Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Uwanja wa michezo nyamagana [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] sio CCM KIRUMBA [emoji1787]Wapo sana tu hawaendi kokote.
MWANZA TANZANIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja wa michezo nyamagana [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] sio CCM KIRUMBA [emoji1787]Wapo sana tu hawaendi kokote.
Gwambina complex [emoji95][emoji95][emoji95]Wapo sana tu hawaendi kokote.
Wazungu mnaowashobokea huko kwenu wanayao madaraja ya kuwaka taa wew ni mwehHahaaa. washamba wa mwanza bana, mnashangaa mataa?? alafu huyo Albert G Sengo game kajifunzia Arusha, ujanja wote alionao ni wa Arusha ilipo familia yao.
Why Hawaji kujenga huko kwenu.Mwanza niwmahustler wakati inajengwa na watu wa kaskazini?! Ninyi mumebaki kufuga ngombe na kuvua dagaa pale lake vickitoria
Lile daraja ni makosa makubwa ya yule mwendazake usifananishe daraja la mto wami na ilo lenu la busisi.Na wakati huo huo kwa ubinafsi walio nao,wamekaa kimya na wanaona wao wanastahili sana kujengewa daraja la mto Wami la kuwapeleka huko kwao lakini Daraja la Busisi hapana .Hawa watu katika kiwango cha ubinafsi hakuna mtu anawafikia.
Huku kwetu tunajitosha sisi kilichobaki ni kufanya marekebisho ndio maana Arusha ni jiji la kimataifa.Why Hawaji kujenga huko kwenu.
Ukiachana na hii stand munakipi kingine cha maana? Sisi hatuna maushamba ya pichaStand ya mabus nyegezi [emoji95][emoji95][emoji95]
Mwanza Tanzania
Mtu wa arusha akiniquote kwa maneno tupu nitashangaa sana[emoji3]View attachment 2536977View attachment 2536978View attachment 2536979View attachment 2536980
Faida ya daraja la mto wami ni zipi ?Lile daraja ni makosa makubwa ya yule mwendazake usifananishe daraja la mto wami na ilo lenu la busisi.
Umataifa upi na hamn international airport. Hao watu kutoka mataifa mengi wanakuja na bus [emoji23].Huku kwetu tunajitosha sisi kilichobaki ni kufanya marekebisho ndio maana Arusha ni jiji la kimataifa.
Hatuachani na kitu njo na picha. Umeijua burj khalifa bila picha au uliend dubai [emoji41].Ukiachana na hii stand munakipi kingine cha maana? Sisi hatuna maushamba ya picha
[emoji1787][emoji1787] wivu tu unakusumbua kingine cha maana ni hikiUkiachana na hii stand munakipi kingine cha maana? Sisi hatuna maushamba ya picha
Hizi ndo bange sasa, mpuuzi wewe. Kama huna Cha kujibu Kaa kimya senge Moja legend.Mwanza niwmahustler wakati inajengwa na watu wa kaskazini?! Ninyi mumebaki kufuga ngombe na kuvua dagaa pale lake vickitoria
Kama hujapiga mswaki asubuhi usiandike chochote humu mdomo wako unanuka Mzee.Lile daraja ni makosa makubwa ya yule mwendazake usifananishe daraja la mto wami na ilo lenu la busisi.
Nyie si mademu tu kwa wazungu. Ndicho kitu pekee mnatuzidiUkiachana na hii stand munakipi kingine cha maana? Sisi hatuna maushamba ya picha
Sahihi kabisaTunataka mpambano uwe Mwanza vs Arusha+Dodoma nasema uwongo ndugu zangu?
Mwanza vs Arusha+Dodoma+mbeya+TangaTunataka mpambano uwe Mwanza vs Arusha+Dodoma nasema uwongo ndugu zangu?