Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Umekimbia kwenye majengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu tunasemea maghorofa....Majengo yako ya aina nyingi hata nyumba ya udongo nayo ni jengo
Sensa jengo lolote leny floors lilihesabiwa kama gorofa ata kama ni la udongo [emoji3]Mkuu tunasemea maghorofa....Majengo yako ya aina nyingi hata nyumba ya udongo nayo ni jengo
Hiyo hotel ya kaawaida kwetu kama golden rose au the east african wanawazidi,Kitu hicho malaikaView attachment 2549553
Ndio sio maana tuko mbali mno bangi TU ndo zinawachosha na mnapenda kubato huku mnajua ukweliNyie si ya juzi tu
Tatzo ni nini?Kwo conference yenu mnafanya malaika?! Duh kweli Mko nyuma ..nasisi tukiamua kupost conference centre za kibo palace, Gran Melia? Duh kweli Bado Mko nyuma
Nyasaka[emoji95][emoji95][emoji95]Mijengoo Nyamizii Mjuaji njooo Hizi zime actiwa JUA KALI[emoji23]View attachment 2549556View attachment 2549557
Ah wapi, mnakariri. Arusha yote tunajua dar na sisi ndio mji. Mwanza tunajua ni mji wa washamba tu.Ndio sio maana tuko mbali mno bangi TU ndo zinawachosha na mnapenda kubato huku mnajua ukweli
Ujamwelewa mwana hapo juu alisema mkoa wenye maghorofa bro...kwo hata nyumba unayokaa sio jengo?! Sasa kwa Mujibu wa Sensa mkoa wenye Maghorofa mengi Ni Dar ,Aru na mikoa Mingine inafata.Sensa jengo lolote leny floors lilihesabiwa kama gorofa ata kama ni la udongo [emoji3]
Mijengo
Nyie ndo hamjaelewa wapi tunatoka wapi tunaenda. Mwenzio kaleta inshu za hardware nkamwambia mwanza ndo sehem inayoongoza kwa majengo yanayoendelea na ujenzi 60+K tafsir ni sehem yenye matumiz makubwa ya hardwareUjamwelewa mwana hapo juu alisema mkoa wenye maghorofa bro...kwo hata nyumba unayokaa sio jengo?! Sasa kwa Mujibu wa Sensa mkoa wenye Maghorofa mengi Ni Dar ,Aru na mikoa Mingine inafata.
Ila kwa upande wa Majengo mkoa unaoongoza ni Dar ,Mwanza ,Dom na mikoa Mingine inafata ,mantiki hii ni kwamb hata mimi nikijijengea pango langu nalo litakuw ni jengo
Kaulize makaran wa sensa walitumia criteria ipi kusema hili ni gorofa alaf uje kubisha.Ujamwelewa mwana hapo juu alisema mkoa wenye maghorofa bro...kwo hata nyumba unayokaa sio jengo?! Sasa kwa Mujibu wa Sensa mkoa wenye Maghorofa mengi Ni Dar ,Aru na mikoa Mingine inafata.
Ila kwa upande wa Majengo mkoa unaoongoza ni Dar ,Mwanza ,Dom na mikoa Mingine inafata ,mantiki hii ni kwamb hata mimi nikijijengea pango langu nalo litakuw ni jengo
Kwani ujenzi wa Majengo yote Kuna blocks ?! Je kama mtu anajenga kibanda ,nyumba ya udongo nae anahitaji hard ware?Nyie ndo hamjaelewa wapi tunatoka wapi tunaenda. Mwenzio kaleta inshu za hardware nkamwambia mwanza ndo sehem inayoongoza kwa majengo yanayoendelea na ujenzi 60+K tafsir ni sehem yenye matumiz makubwa ya hardware
Mijengo [emoji92]
Hardware kweny ujenzi ni nini?Kwani ujenzi wa Majengo yote Kuna blocks ?! Je kama mtu anajenga kibanda ,nyumba ya udongo nae anahitaji hard ware?
Hiii bado ni Nyasaka [emoji95][emoji95][emoji95]