Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Watu wanatengeneza documentary Arusha hawawezi tengeneza vijijini kama mwanza
At kilwa na bagamoyo wazungu hutengeneza documentary au hujui maana wanashangaa hayo mapagale hivo na Arusha zile nyumba za akina majanaba lazima mzungu apige picha


Kuna mzungu rafiki angu wa kike alikuwa ananiambia kuwa kabla hajaja afrika aliambiwa hakna nyumba za maana tunaishi maporini na akipata wasiwasi kuwa ataishi wapi akifka lakin alipofika akashangaa kuona maisha Yako poa TU,,hivo at watalii wanaopiga picha hayo mapagale ya Arusha wanaenda hko ulaya,au Asia kuwambia waaafrika wanalala kwenye
Mwanza ni washamba sana, kutwa kupiga picha. Mtazoea lini lakini?
Jf sio mikutano au mahubir ya dini kuamin bila kuona humu ni fact unaongea na evidance,,without evidance is just a fallacy story elewa ewe PWAGUZI don't realize you degree of stupidity
 
Hahah Yani Hadi watu wanaelewa Chugamaica namna ilivo
Screenshot_20230414-215408.jpg
 
Wageni wangewahi kuujenga mji wao na kupata hadhi ya Jiji mapema kabla yenu.
Waliupata kisiasa mpaka BBC mwaka ule walishangaa imekuwaje mwanza mji usiokuwa na huduma za kimataifa usio na maendeleo ya kiteknolojia ukaitangulia arusha inayowazidi kila kitu. Ndio suala likaja kumbe mwanza yamezaana zaana hovyo yapo mengi bila mpango. Kigezo ndio hiko, kuzaazaa
 
Waliupata kisiasa mpaka BBC mwaka ule walishangaa imekuwaje mwanza mji usiokuwa na huduma za kimataifa usio na maendeleo ya kiteknolojia ukaitangulia arusha inayowazidi kila kitu. Ndio suala likaja kumbe mwanza yamezaana zaana hovyo yapo mengi bila mpango. Kigezo ndio hiko, kuzaazaa
Lete evidance hapa sio kanisani kihubir Kwa Imani bila kuona,,najua ew ni lesbian hivo umelowa ad ubongo,, ukiwa timamu huwez andika habar bila ushahid hii ni story TU 😂😂😂
 
Waliupata kisiasa mpaka BBC mwaka ule walishangaa imekuwaje mwanza mji usiokuwa na huduma za kimataifa usio na maendeleo ya kiteknolojia ukaitangulia arusha inayowazidi kila kitu. Ndio suala likaja kumbe mwanza yamezaana zaana hovyo yapo mengi bila mpango. Kigezo ndio hiko, kuzaazaa
BBC ndo anatoa kibali Cha mji kuwa Jiji. Jitathimini basi. Akili ya kubishana unayo kweli au unaropoka tu. What is BBC by the way?
 
Waliupata kisiasa mpaka BBC mwaka ule walishangaa imekuwaje mwanza mji usiokuwa na huduma za kimataifa usio na maendeleo ya kiteknolojia ukaitangulia arusha inayowazidi kila kitu. Ndio suala likaja kumbe mwanza yamezaana zaana hovyo yapo mengi bila mpango. Kigezo ndio hiko, kuzaazaa
Jiji mwanza imepewa 2000 kipind hjazaliwa lakin Arusha mmpewa 2010 rasimi,, pia mwanza Ina contain ilemela,nyamagana na Kwa Sasa imechukua magu na misungwi Sasa utalinganisha na mji Kam Arusha imegawanyika mjini na kijijini yaan Arusha mjini na Arusha kijijini?
 
Back
Top Bottom