Mnapomuita Ally kiba hasimu wa diamond ndo mnapompa bichwa... He can never be Diamonds rival, Diamond is miles away from kiba.. Halafu hiki kitu cha kumlinganisha Na Diamond ndo kinachofanya tunagombana kila siku, hivi kwanini msimshindanishe na wenzake hukoo .. Kwani lazima Diamond!!
Anyweiz hongera kwa ally kuchaguliwa kwenye tuzo za kimataifa ni kitu kizuri katika career yake ya Kimataifa..
Kuhusu Diamond mwendo ni uleule Ushindi.. Maana hakuna namna nyingine
Mkuu samahani kama umenielewa vibaya hapo,Mimi sijamaanisha kwamba mtu ukiwa TEAMMONDI au TEAMKIBA ndo usipigie kura wengine...hapana si hivyo,Mimi mwenyewe kwa kila step niliyopiga kwa kiba nimempigia na Diva-Vanessa,pia utambue kitendo cha wao kuwa category moja ni tatizo maana ni wazi kwamba mshabiki wa KIBA hawawezi mpigia MONDI na wa MONDI hawawezi mpigia KIBA iyo ipo wazi maana hapo anatakiwa mmoja tu achukue iyo tuzo kati yao,hivyo mtu kama ni mshabiki wa mmojawapo hapo ni ngumu kuwapa wote maana at the end nani atamzidi mwenzie kwa kura ili ashinde sasa.
Nikuambie kitu; lazima wajibu hivyo coz' FACTS hujibiwa kwa FACTs ukikosa unaamua kuleta viroja! Kuhusu u-GAZETI, nimegundua Team Ndondo Cup pamoja na kujiona wapo juu na kuwasimanga wenzao kwamba hawjasoma, wengi wao ni vilaza kwahiyo dawa yao ni kuwaandikia mgazeti basi wanaupita kama hawauoni...Huwa inauma sana mtu anapojibu post kama hii iliyosheheni FACTS, afu yeye anakuandikia "K 4 REAL" au " #TIME WILL TELL" au "MBONA UNAANDIKA GAZETI".
Kuna haja na kila sababu ya kuwafanya hawa wawili wawe kitu kimoja ikiwezekana na campaign ya kura hizi wapige pamoja naseeb awe tayari kumuachia aly for the sake of our country huu sasa ndio uzalendo tunaouhitaji.
Nikuambie kitu; lazima wajibu hivyo coz' FACTS hujibiwa kwa FACTs ukikosa unaamua kuleta viroja! Kuhusu u-GAZETI, nimegundua Team Ndondo Cup pamoja na kujiona wapo juu na kuwasimanga wenzao kwamba hawjasoma, wengi wao ni vilaza kwahiyo dawa yao ni kuwaandikia mgazeti basi wanaupita kama hawauoni...
Mkuu umenikumbusha jambo moja; enzi hizo nikiwa member kindakindaki wa Jukwaa la Siasa... wenye busara zao walikuwa hawachoki kusema "Achana nao hao, humu jamvini wengi ni wasomaji kuliko wanao-comment!"NO!!!
Mkuu haijalishi mtu anajibu vipi, cha muhimu umetoa somo la kutosha..
Mimi nimejiunga JF 2012 lakini nilikuwa mzuri sana wa kufuatilia facts humu ndani, siasani, vichekeaho n.k BUT comment yangu ya kwanza ilikuwa mwaka Jana mwishoni..
So ni poa tu watu wengi tunafuatilia hata mtu ajibu pumba, somo limeelewewa
Unachoongea humu jamvini nimeshawaambia mara kibao kwamba kujitapa kwamba upo level hii au ile ni ulimbukeni uliopitiliza hata kama kweli hicho kitu utakuwa nacho!! Kwa mfano, mtu aliyezaliwa maisha ya kishua, hata siku moja huwezi kumkuta anam-dis mtu wa Uswahilini coz' vile vitu yeye kavikuta na amekuwa navyo kwahiyo anaona kawaida tu!!! Mtoto wa Kishua unasoma Kisutu, Zanaki, KIbasila, Azania, St Anthony, St Mary, n.k halafu mtoto anaesoma IST sijui ajiite nani!!! Na kama ulivyosema, mwenye elimu hajitapi hata siku moja... ukiona mtu ana elimu halafu full mashauzi basi ndo wale wenzangu mimi na elimu zao za kuunga unga!!Unajua nini Mpwa
Watu wenye Inferiority Complex ndio hua wana tabia ya kujifanya wana kitu fulani kumbe hawana...
Umewahi kujiuliza kwa nini Matajiri hua hawajitapi na utajiri wao...ila masikini
Mtu mwenye elimu hajitapi kwa kuwa na elimu yake ila yule hohe hae na mie ndiye anayejifanya ana elimu
Mpwa wewe wape nondo nzito nzito....WATANYOOOKA Tu...Lazima wajue tofauti ya X na Jumlisha
Duh! Mkuu hizi sindano za kukumbushiana maumivu ambayo walishayasahau utawafanya waanze kukatwa na maini!!!Umetisha sana mkuu..
Suala la kubebwa kwenye colable ni propaganda yao ya kutuliza maumivu tu, ukweli wanao..
Ukianzia dogo kuwa nominated BEST NEW ACT 201 kwa mbagala 2010 MTVMAMA akiwa na mwaka tu kwenye game
Last year kwa my number one original akapata nomination 4 channel o na kuibuka na tuzo tatu zote hizo ni za pekeyake..
Mdogomdogo last year ikachukuwa IRAWAMA kama best African traditional song ikiikalisha aye ya davido
Mwaka huu ndio kabisa Nitampata wapi mpaka sasa AEA, na hii AFRIMMA imekuwa nominated best african song
LAZIMA WANYOOKE!!!
Kama Mwaka jana
BRAZIL 1 vs GERMAN 7
wanabaki kulialia
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za AFRIMMA AWARDS, Najua teamondi hawaamini na ni ngumu kwao kukubali ila ndo ivyo tena jamaa(KIBA) ndo kashavuka mipaka ya TANZANIA nayeye...hivyo muache kejeli na dharau,Najua mwaka huu AFRIMMA watashangazwa na mvua ya KURA zitakazopigwa ambayo haijawai kutokea kabla na hasa zikitokea TZ na kama kwenye hizi TUZO wao wanapiga pesa basi ni wazi hawatosita kuwarudisha hawa jamaa tena mwakani kwenye kinyanganyiro hicho.
-Haya sasa kipenga kimeshalia "TEAMKIBA" na "TEAMMONDI"... Let's go!!!!!
CHANZO:Nominees 2015 |
Of course, Davido keshaotea kwamba ndo anaanza kupotea hivyo kwahiyo lazima atafute back up kutoka kwa nominee wa East African category ambae tuzo za kupandia ndege kuzifuata anafanya kuzisikia tu kwenye bomba!!!Wakuu kama Msanii bora wa Africa kwa miaka 2 mfululizo na mshindi wa BET mwaka 2014, Davido (OBO) kausoma upepo mapema kuwa No way out ni lazima kupiga collabo na King Kiba.
Ni wazi kwamba mr.Collabo na mfalme wa mbeleko Diamond ni lazima naye afanye kama alivyofanya baba yake Davido kwa kupiga collabo na KingKiba.
Kumbe jamaa wanalia poo!Uungsne na nani wakati wa MTV voting mlijifanya mnajua sanaaaaa!!! Mkaendesha kampeni ya kijingajinga " kampeni davido ..UA mondi" .
Tuliwapa somo LA uzalendo lakini hamkusikia wala kuelewa mkaendeleza fitna zenu na MUNGU akawaumbua .Sasa tunayo tuzo.
Kwakua nyinyi ni mlioshindikana Sasa hivi kila mtu atabeba msalaba wake.hahahahahah
Mtanyooka tu.
Star kama Davido kufanya collabo na underground from TZ,tc good to hear coz anawito wa kusaidia waafrica wenzake..?!
Unasemaje wewe?! Mbona unataka kuwapa ujiko usio wao? Unadhani kuelewa kazi ndogo?!!!chige wasipokuelewa basi tena
Wanajua sema viburi tu.
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!Mtaelewa tu
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!
Acha kujidhalilisha wewe... yaani kuwa followed na Davido nako ni jambo la kujivunia? Dah, lakini sorry, nilisahau kwamba zaidi ya tuzo za Ndondo za Cup na ulinzi wa tembo, huwa hamna cha kujivunia kwahiyo kwenu hata kuwa followed na Davido ni big issue.... Congratulation!
Hapa ni sindano za kwinini tu hapa kisha unawaacha wakuchukie kimoyomoyo manake wanajua fika sie tuliozaliwa na kukulia ushenzini hatuna haja ya ku-pretend, mtu akikuzingua, unamzingua tu!Mi naskilizia tu hapa dose zako!tangu asubuhi nafuatilia tu!!
Kwani huna habari, Vanessa alipelekwa South Africa na Air Force One... bwah! bwah! bwah! Yaani jamvi lina viroja hili... mtu anashangilia Kiba kuwa followed na Davido!Hahahahah eti mtu maarufu zaidi yako akiku-follow ndo anakusaidia khaa!!
Basi mbona Obama amemfollow vannesa ...je vanesa amealikwa whitehouse?
#mtanyooka tu.
Hapa ni sindano za kwinini tu hapa kisha unawaacha wakuchukie kimoyomoyo manake wanajua fika sie tuliozaliwa na kukulia ushenzini hatuna haja ya ku-pretend, mtu akikuzingua, unamzingua tu!
Mtaelewa tu