Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Why unasaundii kike kike au mwanatu punga[emoji3][emoji3] kama kweli wewe ni mwanaume kaza,, wewe ukifungiwa geto na lingosha kutoka sumve au mahaha lazma utoe jicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Evidence huyo ni paqwa ni demu tu ni hii hapa👇👇
Screenshot_20230307-231507_1678220154949.jpg
 
Why unasaundii kike kike au mwanatu punga[emoji3][emoji3] kama kweli wewe ni mwanaume kaza,, wewe ukifungiwa geto na lingosha kutoka sumve au mahaha lazma utoe jicho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majitu ya mwanza bana, ina maana mwanamke haruhusiwi kutumia jamiiforums? 🤣 Nimewakalisha mnabaki na uduwanzi. Washamba hamtuwezi watu wa Arusha kwa lolote.
 
Naomba tumalize hilibsuala la Nani ni wa Kwanza na nani wa pili tuhamie katika kushindanisha kipi kipo Mwanza Hakipo Arusha na Kipi kipo Arusha hakipo Mwanza kipi bora kipo Arusha na kipi bora kipo Mwanza. Atakae pinga hizi data zangu aje na za Kwake n.b sitaki Matusi wa attacks View attachment 2539276View attachment 2539277View attachment 2539278View attachment 2539279View attachment 2539282View attachment 2539283View attachment 2539284View attachment 2539285
Hii ya Uongo Dar wamefika lini 7m...?!
 
Naomba tumalize hilibsuala la Nani ni wa Kwanza na nani wa pili tuhamie katika kushindanisha kipi kipo Mwanza Hakipo Arusha na Kipi kipo Arusha hakipo Mwanza kipi bora kipo Arusha na kipi bora kipo Mwanza. Atakae pinga hizi data zangu aje na za Kwake n.b sitaki Matusi wa attacks View attachment 2539276View attachment 2539277View attachment 2539278View attachment 2539279View attachment 2539282View attachment 2539283View attachment 2539284View attachment 2539285
Utakuwa umeanza kutumia internet 2019 wewe. Sema ndio hivo bado malimbukeni, vitu vingi kwenu vigeni. Sasa una post random sources kutoka kwenye search engine. Mwanza why? Slow people of mwanza shame on you.
 
Kamji kadogo sana hako. Cheki nyumba zilivojaa kutu kwenye mabati[emoji88][emoji88]... yani pamoja na kua picha ni HQ ila bado muonekano hauridhishi...
Na hio round about nafkir hizo pic zimepigwa miaka kadhaa iliopita, kwa sasa pamechakaa kichiz na kuna msongamano wa watu na magari..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mwanza city hawana hiyo popn ni uongo
Wameshayakanyaga hao washamba slow kichwani. Yani unajua eti wanajilinganisha na arusha kisa wamezaliana kama kumbikumbi bila mpango Arusha ni proper inner city, urbanized, modern.
 
Kamji kadogo sana hako. Cheki nyumba zilivojaa kutu kwenye mabati[emoji88][emoji88]... yani pamoja na kua picha ni HQ ila bado muonekano hauridhishi...
Na hio round about nafkir hizo pic zimepigwa miaka kadhaa iliopita, kwa sasa pamechakaa kichiz na kuna msongamano wa watu na magari..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Panawazidi mwanza vitu vingi sana.
 
Back
Top Bottom