Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Fact ya maneno maneno bila ushahidi unafikiri tupo kitchen part hapa. Kama huwezi kushindana acha kuanzisha nyuzi za namna hii. Arusha ni half of London justify it siyo mboyoyo, hatupo kijiwe Cha bangi hapa
Taja five stars hotels 5 tu acha kuleta mbambamba mwenzio anajishika shika. Mukishindwa hapa basi mwanza ni kijiji kikubwa siyo city.
 
Taja five stars hotels 5 tu acha kuleta mbambamba mwenzio anajishika shika. Mukishindwa hapa basi mwanza ni kijiji kikubwa siyo city.
Wewe hujaleta five star hotel unataka nikujibu kwa KIFUNGU kipi. Hivi unajua hata hizo five star hotel kweli?
 
Nimekuambia hotel zipo tatu tu Gran MELIA, kibo na mount meru
Mbona unakwepa suali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ taja hotel kumi tu zenye cost inayoendana na jiji. Yani kwanzia at least usd 200 apa mwanza mimi nakupa ofa nakutajia kumi na tano (15) za Chugastan
 
Mbona unakwepa suali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ taja hotel kumi tu zenye cost inayoendana na jiji. Yani kwanzia at least usd 200 apa mwanza mimi nakupa ofa nakutajia kumi na tano (15) za Chugastan
We unasafari kubwa sana ya kujifunza .
 
Kama jiji halina five stars hotels hata moja linakuwaje jiji? Jiji halina hotel yenye gharama hata ya laki tano (USD 200 per day) linakuwaje jiji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizo screen shot zake zimemuumbua lkn hajaona tu kwasababu ya ujinga wake.
Mkuu wewe shamba boy unakwepa swali na uyo ndugu yako kajichanganyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mbona swali jepesi tu mkuu. Taja five stars hotel hata moja tu yenye gharama hata ya laki tano tu ($500 per day)
Jiji kama hili linakosaje five stars hotels 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…