?
Uki angalia hizo nomination za AFRIMAMA utaona wanaija walivyo jaa wako kma 20 hivi wakati Tanzania wapo wasanii wanne tu diamond,Ali,vmoney na khadija kopa.
Hivi hawa AFRIMMA wametumia vigezo gani labda. Hivi huyu bwana mdogo (Ommy Dimpoz) ni New comer kweli!???
Huyu si wa kitambo tangu enzi za Nai Nai!?
Labda wenzangu mnalionaje hili!?
Karibuni.
Kweli ushabiki wa team katika bora wake!
Jamani mambo haya ndio yaliyotufanya juzi south afrika tukaambulia tuzo moja tu. Thanks to Naseeb (Diamond) Mungu akuweke.
Kwenye hizo Afrimama award kuna watanzania wengi wamekuwa nominated jamani kuna (bi Khadija Kopa, Vanesa Mdee, Mrisho Mpoto, Ommy dimpoz, Lady Jeydee, na produzer mmoja nimesahau jina) Hawa wote wanahitaji kura zetu sisi watanzania.
Utoaji huu wa habari unavunja moyo unakatisha tamaa washiriki wengine na hata wapiga kura maana sisi wengine hatumo kwenye hizo team zenu so ukianza na habari hizo mwingine haoni sababu ya kuingia kwenye matusi wengine sijui ndio mnajifunza kuongea matusi kwenye hizo team ndiko mnakofanyia practical. Unawafanya watu wasipige kura. Kwa kutokufanya hivyo unawanyima washiriki fursa nyingine ya kutoka. Tuwe more practical and real.
Kitu kingine Naseeb ameingia kwenye category 7 my dia lakini Aly kaingia category moja tu ambayo pia Naseeb yumo mnavyochochea hivyo si afya kwa hawa wasanii na kazi zao lakini pia si afya kwetu sisi watanzania tutachochea mwisho wa siku nchi nyingine ichukue tukose.
Tijipange ili vijana hawa wachukue tuzo tena ikiwezekana category zote ambazo watz wapo tupige kura tuzo zote zije tanzania tunaweza na itawatia moyo sana wasanii wetu. Sio kuwaza ugomvi tu.
Team hizo ziwe kwa faida yao na iwe furaha kwetu watanzania tujivunie uwepo wao.
Mjue kwenda kwao huko kunafungua fursa kwa watanzania sidhani kama Naseeb na Vanessa juzi south africa walienda wao peke yao lazima walienda na watu, waliokutana na mataifa mengine so kuna kitu wameongeza hao be wide kichwani.
Yangu ni hayo. ....... Haya kampigie kura bi. Khadija Kopa na Ommy dimpoz
Waganda pia wana huu ugongwa wa team!team za uganda ni team Bebe cool na Bobywine,zikapelekeshana weee hizi team mwisho team bebecool wakasanda kiana!ikaongezeka tena team chemeleon na team zingine nyingi!
Eddy kenzo hana team kama sikosei ila bebecool anayoteam ingawa haina nguvu sana!ninaimani team bobywine watampigia kura eddy kenzo
domo jipange,kiama chako kimefika
tuzo ambayo dai anaweza shinda labda hiyo ya category na kiba ila hizo zingine asahau
Kwanza kipenzi umeona wakenya wanavotifuana leo kwenye mitandao ya kijamii? Wanasema sautisoul kwenye MTVMAMA wamepigiwa kura sana na wa Tz kwa hiyo wa kenya wamewakosesha wenzao tuzo.
nimesema labda" yani kwa mbaali mbona ktma ilitupwa kule akaanza kulialiaKwanini mnajifanyaga wapiga ramli mapema hivi? Kwa mantiki hiyo basi penye diamond kiba hapumui? Ni swali tu.
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa
MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile
Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable
bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video
NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO
best male wallah tunabeba cc hatuna category nyingi wala tuzo cc ni hapo nikiamka ni hapo na my best artist in africa wizkidayoMkuu Fanya kweli tena Mara nyingi uwezavyo maana jamaa hawana limitation kabisa so ukishavote unaclick ile "return to vote poll" then unaendeleza kupiga kura.
ahahahaha!kwa hiyo wanataka kufanyaje?