Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Pia unapata kuride farasi. Kuona wanyama mbalimbali, hiking, biking etc... yote hayo sehemu moja[emoji23]. Afu at a relatively cheap price. Arusha nimekaa na mwanza nimekaa... kote ni unique kwa namna yake, ila kwa maisha ya kila siku nachagua mwzUkitumwa 5 star utaleta hili pagale ..[emoji706][emoji706]
Machimbo yapo mwanza unapata natural adventure,,,na lake breeze...sio hzo artificial pools zenu [emoji116]View attachment 2540472View attachment 2540473View attachment 2540474View attachment 2540475
Niletee Skyline kama hii ya Arusha hapo fishing village ya MwanzaKamji kadogo sana hako. Cheki nyumba zilivojaa kutu kwenye mabati[emoji88][emoji88]... yani pamoja na kua picha ni HQ ila bado muonekano hauridhishi...
Na hio round about nafkir hizo pic zimepigwa miaka kadhaa iliopita, kwa sasa pamechakaa kichiz na kuna msongamano wa watu na magari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio nini hiki [emoji38][emoji38]Mwanza nyie ni viazi sana ,mnapata wapi ujasiri wa kutunisha misuli mbele ya the might diplomacy City of Arusha?View attachment 2541384View attachment 2541385View attachment 2541386View attachment 2541387View attachment 2541388View attachment 2541389View attachment 2541390
Hivi ushawahi kufika mwanza. Au kuishi kabisa? Au ulipita tu...Niletee Skyline kama hii ya Arusha hapo fishing village ya Mwanza
View attachment 2541406
Mimi nimekaa capripoint na kirumba.
Chek kamji kalivo kadogo...Mwanza mnatuaibisha sana,Jiji linafanana kama hivi inavyoonekana Arusha..
View attachment 2541410
Ebu linganisha...Mwanza mnatuaibisha sana,Jiji linafanana kama hivi inavyoonekana Arusha..
View attachment 2541410
Sasa hichi kivideo uchwara wewe unaona kinafanana na skyline ya Arusha? ππ
Ila Kuna bonge Moja ya skyline matata sana
Nishakataa kuleta porojo kwenye post zangu, njoo na ushaid ndo uniquote otherwise maumivu yakizidi muone daktar me natoa dozi tuu. Me nitajuaje kwamba Arusha ina spar since nyanyanyanya njoo na evidence ndo tukae mezani au ww ni ASKARI WA ZENJIAta haifananii yani kumekaa shaghalabaghala, alafu ni SPA sio SPAR. ushamba mzigo. Mmechelewa sana vitu hivo, The arusha hotel wanafanya Spa tangu 1894 at the New Arusha hotel kenge wewe, saivi inaitwa four points by Sheraton, mwanza ni takataka tu kwa arusha. Ni mshamba tu au jitu lisilo na information ndio linaweza toa mishipa eti mwanza ipo juu ya Arusha , haitowai kutokea. Picha ukitaka tumia akili acha ushamba.
Siwezi ishu Kwa watu washamba wanaokunya ziwani,wanalala kwenye mabanda ya nguruwe na Wana Kansa z ngozi na zingine huko.
Ni Askari wa zenj huyo huoni ata maneno yake yamekaa kikekikeSorry bhana ujue ata sunk alijua weww ni mdada so nikajua utakuwa tom boyππππ
Kadogo? Green isikudanganye. Mji ni mpana sana tu.
Endelea na Takwimu ya serikaliHii ya Uongo Dar wamefika lini 7m...?!
Njoo na evidence we Mwanamke, maneno tupu mpelekee bwana akoUtakuwa umeanza kutumia internet 2019 wewe. Sema ndio hivo bado malimbukeni, vitu vingi kwenu vigeni. Sasa una post random sources kutoka kwenye search engine. Mwanza why? Slow people of mwanza shame on you.
Tukuskilize kibwengo wewe au sio?Endelea na Takwimu ya serikali
Nimeleta takwimu mnaanz kurukaruka njooni na takwimu zenu, mdomo pekee hausaidiiTukuskilize kibwengo wewe au sio?
Mwanza nyie ni viazi sana ,mnapata wapi ujasiri wa kutunisha misuli mbele ya the might diplomacy City of Arusha?View attachment 2541384View attachment 2541385View attachment 2541386View attachment 2541387View attachment 2541388View attachment 2541389View attachment 2541390
Arusha kwa sasa sindo inaongoza kwa watoto wa kiume kulawitiana...?Siwezi ishu Kwa watu washamba wanaokunya ziwani,wanalala kwenye mabanda ya nguruwe na Wana Kansa z ngozi na zingine huko.