Now wanajenga arena halafu walivo waajabu mikoan wanawapa render mnazan mnajengewa kumbe danganya toto mtakaa ata miaka minne ila dar wakisema kinafanyika haraka viwanja vya mpira kama vyote,na arena najiuliza Kwan wakipiga kiwanja Cha mpira Arusha,mbeya na MWANZA bas timu ziwe znachezea at mikoan hususani Simba na yanga lakin Kila kitu dar huu ni upuuzi sana,,
Kule mbeya kiwanja kixhachakaa balaa na Ile garden wakaparua nikazan wanajenga au kuweka kitu Cha maana lakin hola,Kuna muda waliongea Kwa mbwembwe kweli wanajenga mall na eneo lipo lakin ad Leo ila dar wakisema ni chapu TU
Angalia machinga wanapigwa marufuku huku mikoani huku Hamna soko la maana la kuwakusanya