Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,608
Hata mimi nimeshangaa niliona hakuna lami halafu hata nyumba ni zile za kawaida tu.Njiro hakuna hata mtaa mmoja wenye makazi ya watu wenye lami. Ni aibu sana kwa jiji la Arusha. Hata alikohamia Gambo huko Njiro ni vumbi tupu na matope
Hawana picha, hawana simu.Ushaanza kujiuliza [emoji23]View attachment 2532990
Miradi yetu ni multi billion na ipo kibao unataka tushindane kwa mfumo huo?. Na je utaweza?Mzee nakupa miradi unaleta porojo 😂😂
Kwa hiyo kadaraja hako ndio Barabara ya mtaani?Miradi yetu ni multi billion na ipo kibao unataka tushindane kwa mfumo huo?. Na je utaweza?
Usijotoe ufahamu kwanza miradi ya tactic ipo manispaa ya ilemela na Jiji la mwanza pia. Kwahiyo hakuna jipya unaloweza Kujifichia. Miradi yetu ni mingi kuliko ya kwenu kwa kipengele Cha tactic.Kwa hiyo kadaraja hako ndio Barabara ya mtaani?
Mdomo mwingi tu vitendo zeroHaka kajengo kanatofauti gani na hostel za TIA pale buzuruga, jifunze kuona aibu na vitu vya kupost, ka hotel kama haka kanafaa ukiwa una battle na njombe mji.
Wanyooshe bro. Wakikujibu kwa kitu classic kama hiki nafuta account yangu jf.Sipendi kuedit picha.
mwanza ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele nyingi
View attachment 2533742View attachment 2533744View attachment 2533746
Yani mtu wa 80 unapost hapohapo rock city mall. Ndio mlicho nacho tu. Alafu pembeni yake tu kijiji kama kawa.Sipendi kuedit picha.
mwanza ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele nyingi
View attachment 2533742View attachment 2533744View attachment 2533746
Mbona kuna picha zingine hazina hiyo mall na ni kali sanaYani
Yani mtu wa 80 unapost hapohapo rock city mall. Ndio mlicho nacho tu. Alafu pembeni yake tu kijiji kama kawa.
Mtaogopa hatutaki kuwatisha[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2532708View attachment 2532710View attachment 2532709
Siku mkifika hapa ndio mje kujifananisha na Arusha,Wanyooshe bro. Wakikujibu kwa kitu classic kama hiki nafuta account yangu jf.
[emoji1787][emoji1787] mfa maji eti pembeni ni kijiji unaijua ghana na kirumbaYani
Yani mtu wa 80 unapost hapohapo rock city mall. Ndio mlicho nacho tu. Alafu pembeni yake tu kijiji kama kawa.
Ila kijana unaikubali Mwanza ni vile tu hutaki kujionesha. Kwanza huna kwenu ndio maana kila mkoa unaushadadia, mwanza itakutoa roho mdogo wangu.Kwa hiyo kadaraja hako ndio Barabara ya mtaani?
Sio kweli moshi huwezi linganisha na arusha ,mwanza wala dodoma mji wa moshi unakua kwa kusuasua ni mpaka wachaga watakapoacha mila zao za kizamani za kuhodhi ardhi hata kama hawana uwezo wa kuiendeleza ,angalia watu wengi wa moshi mjini wanajenga sana boma na himo ,boma panakua balaaLakini by average moshi imeendelea kuliko manispaa zote nje ya Dar ,arusha na Manispaa za Mwanza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ardhi ni Mali lasima ujue tofauti ya wanaoujua thamani ya ardhi na wasiojuaSio kweli moshi huwezi linganisha na arusha ,mwanza wala dodoma mji wa moshi unakua kwa kusuasua ni mpaka wachaga watakapoacha mila zao za kizamani za kuhodhi ardhi hata kama hawana uwezo wa kuiendeleza ,angalia watu wengi wa moshi mjini wanajenga sana boma na himo ,boma panakua balaa