Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Umejuaje Sina ? Au ndo unajudge watu kwa kukomentiJPM alikukwamisha wewe una hata msingi wa ghorofa moja au ndiyo story za kijiweni za kukwamishwa wakati hata banda la uani huna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje Sina ? Au ndo unajudge watu kwa kukomentiJPM alikukwamisha wewe una hata msingi wa ghorofa moja au ndiyo story za kijiweni za kukwamishwa wakati hata banda la uani huna.
Little more ambayo ipo Hadi kahama [emoji28][emoji28][emoji28]Supermarket kubwa na za kimataifa View attachment 2558938
Mbona Umepanic bro?![emoji28][emoji23]Wewe hapo una utajiri gani hadi ukaonewa,kama ni kina Lasway wa Kibo Palace hizo blah blah zako wala hawazijui na ndiyo matajiri sasa.Kapuku mna midomo ya kuongea wakati mifukoni apeche alolo.Weka majengo usilete pang'ang'a za Magufuli kukuonea.
Twende na site [emoji116]Hicho kijeng [emoji1484]Arusha ni nyumban kwa Majengo marefuView attachment 2558935
Sasa Muamin Hadi kahama Kuna fursa kwanin wasiweke mwanza waweke kahama
Hili mbon unarudia rudia unapiga kwa kila angle[emoji23]
Aliyekuambia little more mwanza haipo naniSasa Muamin Hadi kahama Kuna fursa kwanin wasiweke mwanza waweke kahama
Acha wenge wew ..Hilo ni jengo tofauti...Ile ya kwanza ni complex bussines..hii ni hospitalHili mbon unarudia rudia unapiga kwa kila angle[emoji23]
Mtu aliyenazo hanaga blah blah nyingi kama wewe.Weka majengo ya Matajiri wa Arusha usituletee blah blah za JPM hapa.Umejuaje Sina ? Au ndo unajudge watu kwa kukomenti
Sasa huu mbona uchafu [emoji3][emoji3]Mbona Umepanic bro?![emoji28][emoji23]View attachment 2558950
Em tuione
Sindo nakwambia ushawah ituma ukasema inaitwa Royal au sio hiiAcha wenge wew ..Hilo ni jengo tofauti...Ile ya kwanza ni complex bussines..hii ni hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi umeona blah blah hapa?! Kama kitu uwez changia bora unyamazeMtu aliyenazo hanaga blah blah nyingi kama wewe.Weka majengo ya Matajiri wa Arusha usituletee blah blah za JPM hapa.
Huu ni mjengo wa Marehemu Mathias Manga 14flrs hiliAcha wenge wew ..Hilo ni jengo tofauti...Ile ya kwanza ni complex bussines..hii ni hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Royal ni hii Acha bangi ..Ile [emoji867].ni mwanza hospitalSindo nakwambia ushawah ituma ukasema inaitwa Royal au sio hii
Floor 11 zimekuwa 14Huu ni mjengo wa Marehemu Mathias Manga 14flrs hili View attachment 2558990
Nani kwakuambia ni 11? Hizo ni 14 mkuu
Nyie simnajenga mabanda ya voda fasta tena mbaya zaidi gakuna plan yyte ya maanaTakwimu zinawabeba Arusha [emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2557842
Hilo nilokuonesha nijengo la ghorofa 14