Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complex
Wanamachinga complex ya kisasa, na sasa wanajengewe Arena na pia uwanja wa kisasa wa msalato international airport, wakati ujenzi wa kiwanja cha ndege cha mwanza bado ni kizungumkuti.
 
Mzee hapa kuna tatizo jiulize bandari ina miaka mingapi pale ndo wamrekebisha juzi yaani hakuna mtu atajali mahali unless pawe kwao ndo uongozi wa bongo....Tanga ya miaka 80's ndo ile ile hakuna jengo jipya na viwanda vinakufa then mtu anakuja "watu wa Tanga wavivu" 😂.

Kazi hamna acha wacheze bao .
Serikali ya hovyo sana hii, na sasa upepo umehamia dodama na kigoma, ili eneo lako lifaidi lazim litoe kiongoz mkubwa, lakini Dar bado ndio mnyonyaji mkubwa.
 
Serikali ya hovyo sana hii, na sasa upepo umehamia dodama na kigoma, ili eneo lako lifaidi lazim litoe kiongoz mkubwa, lakini Dar bado ndio mnyonyaji mkubwa.
Mbona unalalamika sana chief.... mwanza ndani ya miaka mitano tumemeza zaidi ya 1 trillion so tulia miradi ipo mingi sana mwanza

Sasa dodoma inamiradi gani mikubwa kuizidi mwanza?
 
Mbona unalalamika sana chief.... mwanza ndani ya miaka mitano tumemeza zaidi ya 1 trillion so tulia miradi ipo mingi sana mwanza

Sasa dodoma inamiradi gani mikubwa kuizidi mwanza?
Miundombinu ya Barabara zenye lami og huoni boss,,
 
Miundombinu ya Barabara zenye lami og huoni boss,,
Hiii nchi bado ni masikini sana tusijidanganye na haya majiji ya hovyo hovyo hapa bongo

Kila kitu kinaenda kwa hatua hauwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kwenye hii nchi masikini

Mnataka tujengewe daraja la busisi,stand ya nyamhongolo,stand ya nyegezi,maji butimba,soko kuu,lami imetandazwa mjini kote na baadhi ya maeneo kama mwananchi, nyegezi,mji mwema,kiloleni,sabasaba-buswelu,buswelu hadi kijereshi,buswelu hadi kahama,iloganzara hadi bwiru bila kusahau kitangiri hadi ibanda na nera mwaloni nk

Tujifunze kua na shukran kwenye hiii serikali ya kifisadi
 
Hiii nchi bado ni masikini sana tusijidanganye na haya majiji ya hovyo hovyo hapa bongo

Kila kitu kinaenda kwa hatua hauwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kwenye hii nchi masikini

Mnataka tujengewe daraja la busisi,stand ya nyamhongolo,stand ya nyegezi,maji butimba,soko kuu,lami imetandazwa mjini kote na baadhi ya maeneo kama mwananchi, nyegezi,mji mwema,kiloleni,sabasaba-buswelu,buswelu hadi kijereshi,buswelu hadi kahama,iloganzara hadi bwiru bila kusahau kitangiri hadi ibanda na nera mwaloni nk

Tujifunze kua na shukran kwenye hiii serikali ya kifisadi
😂😂😂😂😂
 
Mbona unalalamika sana chief.... mwanza ndani ya miaka mitano tumemeza zaidi ya 1 trillion so tulia miradi ipo mingi sana mwanza

Sasa dodoma inamiradi gani mikubwa kuizidi mwanza?
Napoingelea mwanza namaanisha jiji, pesa za sgr,mara meli hiyo inahusika nini na jiji la mwanza, jiji kama jiji imepata nini?,meli ni ya Tanzania itaenda bukoka mpka uganda, haya mambo yenu ndio yanafanya tuwe jiji la ovyo.
 
Mahela yote hayo yanamwagwa Dar wakati sehemu nyingine tunalia na barabara pesa zote hizo zinawekwa kwenye lisoko, hii nchi ni ya ovyo sana ni bora tuambiwe kuwa Dar ndio Tanzania na wengine hatustahili kupata vitu vizuri, pesa za kujenga Dar huwa zipo lakini pesa za kujenga sehemu nyingine utaambiwa subiri bajeti au wapo kwenye feasibility study.
Tena hizo bil.hapo ni za structure hiyo pekee ila investment yote kwenye hiyo logistics ni dola mil.500
 
Miundombinu ya Barabara zenye lami og huoni boss,,
Tukisema tunaambiwa kuna madaraja, sgr kuna mameli yamemeza pesa kama vile hiyo ni miradi ya jiji la Mwanza au miradi ya kitaifa, kama daraja la kigongo busisi liko huko sengerema, toka lianze kujengwa sijawahi kuliona hata kwa macho.
 
Hiii nchi bado ni masikini sana tusijidanganye na haya majiji ya hovyo hovyo hapa bongo

Kila kitu kinaenda kwa hatua hauwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kwenye hii nchi masikini

Mnataka tujengewe daraja la busisi,stand ya nyamhongolo,stand ya nyegezi,maji butimba,soko kuu,lami imetandazwa mjini kote na baadhi ya maeneo kama mwananchi, nyegezi,mji mwema,kiloleni,sabasaba-buswelu,buswelu hadi kijereshi,buswelu hadi kahama,iloganzara hadi bwiru bila kusahau kitangiri hadi ibanda na nera mwaloni nk

Tujifunze kua na shukran kwenye hiii serikali ya kifisadi
Unataja barabara za toka enzi za ukoloni, unataka kila hatua tusubiri miaka 50.
 
Serikali ya hovyo sana hii, na sasa upepo umehamia dodama na kigoma, ili eneo lako lifaidi lazim litoe kiongoz mkubwa, lakini Dar bado ndio mnyonyaji mkubwa.
Acheni kuionea Kigoma na Western huko Bado ni mapori na kulipuuzwa sana..

Serikali ongeza mapesa upande huo ili kufungua fursa..
 
Tukisema tunaambiwa kuna madaraja, sgr kuna mameli yamemeza pesa kama vile hiyo ni miradi ya jiji la Mwanza au miradi ya kitaifa, kama daraja la kigongo busisi liko huko sengerema, toka lianze kujengwa sijawahi kuliona hata kwa macho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiii nchi bado ni masikini sana tusijidanganye na haya majiji ya hovyo hovyo hapa bongo

Kila kitu kinaenda kwa hatua hauwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja kwenye hii nchi masikini

Mnataka tujengewe daraja la busisi,stand ya nyamhongolo,stand ya nyegezi,maji butimba,soko kuu,lami imetandazwa mjini kote na baadhi ya maeneo kama mwananchi, nyegezi,mji mwema,kiloleni,sabasaba-buswelu,buswelu hadi kijereshi,buswelu hadi kahama,iloganzara hadi bwiru bila kusahau kitangiri hadi ibanda na nera mwaloni nk

Tujifunze kua na shukran kwenye hiii serikali ya kifisadi
Naona umetaja barabara za Ilemela tu hapo kwa 90%, za Mwanza cc zipo wapi then unataka kuniambia tuwe na shukrani kwa lip?
 
Back
Top Bottom