Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Wape wapeMwanza by night [emoji91][emoji116] View attachment 2545200View attachment 2545202
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wape wapeMwanza by night [emoji91][emoji116] View attachment 2545200View attachment 2545202
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo mabwawa hayo kama singidani .ndo unaita lake.[emoji12][emoji12][emoji28][emoji28][emoji28]...maji ya magadi yamezana humo ..Hilo ziwa Eyasi mkuu ...kumbe hata ujue kuwa Arusha Kuna maziwa ma 2
Aerial view ya kurudia jengo moja...nimeuliza Tena mwanza hamna magorofa mazuri zaid ya hilo?
Stop excuse..do what I have asked youAerial view ya kurudia jengo moja...nimeuliza Tena mwanza hamna magorofa mazuri zaid ya hilo?
Daraja la magufuri [emoji95][emoji95][emoji95] arusha kwa Mwanza bado mapafu lazima yaozeDah hapo mmepiga hatua kubwa sana...niliskia mwezi huu inatangazwa tenda ..Wacha tusubiri
Kamata mwizi,kabeba mji wa watu kaupachika jina la Arusha [emoji23][emoji23][emoji23]Naona ziwa kule kaka acha uongo.Hapa ni Senegal [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2545015
Jiji lenye magorofa marefuStop excuse..do what I have asked you
Vip bado una swali View attachment 2545213View attachment 2545214View attachment 2545216
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro zipo Zaid ya kumi hivi kumbe hat mwanz huijui wenzako bila kupaendelea watakujibuTaja international schools za mwanza alafu nitaje za Arusha nikukate wenge chap.
Hapa ni jambo zuri ,pengine sisi maziwa tunayo ila kwa bahati mbaya hayajakatiza kati kati ya miji kama hili la kwenuDaraja la magufuri [emoji95][emoji95][emoji95] arusha kwa Mwanza bado mapafu lazima yaozeView attachment 2545217View attachment 2545218
Brother unajua mana ya international schools?! International schools kwa Bongo zinajulikana na zinahesabikaB
Bro zipo Zaid ya kumi hivi kumbe hat mwanz huijui wenzako bila kupaendelea watakujibu
Kuna lorete,isamilo,mwanza,buswelu, lake nk watamalizia wenzagu
Nyamizi kama nyamizi vipi babuKamata mwizi,kabeba mji wa watu kaupachika jina la Arusha [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanza CBDJiji lenye magorofa marefu View attachment 2545222View attachment 2545223
Na hiyo lake ulotaja sio international school Nina watu nawafahamu wamesoma hapoB
Bro zipo Zaid ya kumi hivi kumbe hat mwanz huijui wenzako bila kupaendelea watakujibu
Kuna lorete,isamilo,mwanza,buswelu, lake nk watamalizia wenzagu
Upanuzi wa airport mwanza bado unaendeleaHapa ni jambo zuri ,pengine sisi maziwa tunayo ila kwa bahati mbaya hayajakatiza kati kati ya miji kama hili la kwenu
Haya kitu kipo wazi ukibisha google unayo ingia mwenyeweBrother unajua mana ya international schools?! International schools kwa Bongo zinajulikana na zinahesabika
Hii project hata Arusha ipo ..japo kiwanja kikuu Cha ndege ni KIA
Ngoja nione kama una pumzi ya kutosha kwa hii ligi[emoji23][emoji23]Nyamizi kama nyamizi vipi babu
Unaleta render [emoji3][emoji3]Hii project hata Arusha ipo ..japo kiwanja kikuu Cha ndege ni KIAView attachment 2545237
Brother unajua mana ya international schools?! International schools kwa Bongo zinajulikana na zinahesabika