Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Why unasaundii kike kike au mwanatu punga[emoji3][emoji3] kama kweli wewe ni mwanaume kaza,, wewe ukifungiwa geto na lingosha kutoka sumve au mahaha lazma utoe jicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Evidence huyo ni paqwa ni demu tu ni hii hapa👇👇
 
Why unasaundii kike kike au mwanatu punga[emoji3][emoji3] kama kweli wewe ni mwanaume kaza,, wewe ukifungiwa geto na lingosha kutoka sumve au mahaha lazma utoe jicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Battle uchwara imewashinda eeh.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mwanza nyie ni viazi sana ,mnapata wapi ujasiri wa kutunisha misuli mbele ya the might diplomacy City of Arusha?
 
Why unasaundii kike kike au mwanatu punga[emoji3][emoji3] kama kweli wewe ni mwanaume kaza,, wewe ukifungiwa geto na lingosha kutoka sumve au mahaha lazma utoe jicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majitu ya mwanza bana, ina maana mwanamke haruhusiwi kutumia jamiiforums? 🤣 Nimewakalisha mnabaki na uduwanzi. Washamba hamtuwezi watu wa Arusha kwa lolote.
 
Hii ya Uongo Dar wamefika lini 7m...?!
 
Utakuwa umeanza kutumia internet 2019 wewe. Sema ndio hivo bado malimbukeni, vitu vingi kwenu vigeni. Sasa una post random sources kutoka kwenye search engine. Mwanza why? Slow people of mwanza shame on you.
 
Kamji kadogo sana hako. Cheki nyumba zilivojaa kutu kwenye mabati[emoji88][emoji88]... yani pamoja na kua picha ni HQ ila bado muonekano hauridhishi...
Na hio round about nafkir hizo pic zimepigwa miaka kadhaa iliopita, kwa sasa pamechakaa kichiz na kuna msongamano wa watu na magari..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mwanza city hawana hiyo popn ni uongo
Wameshayakanyaga hao washamba slow kichwani. Yani unajua eti wanajilinganisha na arusha kisa wamezaliana kama kumbikumbi bila mpango Arusha ni proper inner city, urbanized, modern.
 
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Panawazidi mwanza vitu vingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…