Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😂😂Mji wa Tanga wameshagautelekeza now ndo wanakomaa kuboresha Bandari swali je miaka yote hawakujua kuwa hyo Bandari ni potential? Au kjizima data TU
Kweli acha wacheze bao maana Kuna viwanda na majengo mazr yaliachwa na mkoloni lakin now ni magofu na viwanda vimekufa,
Kilwa Sasa duuh ni hovyo kabisa et mji wa kwanza kjitengenezea pesa yake ila fika uone 😂😂😂
Umekaribia kupiga picha nyumbani kwangu 🧐😂😂 hyo mitaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi pia naishi mitaa hioUmekaribia kupiga picha nyumbani kwangu [emoji3166][emoji23][emoji23] hyo mitaa
Nyasaka ni balaa kule ukiwa kapuku utahama mwenyewe TUNyasaka catholic churchView attachment 2595371
Aaah pamoja sana home sweet[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi pia naishi mitaa hio
Mnakaa ...kusiko na breeze ya ziwa nyie na waarusha hamna utofauti [emoji16][emoji1787][emoji1787]Aaah pamoja sana home sweet
Bwiru wealth au sio,,,lakin nyasaka ni nomaa sana hakuna kapukuMnakaa ...kusiko na breeze ya ziwa nyie na waarusha hamna utofauti [emoji16][emoji1787][emoji1787]
Ukikaa hii mitaa u feel rock city View attachment 2595574
Sent using Jamii Forums mobile app
Bat ziko na rangi safi sio kama zile nyumba za isyesye na nzomve mbeya 😂😂😂Mnakaa ...kusiko na breeze ya ziwa nyie na waarusha hamna utofauti [emoji16][emoji1787][emoji1787]
Ukikaa hii mitaa u feel rock city View attachment 2595574
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyasaka ipiBwiru wealth au sio,,,lakin nyasaka ni nomaa sana hakuna kapuku
Sisi tunaitwa watu wa mikoani wakiwa na maana sio sehemu ya Tanzania, ukija Mwanza barabara ya maana hamna hata moja, majiji kama mwanza, arusha na mbeya haina miundombinu bora, hata flyover tu wakitaka kuangalia wanaenda Dar, kila kitu kinapelekwa Dar na Dodoma kwa kweli sio sawa kabisaa, itafikia hatua tutaomba serikali za majimbo.KONK MASTER haha sasa tazama Dar Ina machinga complex Ina Soko la kariakoo ,Ina Soko la kisutu ,magomen n.k Lakin Bado serikali Ina limbikiza miradi kibaoo ..unategemea nchi inafunguka kirahisi[emoji23] ...wakati kuna mikoa ya potential kama Mwanza ,Arusha ,Mbeya na TangaView attachment 2594788
Mahela yote hayo yanamwagwa Dar wakati sehemu nyingine tunalia na barabara pesa zote hizo zinawekwa kwenye lisoko, hii nchi ni ya ovyo sana ni bora tuambiwe kuwa Dar ndio Tanzania na wengine hatustahili kupata vitu vizuri, pesa za kujenga Dar huwa zipo lakini pesa za kujenga sehemu nyingine utaambiwa subiri bajeti au wapo kwenye feasibility study.KONK MASTER haha sasa tazama Dar Ina machinga complex Ina Soko la kariakoo ,Ina Soko la kisutu ,magomen n.k Lakin Bado serikali Ina limbikiza miradi kibaoo ..unategemea nchi inafunguka kirahisi[emoji23] ...wakati kuna mikoa ya potential kama Mwanza ,Arusha ,Mbeya na TangaView attachment 2594788
UhakikaSisi tunaitwa watu wa mikoani wakiwa na maana sio sehemu ya Tanzania, ukija Mwanza barabara ya maana hamna hata moja, majiji kama mwanza, arusha na mbeya haina miundombinu bora, hata flyover tu wakitaka kuangalia wanaenda Dar, kila kitu kinapelekwa Dar na Dodoma kwa kweli sio sawa kabisaa, itafikia hatua tutaomba serikali za majimbo.
Ukweli hii nchi Ina viongozi kasuku sanaMahela yote hayo yanamwagwa Dar wakati sehemu nyingine tunalia na barabara pesa zote hizo zinawekwa kwenye lisoko, hii nchi ni ya ovyo sana ni bora tuambiwe kuwa Dar ndio Tanzania na wengine hatustahili kupata vitu vizuri, pesa za kujenga Dar huwa zipo lakini pesa za kujenga sehemu nyingine utaambiwa subiri bajeti au wapo kwenye feasibility study.
Ndio maana kila wawekezaji wakubwa wa viwanda lazima wapelekwe Pwani, ni bora waseme mapema tukaungane na burundi, rwanda au uganda kabisa huu ujinga tumechoka.This is My Country, Pwani na Dar ndio Tanzania Arusha na Tanga ni Kenya Lake Zone Unganeni na Rwanda🤣🤣🤣🤣, na bado tunajenga Arena
Mapato ya migodi yanaenda kuhesabiwa dar, Tra makato ya bandari yanahesabiwa dar, kila kitu kinachofanyika mikoani kinahesabiwa Dar ili kuwafnya watu wa mikoani wajione wanyonge kuwa hawachangii chochote kwenye taifa, ili ionekane dar ndio inamapato makubwa wakati kiuhalia dar si chochote.Kweli nakubali Sina pingamiz maana at naona Kwa macho ila hapa dawa ni serikali ya majimbo tuone hyo Dar mapato kama wataongoza maana ni upuuzi TU wanacentralize mapato mgodi upo geita Kodi inalipwa dar wakat Hawa dar ukitoa Bandari hamna Kila kitu
Ku
Nilikuwa nawashangaa watu wanaopambana na mwanza wakati hii nchi inaliwa na Dar na Dodoma.Kabisa ingetakiwa kila mkoa uwe na pesa za kujenga miradi yao ..haiwezekan mapato ya sato na Sangara kutoka mwanza inaenda kujengewa Arena dar ,Mapato ya utalii Arusha inaenda kujenga Mwendokasi dar Yani kwamba tz nzima dar ndo kuna folen mikoa Mingine folen hamna wanazingua sana
Watu wa arusha hawaagizi magari toka Japan je hayo mapato ya TRA ya mtu wa arusha, yatahesabika sehemu gan?
Tunachezewa sana ndugu zangu, au wanataka watu wote tuishi Dar.Now wanajenga arena halafu walivo waajabu mikoan wanawapa render mnazan mnajengewa kumbe danganya toto mtakaa ata miaka minne ila dar wakisema kinafanyika haraka viwanja vya mpira kama vyote,na arena najiuliza Kwan wakipiga kiwanja Cha mpira Arusha,mbeya na MWANZA bas timu ziwe znachezea at mikoan hususani Simba na yanga lakin Kila kitu dar huu ni upuuzi sana,,
Kule mbeya kiwanja kixhachakaa balaa na Ile garden wakaparua nikazan wanajenga au kuweka kitu Cha maana lakin hola,Kuna muda waliongea Kwa mbwembwe kweli wanajenga mall na eneo lipo lakin ad Leo ila dar wakisema ni chapu TU
Angalia machinga wanapigwa marufuku huku mikoani huku Hamna soko la maana la kuwakusanya