Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Ndio ujue it's a blessed city..
Leo sitaki maneno mengi ni dozi tu[emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ujue it's a blessed city..
Less talk.actions tu..SGRArusha, these gardens are well maintained View attachment 2533060View attachment 2533061
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji91][emoji91][emoji91]Arusha, these gardens are well maintained View attachment 2533060View attachment 2533061
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Maana ya hali ya hewa nzuri sio kuwa na baridiHali ya hewa gani unazungumzia apa?Arusha baridi kama uko Jobergy, infrastructure gani mko nazo au unazungumzia masoko ma vituo vya daladala [emoji2][emoji23]
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Chuga[emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2533085View attachment 2533086View attachment 2533087
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaa nao Kaa unguja Kuna mtu anamajina kama ayo Yako au ndo weweKaka hii ni IBIZA ya Africa Dubai kwa mbali. Wanang wa chuga njoon na mandhari kama hayo niitwe shaban kimaro [emoji23]
Niongeze?Ushaanza kujiuliza [emoji23]View attachment 2532990
Jamaa hajaelewa kwa kifupi mapato ya moshi manispaa ni kama nusu tu ya mapato ya jiji la tanga sembuse mwanzaMbona Moshi sio Jiji
[emoji28][emoji28]
Acha kudanganya watu moshi manispaa ina uchumi gani ,kimapato msimu uliopita iliachwa mbali sana na tanga jiji mapato yake yalikua ni nusu tu ya mapato yote ya tanga jiji ,moshi hakuna viwanda vikubwa,hakuna mahoteli makubwa ,hakuna makampuni makubwa ya mafuta huo uchumi mkubwa ni upiMoshi sio lazima iwe jiji,population yake ni ndogo na eneo lake ni dogo, ila panauchumi mkubwa ajabu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro imeipita mwanza kimkoa lakini kwa halmashauri ya moshi manispaa vs mwanza jiji moshi itasubiri miaka 2000Arusha inaitesa sana Mwanza kwenye mapato. Na hapo Arusha ina nusu tu ya watu kulinganisha na Mwanza. Pia hilo mkoa wa Kilimanjaro kuupita ule wa Mwanza linafikirisha sana.
Tpc,serengeti brewers ni viwanda vidogo?Coca-Cola nkAcha kudanganya watu moshi manispaa ina uchumi gani ,kimapato msimu uliopita iliachwa mbali sana na tanga jiji mapato yake yalikua ni nusu tu ya mapato yote ya tanga jiji ,moshi hakuna viwanda vikubwa,hakuna mahoteli makubwa ,hakuna makampuni makubwa ya mafuta huo uchumi mkubwa ni upi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Bado moshi huwezi ilinganisha na tanga kwa viwanda na ndio maana mapato ya moshi manispaa ni kama nusu tu ya mapato ya tanga jiji ,tanga viwanda vitatu vya cement ,chuma ,viwanda viwili vya vipodozi ,kiwanda cha vocha na smart card ,kiwanda cha soda anjari ,kiwanda cha mogas lubricant ,kiwanda cha chokaa ,kiwanda cha mifuko ,kiwanda cha maziwa fresh ,pipi na chocolate,makampuni matatu makubwa ya mafuta na kiwanda kikubwa zaidi cha cement kiko kwenye maandalizi ,bomba la mafutaTpc,serengeti brewers ni viwanda vidogo?Coca-Cola nk
Uchumi wa moshi unaulinganishaje na Tanga yenye bandari na watu karibu mara3 ya moshi?...moshi ni manispaa yenye idsdi ndogo ya watu na hata eneo lake sio kubwa...lakini fika uangalie,barabara,makazi ya raia wake,huduma za kijamii na biashara alafu rudi Tanga fanya comparison
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hakika arusha mpo vizuri nawapongeza kwa kuizidi Iringa kidogoo, sasa nyie arusha+ dodoma+ Iringa+ mbeya= MWANZA CITY, hutaki kakojoe ukalale.Mtaogopa hatutaki kuwatisha[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2532708View attachment 2532710View attachment 2532709
Lakini by average moshi imeendelea kuliko manispaa zote nje ya Dar ,arusha na Manispaa za MwanzaBado moshi huwezi ilinganisha na tanga kwa viwanda na ndio maana mapato ya moshi manispaa ni kama nusu tu ya mapato ya tanga jiji ,tanga viwanda vitatu vya cement ,chuma ,viwanda viwili vya vipodozi ,kiwanda cha vocha na smart card ,kiwanda cha soda anjari ,kiwanda cha mogas lubricant ,kiwanda cha chokaa ,kiwanda cha mifuko ,kiwanda cha maziwa fresh ,pipi na chocolate,makampuni matatu makubwa ya mafuta na kiwanda kikubwa zaidi cha cement kiko kwenye maandalizi ,bomba la mafuta
Sasa hii kitu yako umentumia ndio hii [emoji3]
Nyie mko na shida mahala
Hebu ona mwenyew
Arusha itawatoa roho[emoji2][emoji2]View attachment 2532711
Hawana picha zozote za battle na Mwanza, kila mara wanaweka hako ka cbd uchwara ambacho hakina mvuto.Kaka hi ndo arusha inabattle na mwanza.
Mwanza tunajivunjia heshima. Saiv mtu wa arusha akiongea na muacha [emoji850].
Nshanza kujua why kila mkoa ukipata kagorofa unakuja kubattle na mwanza. Ukwel ni kwamba wanataman wawe kama mwanza