Hizo km 20 za wapiVumbi gani buswelu, ina four ways kuna round about mbili a.k.a keep left mbili na zote zina lami, na sasa kuna mradi wa tactic buswelu peke yke mpaka sasa mtandao wake wa lami ni 20 km kata moja tu.
Buswelu haipitiwi na lami ya sabasaba kwa 60%, buswelu haipitiwi na lami ya kuanzia veta mpaka huko kahama ilalila na kabusungu, buswelu ina mradi wa tactic 9.5 km 70% itapita buswelu kwenye mtaa wa nyamadoke endelea kupambana n buswelu, tunaomba za mkolani, igoma, kishiri, buhongwa, mahina, bulale,luchelele na nyegezi.
Umeua kabisaIsamilo nampa Nyasaka, Capripoint naipa Bwiru na bugando naipa buswelu.
SAUT naipa DIT
Buzuruga plazza naipa city link.
Jembe beach naipa Kwa Tunza sitaki kuipambanisha na Malaika.
Nyamagana haoni ndani kwa ilemela nyasaka,bwiru,buswelu,kiseke,ilemela,kirumba,kiloleni,maduka tisa,nyamanoro,nyamhongolo,jiwe kuu kote huko ni balaaa tupuNyie endeleeni kuhangaika tu ...
maeneo smart kama isamilo, Capripointn na bugando huwezi yapata ilemela.... buzuruga upande wa plaza na mwananchi , viwanda vikubwa ,chuo kikuu Cha SAUT ,..
Tourist destination kama wag will na jembe beach [emoji3553]..... uzuri wa nyamagana huwezi uona Kwa kutembea Kwa hiace au daladala mjini.... inabidi uexprole Kwa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Ilemela hayoNipo KIRUMBA Huku Ile road inatoka magomen kuzunguka kuunga soko KIRUMBA mwaloni aisee wanapiga lam kama uonavyo kwenye picha na mitaro imejengelewa pande zote mbiliView attachment 2596334
JITU KUBWA, nyamagana uswazi mwingi kinoma pale password,igogo na bugarika sjui Kuna watanga kule unakuta wanacheza road wanafunua dera ππNyamagana haoni ndani kwa ilemela nyasaka,bwiru,buswelu,kiseke,ilemela,kirumba,kiloleni,maduka tisa,nyamanoro,nyamhongolo,jiwe kuu kote huko ni balaaa tupu
Nyamagana maeneo yake mengi yamekaa kiswahili mfano mkuyuni,mswahili,shede,mandera(igoma),minazi mitatu(bugarika C) na maeneo baadhi ya igogo huko hadi vigodoro wanacheza tena wanavua hadi vyupi[emoji1787] sasa haya mambo ilemela utayapata wapi?
Mtu akigoogle slums za mwanza zitakuja picha za nyamagana[emoji1787] igogo,mabatini na sahara[emoji1787]
SOTE TUSEME ILEMELA JITU KUBWA
Kumbe chief ulishaona hilo, hao wararabu wa kayenze wanakera sana, yaani wamekatalia katikati ya mji wakiwa na vichuguu vyao na kutoka hawataki.Halafu watanga sjui baiskeli ni jadi Yao Kuna Mzee anaendesha baiskeli hapa town anaelekea msikitini anapat shida kweli kama ujuavyo jamu ya hapa,,huwa namtania sana.
Na Hawa warabu Koko wanatuharibia miji wanakaa katkati ya Jiji vijumba vya kale vimechoka lakin kuhama wabishi ndo maana TANGA imekaa kama magofu ya kilwa kumbe shida ni Hawa waswahili ππwapo mitaa ya mirongo na rufiji wanaharibu city view ππ
Ulipiga wakati wa mvua?Ilemela sio Haba mjengo hu kirumba mitaa ya Azania bankView attachment 2596455
Noma vijumba vibovu lakin hawataki kuachia site hata ukiwa dodoma wamejazana mail mbili Kwa mody vijumba kama choo mbala mwezi ikiwaka ndan unaona nyota nyingi ππ bat limetoboka toboka nyumba imesimama Kwa egemeo la nguzo ya mti ππKumbe chief ulishaona hilo, hao wararabu wa kayenze wanakera sana, yaani wamekatalia katikati ya mji wakiwa na vichuguu vyao na kutoka hawataki.
Ulipiga wakati wa mvua?
Wanaweka lami au zege?Yes mvua pia hyo Barabara ndo inapigwa lami now wako bize balaa
Hizo ni zege bado hawajaanza KUMWAGA lamiWanaweka lami au zege?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo tabia nimeziona sana hayo maeneoJITU KUBWA, nyamagana uswazi mwingi kinoma pale password,igogo na bugarika sjui Kuna watanga kule unakuta wanacheza road wanafunua dera [emoji24][emoji24]
Zege naona wanapiga og kama Ile ya mwaloniWanaweka lami au zege?