Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Sasa identity ndio muongee na kila mutu hahaha hamuwezi tofautisha kwamba hapa ni town kuna watu wa aina mbali mbali munadhani wote wasukuma dah😂😂😂
Mfano leo nimepanda kidala eti konda anauliza kituo kwa kisukuma sasa ndio nini hiki kama siyo ushamba na ujinga uliowajaa
Hallucination zinakusumbua, Mwanza haijawahi kupokea watu wa aina yako na kama unataman kuja mwanza sema tukuchangie pesa.
 
Sasa identity ndio muongee na kila mutu hahaha hamuwezi tofautisha kwamba hapa ni town kuna watu wa aina mbali mbali munadhani wote wasukuma dah😂😂😂
Mfano leo nimepanda kidala eti konda anauliza kituo kwa kisukuma sasa ndio nini hiki kama siyo ushamba na ujinga uliowajaa
Ushamba ni kuolewa na vibabu mkuu kuongea lugha yako popote huo ni ujasiri
 
Ushamba ni kuolewa na vibabu mkuu kuongea lugha yako popote huo ni ujasiri
Izo ni attack binafsi, kuongea kilugha kati kati ya jiji kama hili huu ni ushamba ulopitiliza. Ingefanyika uko ndani ndani siyo kati kati ya mji. Hii inaonesha jinsi gani muna ushamba mwingi.
 
Arusha mmebaika hotel moja tu kwasasa, zingine zimekuwa ni hostel za wanafunzi mna ipi kipi nyie kwasasa.
Hahaha hujajibu swali basi huna hoja tena ..taja hotel gani ni hostel apo town, nimekupunguziya uzito wa swali
 
Izo ni attack binafsi, kuongea kilugha kati kati ya jiji kama hili huu ni ushamba ulopitiliza. Ingefanyika uko ndani ndani siyo kati kati ya mji. Hii inaonesha jinsi gani muna ushamba mwingi.
Mbona unapata tabu, unatesekea ukiwa arusha sehemu gani?
 
Izo ni attack binafsi, kuongea kilugha kati kati ya jiji kama hili huu ni ushamba ulopitiliza. Ingefanyika uko ndani ndani siyo kati kati ya mji. Hii inaonesha jinsi gani muna ushamba mwingi.
Watu wanaongea lugha zao kwenye mikutano ya UN sembuse kwenye jiji lake iwe ushamba.
Hata mkiwaiga wakenya hamuwezi kuwa hat version mbovu ya wakenya
 
Watu wanaongea lugha zao kwenye mikutano ya UN sembuse kwenye jiji lake iwe ushamba.
Hata mkiwaiga wakenya hamuwezi kuwa hat version mbovu ya wakenya
Mkuu sijui kama unaelewa nachomaanisha, kati kati ya jiji unaongeaje kisukuma tu kama vile unaongea na wasukuma wakati wengine sii ni wageni tunachuma pesa kisha tunapeleka Arusha.

Lishakuwa jiji basi lazima kuwe na standard mukae kama muko kwenye jiji kweli siyo kijiji kikubwa.
 
Mkuu sijui kama unaelewa nachomaanisha, kati kati ya jiji unaongeaje kisukuma tu kama vile unaongea na wasukuma wakati wengine sii ni wageni tunachuma pesa kisha tunapeleka Arusha.

Lishakuwa jiji basi lazima kuwe na standard mukae kama muko kwenye jiji kweli siyo kijiji kikubwa.
Wakiongea kisukuma wanakuzuia nini kuchuma mapesa!?
Arusha ni sehemu ambayo ili uhudumiwe kama mwenyeji mpaka ujifanye mwenyeji kama kubadili lafudhi.
 
Hahaha nakupa suali jepesi tu. Hapa mwanza nipe list ya hotel zenye price kwanzi usd 200 yani laki tano tu per day😂😂😂
List ni hii👇👇
Screenshot_20230410-164006_1681134076396.jpg
 
Acha kupoteza lengo nitajie hotel za nyota tano tatu tu ambazo zipo active.
Upo Arusha na unauliza suali jepesi na lakijinga hivi
Arusha tungepata ziwa kama vikitoria au bahari aise tungekuwa tunaongea mengine saa hii
Screenshot_20230410-163815.png
Screenshot_20230410-163947.png
Screenshot_20230410-164003.png
Screenshot_20230410-164025.png
Screenshot_20230410-164045.png
 
Nitajie list ya five stars hotels apa kuenu mwanza nikutajie chache kama 80 tu zilizopo Arusha
Eti chache kama 80 tu hapo Arusha. Unafikiri kwenye hii argument ni Mimi napaswa kukutajia hotel za mwanza au ni wewe. Shuleni mlipita kujifunza kupenga kamasi tu.
 
Sasa u apoleta matusi wakati sisi tunakupa fact ina maanisha una panick kwa kuambiwa ukweli.

Arusha Ni half London
Geneva of Africa
Fact ya maneno maneno bila ushahidi unafikiri tupo kitchen part hapa. Kama huwezi kushindana acha kuanzisha nyuzi za namna hii. Arusha ni half of London justify it siyo mboyoyo, hatupo kijiwe Cha bangi hapa
 
Eti chache kama 80 tu hapo Arusha. Unafikiri kwenye hii argument ni Mimi napaswa kukutajia hotel za mwanza au ni wewe. Shuleni mlipita kujifunza kupenga kamasi tu.
Ha haha mwanza kuna hotel za usd 200 per day😂😂😂😂😂
Ivi kuna huku kuna international hotels.🙄🙄🙄
 
Kutokana na ukaribu wa dodoma singida na Arusha basi vijana wengi wa huko huja town na kufanya izo mbanga. Ila sikutanii mwanza siyo kama munavyoipamba hapa nimeona mwenye niko hapa mjini kabisa
Upo mjini wapi wewe
 
Back
Top Bottom