Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Wewe hapo una utajiri gani hadi ukaonewa,kama ni kina Lasway wa Kibo Palace hizo blah blah zako wala hawazijui na ndiyo matajiri sasa.Kapuku mna midomo ya kuongea wakati mifukoni apeche alolo.Weka majengo usilete pang'ang'a za Magufuli kukuonea.
Mbona Umepanic bro?![emoji28][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…