KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Hizo ni myth TU na huwa nashukuru mno maana zinatufanya tupae sana kiufupi MWANZA na Mikoa YOTE Kanda ya ziwa Iko Vizuri mnoMkuu Mwanza kuwa na watu wengi so kwamba watu wanamove kutoka mikoa kuja Mwanza ..kwa inavojulikana tz nzima nikuwa ni wasukuma kuzaa bila uzazi wa mpango hilo liko wazi na Mwanza ni mikoa kati ya watu wake wanayoishi kwenye umaskini mkubwa huku watu wachache kujilimbikizia Mali hilo ni tofauti na Arusha
Hili ulilosema leta sourceHili jengo linashika namba 4 kwa uzuri Tanzania nzimaView attachment 2551193
Amna mzee Kwan mapenzi yanachagua kabila mkuu ..ni pisi nzuri Tena sana yani sijui nisemeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwaninj udate na msukuma kwani arusha hakuna pisi
Kwa kuzalianaHizo ni myth TU na huwa nashukuru mno maana zinatufanya tupae sana kiufupi MWANZA na Mikoa YOTE Kanda ya ziwa Iko Vizuri mno
Duh kwa bongo sijaona umuhimu wa flyovers ase ..kwanza hizi sio flyovers ni madaraja tuArusha not in the list [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Dodoma inazidi kuwaacha miles ahead View attachment 2551252
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kaka wazungu ni wehu na hawana nia njema nasi na ndo wanatumalizaKwa kuzaliana
Asee zipo nyingi Sanaa Canada, Luxembourg, Denmark,sweeden zipo nyingi sana mkuu ..mim naona kila kitu ni strategies tu ...sisi bongo rushwa,upigaji vimetawala..kama Arusha huku Kuna janja janja janja nyingi sanaUnajua kaka wazungu ni wehu na hawana nia njema nasi na ndo wanatumaliza
Naomba nikuulize swali unitajie nchi Gani ni tajiri na imeendelea sana ila Ina watu wachache?
Hamna kitu hapo angalia taifa la china,cheki Nigeria,south Africa, taifa lenye watu wengi linapiga sana KAZI nguvu KAZI ipo na mapato ni makubwa sana Kuna muda nawaonaga waarabu wajanja kugoma kuiabudu dollar ya marekani na wakatumia Yao na inathamani balaa ndo maana huoni inabadilishwa hapa tz labda airport pekee ila sisi ambao Hela yetu tunazuiliwa na tunapangiwa duuh hii Dunia ipo chini ya watu Fulani wanaicontrol sisi tumo ndani tunasubiri KITUO Cha kushukia TUAsee zipo nyingi Sanaa Canada, Luxembourg, Denmark,sweeden zipo nyingi sana mkuu ..mim naona kila kitu ni strategies tu ...sisi bongo rushwa,upigaji vimetawala..kama Arusha huku Kuna janja janja janja nyingi sana
Angalia Nigeria, south afrika, Ethiopia, nenda Cairo kaka,, pia unakumbuka china ilianzisha one child policy na ikaiondoa yenyew na kuruhusu kuzaa HALAFU unalipwa mshahara unazani kwannYani kama Kenya unashangaa miji kama Kisii ,eldoret napo panajengwa flyovers ,Kuna Malls kubwa za kisasa ...kwa kifupi kwa bongo sijaona malls za kufananisha na Kenya ,bongo siasa nyingi sana
Kiki zako ni matako sio Kila tamasha linapelekwa ukumbini sema HUWEZ jua Dana maana mikutano,makongamano na ziara za waheshimiwa hazifanyikii huko znafanyikia MWANZA maana Kuna maeneo ya open space, pia uwanja mkubwa KIRUMBA STADIUM,Mpaka sasa sijaona ukumbi wa mikutano mwanza zaidi ya huu👇
View attachment 2551516
Arusha unafaamika au nirudie kwa faida yenu
View attachment 2551518
Mkuu hapo ntapingana na wewe Nigeria Hawa kila siku wanakimbia nchi yao?! Nigeria hii nchi iliyokubikwa na Rushwa?Hamna kitu hapo angalia taifa la china,cheki Nigeria,south Africa, taifa lenye watu wengi linapiga sana KAZI nguvu KAZI ipo na mapato ni makubwa sana Kuna muda nawaonaga waarabu wajanja kugoma kuiabudu dollar ya marekani na wakatumia Yao na inathamani balaa ndo maana huoni inabadilishwa hapa tz labda airport pekee ila sisi ambao Hela yetu tunazuiliwa na tunapangiwa duuh hii Dunia ipo chini ya watu Fulani wanaicontrol sisi tumo ndani tunasubiri KITUO Cha kushukia TU
Kwa hawa viongozi wasio na vision sahau mwanza pia tuna master plan ila utekelezaji wake bado ni changamotoHii project ikikamilika mtarudisha mkia sehemu yake
Nakubali kabisaAmna mzee Kwan mapenzi yanachagua kabila mkuu ..ni pisi nzuri Tena sana yani sijui nisemeje
Bongo maghorofa mengi miundo ya kizamaniHili ulilosema leta source
Mkuu hapo ntapingana na wewe Nigeria Hawa kila siku wanakimbia nchi yao?! Nigeria hii nchi iliyokubikwa na Rushwa?
Kuhusu SA kuendelee ni sawa ila walioinedeleza ni makaburu ,Wazulu na Wakhosa wanajulikana kwa Uvivu na starehe iliyopindukia kuliko kufanya kazi.
Kwasasa India ndo nchi yenye idadi kubwa ya watu angalia jinsi ilivonamatabaka