Hapo kwenu cbd imejaa vibanda mzee barabara uchochoro mbona hausomi hata pichaKuna fisi Moja ilisema Arusha inaizidi mwanza mandhari,,sijui ilikuwa imekula kvant [emoji75][emoji28]
Aerial view za majiji sasa vs maziziView attachment 2527313View attachment 2527314View attachment 2527316
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufikiria kama kuku kijana,maghorofa 7000 hayawezi kua yote cbd, ni ndani ya mkoa wa Arusha, nje ya cbd maghorofa pia yapo,hata kwa wadosi maghorofa pia yapo...Nayaona maghorofa 7000 ya Arusha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha nayoweza kuisoma ni hii ..Hapo kwenu cbd imejaa vibanda mzee barabara uchochoro mbona hausomi hata picha
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Halafu barabara hazina njia za waenda kwa miguuPicha nayoweza kuisoma ni hii ..
Migomba city ..full slums
Mabanda ni haya[emoji116]View attachment 2527336
Sent using Jamii Forums mobile app
Isamilo [emoji91][emoji91][emoji91]Leo tuko isamilo.
View attachment 2527322
Unatia aibu,izo ni nyumba za chini atleast ziko katika mpango miji njia zinaonekana nk, Ulitegemea kote kue maghorofa ?wewe hapo ni Arusha sio Amsterdam kijanaPicha nayoweza kuisoma ni hii ..
Migomba city ..full slums
Mabanda ni haya[emoji116]View attachment 2527336
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdomo mrefu mzee alafu kwenu kumeoza takataka mlimani kama zote[emoji23]Halafu barabara hazina njia za waenda kwa miguu
Ahsante sana, sasa post na slums za Arusha tulinganishe, post mwenyeweMdomo mrefu mzee alafu kwenu kumeoza takataka mlimani kama zote[emoji23]View attachment 2527351View attachment 2527352
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mbona hapa ,,,,,, pazuri wanakula breeze ziwaniMdomo mrefu mzee alafu kwenu kumeoza takataka mlimani kama zote[emoji23]View attachment 2527351View attachment 2527352
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Si Huwa mnajiita Geneva..[emoji28]...hayo ni mabanda sio nyumba ...city center kunakuwaje hvyo ..Unatia aibu,izo ni nyumba za chini atleast ziko katika mpango miji njia zinaonekana nk, Ulitegemea kote kue maghorofa ?wewe hapo ni Arusha sio Amsterdam kijana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwakua izo vibanda viko kweny mwanza zinafanana na nyumba eti?[emoji23]
Siko hapa kupromote your glorified villageUmeweza kupost za mwanza unashindwa je za Arusha.
Wanatofauti kubwa na hawa ndugu zenu hapa chiniMdomo mrefu mzee alafu kwenu kumeoza takataka mlimani kama zote[emoji23]View attachment 2527351View attachment 2527352
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Halafu bado Nyumba za Igogo Milimani na kali kuliko za Arusha yaaniUmeweza kupost za mwanza unashindwa je za Arusha.
[emoji28][emoji28][emoji28]Wanatofauti kubwa na hawa ndugu zenu hapa chini
View attachment 2527387
Wanapata upepo wa ziwani na hewa safi, hii snap ni ya Arusha JIJI.
Imagine hizo pagale za Chuga zingewekwa kwenye Mlima wa Igogo.
Igogo baada ya Miaka 30Mdomo mrefu mzee alafu kwenu kumeoza takataka mlimani kama zote[emoji23]View attachment 2527351View attachment 2527352
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app