Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Katikati ya jiji watu wanaongea kisukuma tu mwanzo mwisho ndio kuwe na five stars hotels kweli.
 
Hotel ya gharama inayopatikana mwanza ni Malaika tu TZS 300k hahaha ndiyo hiyo tu huu mji local Sana sema una mtaji wa watu.
 
Hahaha unachekesha sana! Mtu ashindwe kujenga Masaki ajenge Arusha kwa lipi la maana hapo Arusha?
Mnawachukia sana watu wa Mwanza hiyo kitu hapo ni ya Ngosha anaitwa Nyembo! Kajinyongeni sasa!
Mshamba wa mwanza, sisi watu wa arusha ata masaki haitushutui fyi
 
Kwa hiyo hawana hela au??? Punguza chuki za kikabila mlevi wwe

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…