Ndiyo vizuri wakushughulikie vizuriWatu wa mwanza munaniangusha Sana.
Mkuu tumekubalia mwanza hakuna five stars hotels 😀😀😀Ndiyo vizuri wakushughulikie vizuri
Una umri gani? Ukute nabishana na mtoto wa daraasa la tatu B.Taja five stars hotels hata moja tu mimi nakutajia kumi na tano 15 zilizopo Chugastan 😂😂😂😂
Mshamba wa mwanza, sisi watu wa arusha ata masaki haitushutui fyiHahaha unachekesha sana! Mtu ashindwe kujenga Masaki ajenge Arusha kwa lipi la maana hapo Arusha?
Mnawachukia sana watu wa Mwanza hiyo kitu hapo ni ya Ngosha anaitwa Nyembo! Kajinyongeni sasa!
Mwanza international airport.. radar and control towerMshamba wa mwanza, sisi watu wa arusha ata masaki haitushutui fyi
Watasema hapo ni CalifoniaMwanza international airport.. radar and control tower View attachment 2584036
Control tower...ebu tuone ya KIA [emoji1787][emoji1787]Mshamba wa mwanza, sisi watu wa arusha ata masaki haitushutui fyi
Watakuletea kisongoMwanza international airport.. radar and control tower View attachment 2584036
KIA ni Arusha🤣🤣🤣🤣🤣Control tower...ebu tuone ya KIA [emoji1787][emoji1787]View attachment 2584052
Uliona raha ulipokuwa unaangalia pori la arusha pamoja na mlima, ukiwa unapiga Kilimanjaro lager ukaona kama upo Los Angeles.Juzi nilikuwa Vacay kidogo ase Arusha watu tuna Enjoy ,sehemu Kali, location Bomba, hali ya hewa nzuri. View attachment 2584219
Hiyo inaitwa view babu acha ushamba[emoji23]Uliona raha ulipokuwa unaangalia pori la arusha pamoja na mlima, ukiwa unapiga Kilimanjaro lager ukaona kama upo Los Angeles.
Hyo sehemu haiwezi kufika hapàJuzi nilikuwa Vacay kidogo ase Arusha watu tuna Enjoy ,sehemu Kali, location Bomba, hali ya hewa nzuri. View attachment 2584219
Unainjoi msituniJuzi nilikuwa Vacay kidogo ase Arusha watu tuna Enjoy ,sehemu Kali, location Bomba, hali ya hewa nzuri. View attachment 2584219
Kwa hiyo hawana hela au??? Punguza chuki za kikabila mlevi wweWatu wa kaskazini na wakenya wanafanana sana tabia, ni wazee wa sifa na kupublish vitu vya uongo ili kujikweza, mara mahotel mengi Tanzania nzima wanaongoza, mara maghorofa, mara utajiri wanaongoza, ukiwaambia waje kwa ground kila siku kupost jengo moja.
😂😂😂 nimechoma panapoumaKwa hiyo hawana hela au??? Punguza chuki za kikabila mlevi wwe
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Mwanza watu wake ni washamba sana bro,,,Katikati ya jiji watu wanaongea kisukuma tu mwanzo mwisho ndio kuwe na five stars hotels kweli.
Mnateseka na watu Mwanza mkiwa sehemu gani?Mwanza watu wake ni washamba sana bro,,,
Yaani ukishukia JKI au magufuli terminal wakajua umetokea mwanza yaani sijui wanakuonaje,
Wakazi wa mwanza ushamba ni jadi
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app