Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Pia unapata kuride farasi. Kuona wanyama mbalimbali, hiking, biking etc... yote hayo sehemu moja[emoji23]. Afu at a relatively cheap price. Arusha nimekaa na mwanza nimekaa... kote ni unique kwa namna yake, ila kwa maisha ya kila siku nachagua mwz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niletee Skyline kama hii ya Arusha hapo fishing village ya Mwanza
Your browser is not able to display this video.
 
Mwanza mnatuaibisha sana,Jiji linafanana kama hivi inavyoonekana Arusha..
Your browser is not able to display this video.
 
Nishakataa kuleta porojo kwenye post zangu, njoo na ushaid ndo uniquote otherwise maumivu yakizidi muone daktar me natoa dozi tuu. Me nitajuaje kwamba Arusha ina spar since nyanyanyanya njoo na evidence ndo tukae mezani au ww ni ASKARI WA ZENJI
 
Utakuwa umeanza kutumia internet 2019 wewe. Sema ndio hivo bado malimbukeni, vitu vingi kwenu vigeni. Sasa una post random sources kutoka kwenye search engine. Mwanza why? Slow people of mwanza shame on you.
Njoo na evidence we Mwanamke, maneno tupu mpelekee bwana ako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…