Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Nasema hivii...
Mbona team ndomo team wanenguaji mmeumia hivyo kiba kutajwa? Mara oooh hastahili mara sijui nini.
Au kwa sababu hajafanya collabo na watu wa naija na kenya na uganda? Maumivu yakizidi mwone doctor.
Hamna cha collabo na watu wa nje wala nini ila tunatoboa kimataifa hutaki hama nchi.
Best male....
 
Vote vote
 

Attachments

  • 1437457229136.jpg
    16 KB · Views: 147



Sema best male east hata peter msechu aliingia kabla ya kiba last year akatusaidia kubeba tuzo yetu tutamtuma kiba atuchukulie pia tuzoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
So unataka sema diamond n zaidi ya kiba ushakubali very good ila jua diamond anarudi n tuzo 3+
usibishe kiushabiki we umeona hao watu anaoshindana nao kuna olamide (shakitibobo) wizkid n davido so we huoni au
 
usibishe kiushabiki we umeona hao watu anaoshindana nao kuna olamide (shakitibobo) wizkid n davido so we huoni au

Olamide oya shake shibobo, move you're body shibobo fly to Paris shibobo eeh
 

Hakika kwenye hizi tuzo haturudi mikono mitupu kulinganisha kiba ambaye yuko sehemu moja tu ambayo na yenyewe uhakika wake wa kushinda ni mdogo sana!

Akishinda diamond kwenye hii category ya best male basi itakua ni kofi na tusi lingine kwa KTMA
 
We ngoja wameanza MTV kuwaumbua ngoja n hii ashinde chibu ukweli utajulikana tu soon
sio wameanza kuwaumbua kila tuzo na taratibu zake hebu kaangalie video bora ya mtv (nafukwa) mbooovuuu vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…