KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
NakaziaDaladala zote mwisho wake huwa ni kwwnye mavumbi na matope, gari za kishiri, luchelele, machinjioni, mahina, bulale hizo ni za route ya daladala zitki kutaja za kwenye kata au mitaa zile ambazo ni muhimu zaidi.
Naona umekubali ukweli Sasa πππMzee hapa kuna tatizo jiulize bandari ina miaka mingapi pale ndo wamrekebisha juzi yaani hakuna mtu atajali mahali unless pawe kwao ndo uongozi wa bongo....Tanga ya miaka 80's ndo ile ile hakuna jengo jipya na viwanda vinakufa then mtu anakuja "watu wa Tanga wavivu" π.
Kazi hamna acha wacheze bao .
Wana li mradi la DEGE la matrillion ya pesa.Sas kama unalalamika Kwa level ya halmashauri....kigamboni wana mradi gan wa maana ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kulitambua hilo, tunatakiwa kuwa wakweli kuliko kuumia wakati hatuna barabara hapo Mwanza cc, Ilemela ndio inatuweka mjini.Viongoz wa nyamagana macho yote yapo town,,,naweza kusema Viongoz wa ilemela ni wajanja wanajua kucheza na fursa
[emoji1] walianzia pale kijereshi lami ikaenda hadi buswelu+kahama wakaacha hako ka kipande ka kijereshi to machinjion[emoji1787] nyamagana kweli Viongoz wake wapuuzi
Tanga ilitelekezwa huwezi kufananisha na washamba wa Mbeya kwa kila kitu...Tunachangia pesa ndefu serikalini nyie parachichi hamna kituππNaona umekubali ukweli Sasa πππ
Tanga ni Vijiji kama Vijiji vingine..
Huwezi pata Barabara Kali kama hii ya Dar-Iringa-Mbeya-Tunduma huko Kijiji Cha Tanga. View attachment 2596221View attachment 2596222View attachment 2596223View attachment 2596224View attachment 2596225View attachment 2596226
Nakwambia ILEMELA wako fiti mno wanajua potential area haya now Kule bwiru Kuna lami inatoka sabasaba inapita breweries Kuja kuunga kitangiri road na wako wanaendelea na ujenzi,, hko ilalila nazan unaona mambo yanaendelea vizr, njoo KIRUMBA road za kuzunguka SOKO znachongwa na greda na wanajengelea mitaro pande zote,,vip NYAMAGANA wapo TUπViongoz wa nyamagana macho yote yapo town,,,naweza kusema Viongoz wa ilemela ni wajanja wanajua kucheza na fursa
[emoji1] walianzia pale kijereshi lami ikaenda hadi buswelu+kahama wakaacha hako ka kipande ka kijereshi to machinjion[emoji1787] nyamagana kweli Viongoz wake wapuuzi
Umenifurahisha sana uliposema ilemela ni pakishua hakika kabisaπππkwani kila kitakacho jengwa nyamagana na ilemela kiwepo l?
Ilemela ni tambarare(pa kijanja) sasa wewe unataka lami nyamagana iende wapi?
Nikiacha u-proIlemela ni kweli nyamagana inapitia changamoto kubwa sana kata kubwa kama ya kishiri hawezi kukosa lami aiseeeDaladala zote mwisho wake huwa ni kwwnye mavumbi na matope, gari za kishiri, luchelele, machinjioni, mahina, bulale hizo ni za route ya daladala zitki kutaja za kwenye kata au mitaa zile ambazo ni muhimu zaidi.
Viongozi badala ya kubuni miradi na kuwa na maono wamekalia kufuga vitambi tu.Nakwambia ILEMELA wako fiti mno wanajua potential area haya now Kule bwiru Kuna lami inatoka sabasaba inapita breweries Kuja kuunga kitangiri road na wako wanaendelea na ujenzi,, hko ilalila nazan unaona mambo yanaendelea vizr, njoo KIRUMBA road za kuzunguka SOKO znachongwa na greda na wanajengelea mitaro pande zote,,vip NYAMAGANA wapo TUπ
Inawakazi 64000+ na hakuna hata barabara ya changarawe, nikae natetea liserikali la namna hii si nitakuwa mpumbavu.Nikiacha u-proIlemela ni kweli nyamagana inapitia changamoto kubwa sana kata kubwa kama ya kishiri hawezi kukosa lami aiseee
Kwan WANATUZIDI Nini nyamagana ukitoa CBD,ππ, Wana PC HOTEL sie tnadunda na malaika ππ,Ilemela ni ushuani sana hakuna slums mda si mrefu nyamagana lazima apitwe
Hivi mbunge wa nyamagana ni nani?Nakwambia ILEMELA wako fiti mno wanajua potential area haya now Kule bwiru Kuna lami inatoka sabasaba inapita breweries Kuja kuunga kitangiri road na wako wanaendelea na ujenzi,, hko ilalila nazan unaona mambo yanaendelea vizr, njoo KIRUMBA road za kuzunguka SOKO znachongwa na greda na wanajengelea mitaro pande zote,,vip NYAMAGANA wapo TU[emoji23]
Haina Kuna muda mvua zikizidi bro unashukia stand ya kishiri igoma unatafta boda maana magar hayafiki road imeliwa na mvua ad kero halafu unaskia mbuge anapongeza Kwa raisi kuwa anaupiga mwingi kapewa madarasa na kujengewa vyoo πππNikiacha u-proIlemela ni kweli nyamagana inapitia changamoto kubwa sana kata kubwa kama ya kishiri hawezi kukosa lami aiseee
Ilemela kuna chuo cha DIT, kuna Malaika beach, kuna uwanja wa ccm kirumba, kuna soko kubwa la samaki EA la kirumba, kuna stendi ya nyamhongolo, kuna uwanja wa ndege Mwanza internatiomal airport, kuna makazi bora kuna barabara za kutosha, kuna hotel za nyota 3 na 4 nyamagana wanatuzidi CBD tu.Kwan WANATUZIDI Nini nyamagana ukitoa CBD,ππ, Wana PC HOTEL sie tnadunda na malaika ππ,
STANSLAUS mabulaHivi mbunge wa nyamagana ni nani?
Me hata simjui, nafikiri ni kitwanga, au kasalali.Hivi mbunge wa nyamagana ni nani?
Naongezea Kuna shopping mall kama rock city mall,,kna beach Kali sana kama tunza beach and resort,kiufupi ilemela pakishua mbuge mjanja sana,,kuliko yule anajiita mtoto wa mjini wakati anakaa vumbiniIlemela kuna chuo cha DIT, kuna Malaika beach, kuna uwanja wa ccm kirumba, kuna soko kubwa la samaki EA la kirumba, kuna stendi ya nyamhongolo, kuna uwanja wa ndege Mwanza internatiomal airport, kuna makazi bora kuna barabara za kutosha, kuna hotel za nyota 3 na 4 nyamagana wanatuzidi CBD tu.
Ila ilemela kuna visima vya walimbwende, watoto wakali a.k.a pisi kali, yaani pisi za kuombea mkopo bankTuna airport,CCM kirumba,rock city mall mitaaa ya kishua ndio balaa kubwa pisi ndio usiseme[emoji1787]
Pia tumemtoa otile brownIla ilemela kuna visima vya walimbwende, watoto wakali a.k.a pisi kali, yaani pisi za kuombea mkopo bank