The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwa hiyo unabishana na takwimu au? Arusha magorofa 7,000 vs Mwanza 2,000 😁😁.Arusha bado sana kwa JIJI letu la Mwanza...
Nani bado sana Mwanza au Arusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unabishana na takwimu au? Arusha magorofa 7,000 vs Mwanza 2,000 😁😁.Arusha bado sana kwa JIJI letu la Mwanza...
Kwani aliyekuambia arama ya mji ni maghorofa ninani?Mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya majengo ya ghorofa #Tanzania kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022 1. Dar es Salaam: 32,219 2. Arusha: 7,180 3. Tanga: 4,282 4. Kilimanjaro: 3,540 5. Mwanza: 2,481
[emoji28][emoji28]hyo ndo stendi yenu [emoji28][emoji28][emoji28]Hapo Kuna ukali gani zaidi ya filter na make ups tuu hizo?
Arusha is classic [emoji116]
Huu uchafu [emoji706][emoji706]Bwana mapank kubari tuu kwamba Mwanza bado sana kwa Arusha..
Siku mkifika level za kuwa na skyline iliyopambwa na mandhari safi Kama hii mtasumbua sana,Arusha [emoji116]
Kwani ghorofa kitu gani ungesema population hapo kidogo ungekuwa na point, hata hivyo Mwanza kwa population mkalale na moshi wako.Mwanza bado sana hakuna lolote zaidi ya ziwa ,watu wanachapwa hadi na Kilimanjaro kwenye maghorofa iyo ni jiji ama glorified village..?
Machalii wa chuga ni tatizo sana, uwezo wao kifikra na upembuzi wa mambo ni mdogo zaidi ya kawaida......Kwani ghorofa kitu gani ungesema population hapo kidogo ungekuwa na point, hata hivyo Mwanza kwa population mkalale na moshi wako.
Baki njia kuu, Tetea miji yako ya Mbeya na NJOMBE. Usiwe kama mwanamke malaya malaya unafakamia madume. Au unawashobokea machalii *****. Kwanza hunaga points pili unapost picha ya jengo Moja Moja... Childish.Chuga Kama chuga I azidi kupendezeshwa na roads Kali 👇
Picha Moja Moja namna hii ni kupotezeana muda tu huna view ya eneo Hilo?Arusha 👇
Au akija kutokea tajiri hapa Tanzania akajenga apartment ya vigorofa 34000, mkoani Lindi, pia watakuja kusema lindi ni bora kiuchumi kuliko Dar kwasababu ya vigorofa😂😂😂😂Kwani ghorofa kitu gani ungesema population hapo kidogo ungekuwa na point, hata hivyo Mwanza kwa population mkalale na moshi wako.
Ndio manake , Uchumi utahamia LindiAu akija kutokea tajiri hapa Tanzania akajenga apartment ya vigorofa 34000, mkoani Lindi, pia watakuja kusema lindi ni bora kiuchumi kuliko Dar kwasababu ya vigorofa😂😂😂😂
Ukisikia paa tayari Arusha imepiga kwenye mshono 😁😁.Baki njia kuu, Tetea miji yako ya Mbeya na NJOMBE. Usiwe kama mwanamke malaya malaya unafakamia madume. Au unawashobokea machalii *****. Kwanza hunaga points pili unapost picha ya jengo Moja Moja... Childish.
Wapi wewe, Wana Arusha wenyewe wapo kimya ila wajombe ndo anatupigisha kelele kuna shida mahalaUkisikia paa tayari Arusha imepiga kwenye mshono 😁😁.
Hayo mengine Ni ya kujifariji
Ulifaulu kweli darasani wewe😀😀😀😀Ndio manake , Uchumi utahamia Lindi
Made in Mwanza [emoji4][emoji4][emoji4], Chugga wanapambana na zile warbus [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Watu wa chuga wakionaga hvi wivu debe..vitu HIV miaka milioni 999 ,,,ndo Arusha watakuwa navyo ..we guess lile bonde la ufa pale babati litaleta spread na kutengeneza bahari ya kati ya Afrika mashariki itaenda Hadi Kwa wagogo [emoji28]..(the east Africa sea)View attachment 2421220View attachment 2421221
Ili dude ni hatari pia ni kiboko ya machalii wa r😅😅😅😅Made in Mwanza [emoji4][emoji4][emoji4], Chugga wanapambana na zile warbus [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ama kweli mahaba niue ndyo hii kitu. Unaanzaje kulinganisha jiji la Mwanza na town center kama Arusha? Ebu acheni ujinga bwana. Tena jiji lenyewe la Arusha limebebwa na serikali miaka nenda rudi wakati Mwanza ni jiji lilikuwa lenyewe bila support yoyote ya serkali labda awamu ya tano tu ndio serikali imefanya angalau kidogo investment huko Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla.Bwana mapank kubari tuu kwamba Mwanza bado sana kwa Arusha..
Siku mkifika level za kuwa na skyline iliyopambwa na mandhari safi Kama hii mtasumbua sana,Arusha 👇
Huyu tatizo lake alipigwa na uncle Magu na kitu kizito kwa nyuma hivyo akamchukia uncle Magu na kanda ya ziwa yote. Yupo tayari kushabikia Mogadishu na Kisimayu ila siyo Mwanza au kanda ya ziwa. Huwa nafikiria sana ni kitu gani Uncle Magu alimfanyia huyu jamaa hadi akajenga chuki kiasi hicho. Huyu jamaa ni dizaini ya wanawake ambao wakitoswa na njemba zao wanachukia ukoo mzima wa hiyo njemba utadhani alikuwa anapigwa miti na ukoo mzima.Baki njia kuu, Tetea miji yako ya Mbeya na NJOMBE. Usiwe kama mwanamke malaya malaya unafakamia madume. Au unawashobokea machalii *****. Kwanza hunaga points pili unapost picha ya jengo Moja Moja... Childish.