Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Porojo hizi hatari sana, its a bit expensive But Will it serve the same purpose?
Yenyewe inavusha gari chache sana kwenda Sengerema hata kiuchumi haina impact lubwa kivile

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kumbe hata hujui ukiongeacho,ngoja tukusaidie kukuelewesha sasa.Kuna magari mengi sana yana kwenda Nchi za Rwanda na Burundi kupitia hapo kivukoni,kuna magari yasiyo na idadai yanavuka hapo kwenda Mikoa ya Kagera,Kigoma na Geita.
 
Kumbe hata hujui ukiongeacho,ngoja tukusaidie kukuelewesha sasa.Kuna magari mengi sana yana kwenda Nchi za Rwanda na Burundi kupitia hapo kivukoni,kuna magari yasiyo na idadai yanavuka hapo kwenda Mikoa ya Kagera,Kigoma na Geita.
Magari 1600 kwa siku kwako ni mengi sana?Acha ujinga

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Zile picha za Mwanza ulizopost na ukaumbuliwa hapa ukapiga kimya
Zipi? Compile uweke ana kwa ana tuone. Alafu ujue mi ata arusha sipo lakini nikienda this time ntapiga picha kama washamba wa mwanza ili mtie adabu. mwanza kuna nini babu we
 
Zipi? Compile uweke ana kwa ana tuone. Alafu ujue mi ata arusha sipo lakini nikienda this time ntapiga picha kama washamba wa mwanza ili mtie adabu. mwanza kuna nini babu we
Pisi ya arusha katika ubora wako[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…