Kwamba hata kuhesabu floor hujuiHilo nilokuonesha nijengo la ghorofa 14
Underground umehesabu?
Kwani unafikiri Bugando ina ghorofa ngapi?Mwanza ukiachana na lile jengo mnalopost kila siku ...Kuna lingine linalozidi ghorofa 10
Sijui unambie wewe mkuuKwani unafikiri Bugando ina ghorofa ngapi?
Bugando ndo Ina ghorofa 11 or
Dah! we jamaa ni muongo balaa...Huu ni mjengo wa Marehemu Mathias Manga 14flrs hili View attachment 2558990
[emoji91][emoji91][emoji91]Sijawahi Sikia Tennis kwenye Mji wa wafugaji maana Kila sehemu ni mazizi ya ng'ombe na nguruwe [emoji3][emoji3]
Chuga
Sijawahi Sikia Tennis kwenye Mji wa wafugaji maana Kila sehemu ni mazizi ya ng'ombe na nguruwe 😀😀
Chuga
Shangaa hili jamaa linavyoropokaView attachment 2559849
Hapo palipozungushiwa ni viwanja vya tennis, tena wanacheza vijana local sio wazungu tu.
Tembelea sports charity Mwanza
Ki zoom tukioneView attachment 2559849
Hapo palipozungushiwa ni viwanja vya tennis, tena wanacheza vijana local sio wazungu tu.
Hizi ni barabara?Jiji la mighorofaView attachment 2560222
Vumbi na madongo ndo kawaida ya ArushaJiji la mighorofaView attachment 2560222