Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Hii Jengo ni baya sijapata kuona ila all in all wabunifu wetu wa kibongo wanazingua...je umeona Yale majengo ya wasafiri uwanja wa Ndege wa JKKiwanda Cha ivory pipi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2561046
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu jitahid kufikiri maghorofa siyo ya Jiji Bali ni mkoa mzima Sasa sisi hayo yote uliyoona ni ya Jiji maana wilaya zetu za nje na Jiji hazina bado maghorofaKwamb ihujumiwe kivipi?! Nyie kataeni mkubali kwa maghorofa hamuwezi ikuta Arusha hata punje....na kwasasa tangu Jiwe Afariki wale watu walikimbia project zao kwa sasa wamerudi...Yani ukija Arusha Mwakani usijeshangaa kukuta ghorofa la 40Flrs Jiwe alitukwamisha sana Wana Arusha
Tuma picha zakeNarua Spring ni ya serikali?,Impala je? , Leopard ni ya serikali? ,parot hotel ni ya serikali? Yote nilokutajia Yana flrs 12,13,14,15 .
Tuje Mwanza nitajie Majengo marefu ambayo yamejengwa na watu binafsi
Shoga we Baki kwenu kusini unawaza kupanuliwa ad unachanganya mambo KIA imekuwa Arusha lini bwabwa weww
Poleni sanaNdio
Mwanza jiji iko vizuri kushinda Arusha jijiKwamba mwanza mna barabara nzuri kuzid arusha
HapanaMwanza jiji iko vizuri kushinda Arusha jiji
Naura Spring mzee ulijui jengo la bluu pale sanawariTuma picha zake
Naura spring hotel tunaijua sana kuliko wenyeji wanaoiona kwa nje. Ila pakawaida tu sema kumbi zake kidogo ni kubwa lakini hazipo kisasa.Naura Spring mzee ulijui jengo la bluu pale sanawari
Bodaboda huyo ataijulia wapi Naura? ππNaura Spring mzee ulijui jengo la bluu pale sanawari
Taja na idadi ya Miradi bas ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Arusha imeijambia tena Mwanza kwenye investments [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ We Jamaa bwana Kwa kujifariji hujambo..Taja na idadi ya Miradi bas ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2563022
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko hapo arusha imeizidi mwanza GDP .[emoji1787][emoji1787][emoji1787],,,,, Idadi kubwa ya miradi ni kuonyesha kiwango Cha makampuni yanayowekeza katika eneo[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] We Jamaa bwana Kwa kujifariji hujambo..
Sasa idadi ya miradi ndio inakusaidia nini? GDP inapima idadi ya miradi au value ya miradi? [emoji3][emoji3]
Kubaki umekojolewa na Arusha no way out ,Mwanza ni mtoto mdogo sana Kwa Arusha.
Soma hyo[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] We Jamaa bwana Kwa kujifariji hujambo..
Sasa idadi ya miradi ndio inakusaidia nini? GDP inapima idadi ya miradi au value ya miradi? [emoji3][emoji3]
Kubaki umekojolewa na Arusha no way out ,Mwanza ni mtoto mdogo sana Kwa Arusha.
Umeamua kujifariji πππ
Kwamba hujaiona kwenye jukwaa la Kahama [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeamua kujifariji [emoji16][emoji16][emoji16]
Tunasubiria ripoti ya 2022
Hapana
Hiyo sio kes at Moro Ina investment kubwa kulko mikoa mingine au pwan Iko na investment kubwa but does It not mean is ahead than othersArusha imeijambia tena Mwanza kwenye investments ππππ