Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Nani kakwambia watu wa Arusha ni wachaga bro?Uongo mkubwa mnaukabila mno na roho mbaya sana hakuna asiye wajua wachaga ukifungua biashara hko labda upitie mgongo wa mchaga aonekane mmiliki lakin bila hivo ni shida
Arusha DC kwani ndo Arusha Jiji bro?[emoji1484]hii ni Arusha city council jua kutofautishaYule @ Quality control alisema Iko wilaya nyingine tofaut na ARUSHA DC wakat ipo Arusha DC [emoji23][emoji23]
Asa si ndo hyo DC imextend Kijiji ila mwanza hatna Kijiji jomba now tunasubili manispaa mbili tena kisesa na usagara halafu unatunisha misuliArusha DC kwani ndo Arusha Jiji bro?[emoji1484]hii ni Arusha city council jua kutofautishaView attachment 2593039
Mchanganyiko but waliojaa ni wachaga na biashara zao za maduka ya takataka na migahawa Sasa waarusha mnajua biashara? Nan muarusha anamilki Hela ya maanaNani kakwambia watu wa Arusha ni wachaga bro?
Ukiongea uwe na uhakika hiyo ni nini Tena mwanza city council ...ndo mana nasema wasukuma Huwa mnakurupuka sanaAsa si ndo hyo DC imextend Kijiji ila mwanza hatna Kijiji jomba now tunasubili manispaa mbili tena kisesa na usagara halafu unatunisha misuli
Ase kumbe we Amna unachojua bora unyamaze kimya ... Mathiasi Manga ambaye anahotel ya gold crest huko kwenu wasukuma ni muarushaMchanganyiko but waliojaa ni wachaga na biashara zao za maduka ya takataka na migahawa Sasa waarusha mnajua biashara? Nan muarusha anamilki Hela ya maana
Boss hiyo at ew unawez andika Kwa Arusha Yako lengo wakuu waone wafanyie Kaz mm mwenyew naunga mkono hoja siwez sifu jomba lazima nilalamike sana ukisifu wanajua kuwa mnakila kitu,,,Yani kumbe Ndo hivi alafu mnataka fananisha Mwanza na Arusha ase Mko mbaliView attachment 2593038
Sjaelewa hapo umepost kata za NYAMAGANA unamanisha Nini hapo ulipozungushia?Ukiongea uwe na uhakika hiyo ni nini Tena mwanza city council ...ndo mana nasema wasukuma Huwa mnakurupuka sanaView attachment 2593051
Usichekeshe uma😂😂😂Ase kumbe we Amna unachojua bora unyamaze kimya ... Mathiasi Manga ambaye anahotel ya gold crest huko kwenu wasukuma ni muarusha
Nimepost Ilboru ukasema kwamba kata watu 9000 kwamba bado ni kijijin na hapo ni Arusha DC ...nami nimekuonesha mwanza city. Council kata yenye watu 2000 nayo napo ni kijijin?Sjaelewa hapo umepost kata za NYAMAGANA unamanisha Nini hapo ulipozungushia?
PeNimepost Ilboru ukasema kwamba kata watu 9000 kwamba bado ni kijijin na hapo ni Arusha DC ...nami nimekuonesha mwanza city. Council kata yenye watu 2000 nayo napo ni kijijin?
Sasa mbona unaanza kutoa sababu babu we mwanzo ulicheka means unacheka bila kujua sababu wewe una conculude ..nami hapo nimeconclude ....vitu vingine makazi kama hivi so vyakucheka mkuu....mfano [emoji1484]Arusha kata ya sokoni 1 inawakazi wengi sana na hata mwanza hakuna kata yenye wakazi wengi kama hii ...kata ya sokoni ni moja wapo ya kata 10 zenye wakazi wengi TanzaniaSasa inategemea unajua sisi wasukuma tunapenda fursa sana hasa zenye kuingiza mipunga mikubwa hivo Kuna kata kama pamba,nyamagana zimejaa mashule,,na taasi hvo sio Makaz sana,pia mirongo ni eneo la biashara Kwa sana na sio makazi coz lipo CBD
Pe
Hiki ni nini?Ukiongea uwe na uhakika hiyo ni nini Tena mwanza city council ...ndo mana nasema wasukuma Huwa mnakurupuka sanaView attachment 2593051
Mwanangu unatumia custom rom ya pixel experience au Google pixel?Sasa mbona unaanza kutoa sababu babu we mwanzo ulicheka means unacheka bila kujua sababu wewe una conculude ..nami hapo nimeconclude ....vitu vingine makazi kama hivi so vyakucheka mkuu....mfano [emoji1484]Arusha kata ya sokoni 1 inawakazi wengi sana na hata mwanza hakuna kata yenye wakazi wengi kama hii ...kata ya sokoni ni moja wapo ya kata 10 zenye wakazi wengi Tanzania View attachment 2593105
Haionekan post upyaSasa mbona unaanza kutoa sababu babu we mwanzo ulicheka means unacheka bila kujua sababu wewe una conculude ..nami hapo nimeconclude ....vitu vingine makazi kama hivi so vyakucheka mkuu....mfano [emoji1484]Arusha kata ya sokoni 1 inawakazi wengi sana na hata mwanza hakuna kata yenye wakazi wengi kama hii ...kata ya sokoni ni moja wapo ya kata 10 zenye wakazi wengi Tanzania View attachment 2593105
Ulichopost ew unakisoma au mbona hakionekanSasa mbona unaanza kutoa sababu babu we mwanzo ulicheka means unacheka bila kujua sababu wewe una conculude ..nami hapo nimeconclude ....vitu vingine makazi kama hivi so vyakucheka mkuu....mfano [emoji1484]Arusha kata ya sokoni 1 inawakazi wengi sana na hata mwanza hakuna kata yenye wakazi wengi kama hii ...kata ya sokoni ni moja wapo ya kata 10 zenye wakazi wengi Tanzania View attachment 2593105
Kwani wewe umeshindwa kuanzisha mpaka umkomalie mwenzio.Fungua thread ya dodoma vs Arusha hapa ni Arusha vs Mwanza ....hii ndio tofauti ya wasukuma na watu wa Arusha developed city ilipo
Mall 5 Arusha!!!!? bwana mdogo unakijua unachokizungumza hapa?Picha hazifunguki...sasa Arusha kuhusu malls huku zipo zaid ya 5 labda ulete vitu vingine
Hapo si mnamalizia ujenzi wa lile godown au huelewiArusha Airport hiyo inapanuliwa ..Jiwe amekufa kaskazin sasa imefungukaView attachment 2592651