bronze
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 430
- 803
[emoji23][emoji23][emoji119]Mwanza vs Arusha+Dodoma+mbeya+Tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji119]Mwanza vs Arusha+Dodoma+mbeya+Tanga
😀😀😀😀Waue broArusha naipambanisha hii kata ya igogo na mkuyuni lake view washindane nayo kwa muonekano then waje kwa cbd ya kubwa ya jiji la mwanza
View attachment 2537843
Hawa nguchiro wa ngorongoro bado sanaaaa.😀😀😀😀Waue bro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pigaArusha naipambanisha na hii kata ya igogo na mkuyuni lake view washindane nayo kwa muonekano then waje kwa cbd ya kubwa ya jiji la mwanza
View attachment 2537843
Siwasikii tena, baada ya kuwapa view ya igogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] piga
Napata wakati mgumu sana kuamini hapa ni Mwanza kwa kweli japo napapenda Mwanza....Arusha naipambanisha na hii kata ya igogo na mkuyuni lake view washindane nayo kwa muonekano then waje kwa cbd ya kubwa ya jiji la mwanza
View attachment 2537843
Ulizan hapo ni njombe au sumbawanga😂😂😂, karibu Mwanza ni sawa na Rio de Janeiro, kwenye fukwe za copa cabanaNapata wakati mgumu sana kuamini hapa ni Mwanza kwa kweli japo napapenda Mwanza....
Acha hizo wewe, nakuwekea the best pitch in Tanzania. Hamtembei wala hamjui mnakariri. Na bado zipo kibao kali hatari arushaGwambina complex [emoji95][emoji95][emoji95]
Mwanza Tanzania View attachment 2536962View attachment 2536963View attachment 2536964
Sisi tunacheza golf na rugby mjomba, michezo ya matajiri, soccer pitches zipo kibao, Golf Courses in TanzaniaRock city mall Mnyama mkali[emoji95][emoji95][emoji95]
Vijana wa mkisikia mtu anasema arusha ni nzuri kuzidi MWANZA huyu ni mwenu hata kama ni baba akoView attachment 2536985View attachment 2536986View attachment 2536984View attachment 2536987View attachment 2536988View attachment 2536989View attachment 2536990View attachment 2536991View attachment 2536992
Mwanza mmepigwa mpaka mnaleta picha za Freetown Sierra Leone dah kuzidiwa kubaya sanaArusha naipambanisha na hii kata ya igogo na mkuyuni lake view washindane nayo kwa muonekano then waje kwa cbd ya kubwa ya jiji la mwanza
View attachment 2537843
Kweli mwanza Iko juuUnataka kuniambia mwanza iko vzr sana?
Humu ukija na maneno matupu unaonekan mwehu kama wehu wengneSasa wewe unafananisha standi mpya ya a mabasi ya mwanza na stand gani ya Arusha. Arusha stand mpya itakuwa State Of Art Tanzania nzima kwasababu Arusha ni Tourism Capital of Tanzania haiwezekani kujenga standi Kama ya mikoa mingine kwanza fuatilia ujionee hakuna stand Kama iyo . Itajengwa baadae sana kwani iyo stand ni mfano Africa Mashariki na Kati haijawai tokea. Subiri utaona tusiandikie mate akati wino upo
Hahaha, sasa kama airport tu mnajengewa kama godown la pamba au sheli, leo stend ndo iwe state of art ujinga tuSasa wewe unafananisha standi mpya ya a mabasi ya mwanza na stand gani ya Arusha. Arusha stand mpya itakuwa State Of Art Tanzania nzima kwasababu Arusha ni Tourism Capital of Tanzania haiwezekani kujenga standi Kama ya mikoa mingine kwanza fuatilia ujionee hakuna stand Kama iyo . Itajengwa baadae sana kwani iyo stand ni mfano Africa Mashariki na Kati haijawai tokea. Subiri utaona tusiandikie mate akati wino upo
Ibiza viewMwanza mmepigwa mpaka mnaleta picha za Freetown Sierra Leone dah kuzidiwa kubaya sana
Ingekua ni muhim hio airport TERMINAL kuwa state of arts sabab wanakuja watu kutoka nje ya nchi.Sasa wewe unafananisha standi mpya ya a mabasi ya mwanza na stand gani ya Arusha. Arusha stand mpya itakuwa State Of Art Tanzania nzima kwasababu Arusha ni Tourism Capital of Tanzania haiwezekani kujenga standi Kama ya mikoa mingine kwanza fuatilia ujionee hakuna stand Kama iyo . Itajengwa baadae sana kwani iyo stand ni mfano Africa Mashariki na Kati haijawai tokea. Subiri utaona tusiandikie mate akati wino upo
Si ndo hapo sasa yani watu kutoka mugumu serengeti watengenezewa state of art halaf internationals watengenezewe godownIngekua ni muhim hio airport TERMINAL kuwa state of arts sabab wanakuja watu kutoka nje ya nchi.
Hio state of arts iwe stand inayoleta watu wa manyara [emoji23] iache kuwa kwa airport TERMINAL
Hivi binti kichwani ni mzima kweli "na bado zipo kibao kali" halafu unapost moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha hizo wewe, nakuwekea the best pitch in Tanzania. Hamtembei wala hamjui mnakariri. Na bado zipo kibao kali hatari arusha