Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Dormant ipi? Dodoma wapo walikiwa mbele yenu na wapo mbele yenu shamba city. Mwanza tunapenda samaki wenu tu.
We kenge nilikuambia Mwanza ni dude kubwa , umeona mumlete na dodoma kuongeza nguvu za kupambana na Mwanza, ongeza na miji mingine mfike ata watano then mje.
 
Ikawaje sas jiji la pili likawa mwanza #Mliwehuka uko mkasahu kujituma ama [emoji41]
Jiji la pili kwa muktadha upi? Kwa idadi ya watu sawa. Kwa vingine ni Arusha ndio jiji la pili baada ya dar.
 
Huwa unanifurahisha sana,ukizidiwa tu unashusha waraka wa maneno matupu.Vipi wale ndugu zako waliokimbia Jiji la Mwanza wanaendeleaje huko Chuga? Walishalipwa zile pesa za Mzee wao alikuwa anaidai Bugando [emoji2][emoji2]
Wapo sana tu hawaendi kokote.
 
Poor interior design , low quality material , aibu huna ama? ndio maana tunasema nyie ni washamba embu ona viti na floor rang zilivyo. PUA PUA ( kwa sauti ya steve nyerere)
Hauna akili wewe mwehu kichaa mkaanga mavi[emoji3]

Kilichokufanya usiniquote Jana ni nini? We mwanamke hauna akili umejaa wivu wa kipuuzi

Et low quality nyie kwenu vipo hivyo high, kwanza mwanza hatuna shida na nyinyi wapuuzi tunawazidi vitu vingi sana

Mwanza tuna mahotel,madaraja,beaches,airport nzuri,stands za hice nzuri,stand za mabus nzuri,mabarabara mazuri,hali ya hewa safi na mandhari ya kuvutia masoko makubwa ya kisasa malls za kimataifa mitaaa mikubwa

Jiji la mwanza ni kubwa mara 10 ya arusha village, mwanza tuna hadi safari za masaa mawili kwa hice ndani ya jiji wewe unaleta upuuzi
 
Hahaaa. washamba wa mwanza bana, mnashangaa mataa?? alafu huyo Albert G Sengo game kajifunzia Arusha, ujanja wote alionao ni wa Arusha ilipo familia yao.
Sasa wacha nikuoneshe jinsi gani jiji la washamba linavyowapiga KO

Sitaki maneno nataka picha.. hizi ni baadhi ya picha ambazo arusha hazipo kabisa yaaani hazipo


Daraja la watembea kwa miguu kata ya mabatini jiji mwanza

Arusha hakuna[emoji95][emoji95][emoji95]
 
Poor interior design , low quality material , aibu huna ama? ndio maana tunasema nyie ni washamba embu ona viti na floor rang zilivyo. PUA PUA ( kwa sauti ya steve nyerere)
Daraja la watembea kwa miguu furahisha jijini mwanza

Arusha hakuna[emoji1787]
 
Daraja kubwa na refu Africa mashariki na kati lipo Mwanza[emoji3] (daraja la kigamboni na tanzanite ni chamtoto kwa hii ngoma)
 
Mwanza iko hivyo ilivyo sabab ya watu wa mwanza ni mahustler. Serikali mchango wake ni mdgo

Hamn national park arusha au tourist attraction yoyote ya maan ila office za tourism company ziko arusha kama sio mbeleko ya serikal ni nin.
Mwanza niwmahustler wakati inajengwa na watu wa kaskazini?! Ninyi mumebaki kufuga ngombe na kuvua dagaa pale lake vickitoria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…