Yote ni Tanzania... punguza makasiriko.
Bado pia green city ilemela na nyamagana😃😃😃Hii inawauma sana, na bado viaduct inakuja🤣🤣
Huyu kanywa gongo rockcity mall imejaa balaa sasa ww unataka parking zijae nje wakat kwny jengo pia Kuna underground parkingUshawahi ona parking lot ya iyo mall iko full?
Hapa nakuambia vitu na nna vivid
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Watu wamelala bado mwanza shtukaHuyu kanywa gongo rockcity mall imejaa balaa sasa ww unataka parking zijae nje wakat kwny jengo pia Kuna underground parking
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]yan anauliza hivyo wakati ndio kuna ongoza kwa wanawake wenye mitako mikubwaa...Kwanza kwanini mtu afanishe arusha na mwanza ? mbona hakuna uwiano kbsa ? arusha ni kama Tanga tu.
Choice Variable before the ban[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Arusha noma mpaka inafananishwa na Miami [emoji123][emoji123]
Kumbe hata hujui ukiongeacho,ngoja tukusaidie kukuelewesha sasa.Kuna magari mengi sana yana kwenda Nchi za Rwanda na Burundi kupitia hapo kivukoni,kuna magari yasiyo na idadai yanavuka hapo kwenda Mikoa ya Kagera,Kigoma na Geita.Porojo hizi hatari sana, its a bit expensive But Will it serve the same purpose?
Yenyewe inavusha gari chache sana kwenda Sengerema hata kiuchumi haina impact lubwa kivile
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Zile picha za Mwanza ulizopost na ukaumbuliwa hapa ukapiga kimyaTa
Tafuta picha nilipost mbili tu chali mpaka leo sioni alienigusa, moto mkali
Unatamani mpaka kulia kwa makasiriko ya daraja la BusisiKama sio mbeleko ni nn izo b700 angekenga barabara mwanza za maana kwanza atleast ningemuelewa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dohArusha tunnatumia kiaaaa, 😀 😀 😀
Kwenye miundo mbinu tunaita Mmeyakanyagaaaa, mpaka mmepakana nyumbani kwenu????
View attachment 2526791View attachment 2526792
Ha ha ha hii aibu sasaSheikh Amri Amani Abeid
CCM Kirumba
Magari 1600 kwa siku kwako ni mengi sana?Acha ujingaKumbe hata hujui ukiongeacho,ngoja tukusaidie kukuelewesha sasa.Kuna magari mengi sana yana kwenda Nchi za Rwanda na Burundi kupitia hapo kivukoni,kuna magari yasiyo na idadai yanavuka hapo kwenda Mikoa ya Kagera,Kigoma na Geita.
Mnashangilia infrastructure? Washamba bana.Hii inawauma sana, na bado viaduct inakuja🤣🤣
Zipi? Compile uweke ana kwa ana tuone. Alafu ujue mi ata arusha sipo lakini nikienda this time ntapiga picha kama washamba wa mwanza ili mtie adabu. mwanza kuna nini babu weZile picha za Mwanza ulizopost na ukaumbuliwa hapa ukapiga kimya
Mbona unachamba kama demu[emoji28][emoji28][emoji28]Zipi? Compile uweke ana kwa ana tuone. Alafu ujue mi ata arusha sipo lakini nikienda this time ntapiga picha kama washamba wa mwanza ili mtie adabu. mwanza kuna nini babu we
Kumbe na wewe umeona[emoji1][emoji1]
Pisi ya arusha katika ubora wako[emoji1]Zipi? Compile uweke ana kwa ana tuone. Alafu ujue mi ata arusha sipo lakini nikienda this time ntapiga picha kama washamba wa mwanza ili mtie adabu. mwanza kuna nini babu we