Under construction... mijengo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kama yapo mengi tuyaone ...mbona wote watu wa Mwanza ni kupost ghorofa ilo moja
Mbona huo ukweli Mimi siujui nimeanza kujulia huku huku watu wanpotoa mawazo yao
Ndiyo shida ya kukurupuka.Wenzio hii wameshapost zaidi ya mara 500,ulikuwa hujapitia tu huu uzi tangu Mwanzo? Rudi nyuma kalete hizo picha uweke na hapo mbele kuliko na nyumba za uswaziMijengooo [emoji28]View attachment 2550586
Wa kukurupuka unatuletea villas za Kinondoni kuwa ni za Arusha [emoji3][emoji3]Wewe ingia mzee mjuaji kama mjuaji ngoja nilete mijengo mingine
Na wewe mbona umatuletea jengo moja lishapostiwa zaidi ya mara 500 hapaKama yapo mengi tuyaone ...mbona wote watu wa Mwanza ni kupost ghorofa ilo moja
Hii mijengo Arusha kila siku inachomozaUnder construction... mijengo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2550696View attachment 2550698
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa uko juu alilitaka nikamtumia au unatumia sana nikupe dozi [emoji1484] hilo apo tenaNa wewe mbona umatuletea jengo moja lishapostiwa zaidi ya mara 500 hapa
Hivi ushaskia watu wa Arusha Wana dreamz za kuja Mwanza...mbona watu wa Mwanza kila siku mnamiminika ArushaHakika boss nakuambia kama ewe huna ila nyie huko Arusha mmejawa ubishi,ujuaji mwingi halafu ndo mnaonag ujanja lakin hatuwashangai maana ni asili yenu kabisa yaan mnaweza kubisha nyekundu mkakomaa kusema njano na mkasimamia msimamo
Uongo uliokolea kiufupi Arusha labda umeajiriwa nitajie shughuli gan Arusha inamvuta mtu wa mwanza aache UVUVI,UCHIMBAJI MADINI,na BIASHARA aje ARUSHA taja ila kumbuka huku Kuna chuo CHA IRDP yaan CHUO CHA MIPANGO tulikopaga jina kuwa chuo Cha watu wa Arusha maana ndo wengi sana wanakuja mwanza,pia wengi wapo huku wanahamgaika na zile biashara zao za maduka ya takatakaHivi ushaskia watu wa Arusha Wana dreamz za kuja Mwanza...mbona watu wa Mwanza kila siku mnamiminika Arusha
Hii mijengo Arusha kila siku inachom
Hivi ushaskia watu wa Arusha Wana dreamz za kuja Mwanza...mbona watu wa Mwanza kila siku mnamiminika Arusha
MwanzaJamaa uko juu alilitaka nikamtumia au unatumia sana nikupe dozi [emoji1484] hilo apo tenaView attachment 2550982
Sasa hao wenye maduka ya taka taka sio watu wa Arusha ...afu tofautisha kati ya wachaga na watu wa Arusha.Uongo uliokolea kiufupi Arusha labda umeajiriwa nitajie shughuli gan Arusha inamvuta mtu wa mwanza aache UVUVI,UCHIMBAJI MADINI,na BIASHARA aje ARUSHA taja ila kumbuka huku Kuna chuo CHA IRDP yaan CHUO CHA MIPANGO tulikopaga jina kuwa chuo Cha watu wa Arusha maana ndo wengi sana wanakuja mwanza,pia wengi wapo huku wanahamgaika na zile biashara zao za maduka ya takataka
Mkuu Mwanza kuwa na watu wengi so kwamba watu wanamove kutoka mikoa kuja Mwanza ..kwa inavojulikana tz nzima nikuwa ni wasukuma kuzaa bila uzazi wa mpango hilo liko wazi na Mwanza ni mikoa kati ya watu wake wanayoishi kwenye umaskini mkubwa huku watu wachache kujilimbikizia Mali hilo ni tofauti na ArushaKama unaona Jiji la mwanza la pili Kwa Kila kitu watu wengi mno wapo na biashara je Arusha KAZI kubwa hko ni BAR MADE Kwa wadada ila wanaume maisha magumu mno utakuta stand walivo unaogopa mwenyew mtu akiachama mdomoni mweusi anafuga Rasta chafu na wengi ni mashogakama
Sasa hiki nini?! Yani kuhusu rally za bicycle ,piki piki na magari usipost ase unatia aibu mana mkoa unaojulikana kwa kuhost hizo shughuli ni Arusha
Hili jengo linashika namba 4 kwa uzuri Tanzania nzimaJamaa uko juu alilitaka nikamtumia au unatumia sana nikupe dozi [emoji1484] hilo apo tenaView attachment 2550982
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwaninj udate na msukuma kwani arusha hakuna pisiSasa hao wenye maduka ya taka taka sio watu wa Arusha ...afu tofautisha kati ya wachaga na watu wa Arusha.
Wachaga wanatokea mkoa wa Kilimanjaro..vile vile unasema shughuli gani inawavuta watu wa Mwanza waje Arusha ...basi huku Kuna viwanda vingi sana nadhani Arusha ni top 3 ya mikoa yenye viwanda vingi tz...
Mkuu nitumie namba yako pm nikuoneshe demu nadate nae sasa wakutoka Mwanza anaishi Arusha kama utojali
Arusha not in the list [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sasa hiki nini?! Yani kuhusu rally za bicycle ,piki piki na magari usipost ase unatia aibu mana mkoa unaojulikana kwa kuhost hizo shughuli ni Arusha View attachment 2551147View attachment 2551148
Nakataa mkuu mwanza Ina utitiri wa viwanda boss yaan viwanda vya samaki havina idadi,viwanda vya maji,vinywaji nkSasa hao wenye maduka ya taka taka sio watu wa Arusha ...afu tofautisha kati ya wachaga na watu wa Arusha.
Wachaga wanatokea mkoa wa Kilimanjaro..vile vile unasema shughuli gani inawavuta watu wa Mwanza waje Arusha ...basi huku Kuna viwanda vingi sana nadhani Arusha ni top 3 ya mikoa yenye viwanda vingi tz...
Mkuu nitumie namba yako pm nikuoneshe demu nadate nae sasa wakutoka Mwanza anaishi Arusha kama utojali