Pongezi sana kwao IlemelaZege naona wanapiga og kama Ile ya mwaloni
😂😂😂😂 konk master kwenye ubora wako.Noma vijumba vibovu lakin hawataki kuachia site hata ukiwa dodoma wamejazana mail mbili Kwa mody vijumba kama choo mbala mwezi ikiwaka ndan unaona nyota nyingi 😂😂 bat limetoboka toboka nyumba imesimama Kwa egemeo la nguzo ya mti 😂😂
Yaan Hawa Koko ndo wamefanya TABORA ikadumaa kukua, maswa kudumaa ni wao waswahili ujenzi wa nyumba zao ni wakizamani sana ni kama makumbusho😂😂😂😂 konk master kwenye ubora wako.
😂😂😂😂😂😂😂 konk master kwenye ubora wako.
Kuna wakati nakukubali ila wakati mwingine unajitoaga akiliNaona umekubali ukweli Sasa 😂😂😂
Tanga ni Vijiji kama Vijiji vingine..
Huwezi pata Barabara Kali kama hii ya Dar-Iringa-Mbeya-Tunduma huko Kijiji Cha Tanga. View attachment 2596221View attachment 2596222View attachment 2596223View attachment 2596224View attachment 2596225View attachment 2596226
Pongezi sana kwao Ilemela
Mama yetu Angelina anatupambania sana.Ilemela kama Angelina akipita tena baada ya miaka kumi ilemela itakuwa ni busan
Sasa hapa Kuna nini Cha maana bro wangu [emoji1787][emoji1787][emoji16]Ilemela kwa upande wa makazi bora ni habari nyingine kabisa View attachment 2596403View attachment 2596414
Kuna eneo kama hili nyamaganaNyie endeleeni kujifariji....
Mnaposema nyamagana ni uswazi ..ni maeneo machache tu kama igogo , mabatini, mkuyuni na butimba......lakin mitaa mingine ya nyamagana ni standard na wanajenga kisasa ... angalia nyegezi, buhongwa,mhandu , bugarika, kishiri,igoma ....Pako bomba tu ...
Nimeuliza swali sijajibiwa hiv Kuna mtaa smart kuzidi ihii[emoji91]...[emoji116]View attachment 2596496View attachment 2596497View attachment 2596499View attachment 2596504
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyamagana ni nzuri sana tatizo inamaeneo yenye uswahili mengi tena sio uswahili huu ni ule uswahili wa pwani[emoji1787][emoji1787]Sasa hapa Kuna nini Cha maana bro wangu [emoji1787][emoji1787][emoji16]
Uswazi uko wapi.. mbona mnachuki na nyamagana [emoji28][emoji116]View attachment 2596509View attachment 2596510View attachment 2596511
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa...Nyamagana ni nzuri sana tatizo inamaeneo yenye uswahili mengi tena sio uswahili huu ni ule uswahili wa pwani[emoji1787][emoji1787]
Bugarika C inapakana na igogo na mkuyuni aiseee ni balaaahh tupu kule kuna wanawake wanakodiwa kwenye ugomvi ukiwakuta wamevaa Madera ndani hawana vyupi ni balaaa tupu na ngoma juuu
Siku ya kwanza kuwaona sikuamini kama hiii ndio mwanza ya Wasukuma wapole
Nyamagana ukitoa igogo,mabatini,bugarika na mkuyuni maeneo yate yaliyobaki ni mazuri sana
Render inasema ni 10+floor.Kweli kabisa...
Muda wa wadhamini imeisha ... ARUSHA msijifiche kichapo kinaendelea [emoji28][emoji28][emoji28]
paqwa ChoiceVariable
Site mpya [emoji116]View attachment 2596529View attachment 2596531
Sent using Jamii Forums mobile app
Unyama mwingi sana boss
Bango halisomekiKweli kabisa...
Muda wa wadhamini imeisha ... ARUSHA msijifiche kichapo kinaendelea [emoji28][emoji28][emoji28]
paqwa ChoiceVariable
Site mpya [emoji116]View attachment 2596529View attachment 2596531
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa...
Muda wa wadhamini imeisha ... ARUSHA msijifiche kichapo kinaendelea [emoji28][emoji28][emoji28]
paqwa ChoiceVariable
Site mpya [emoji116]View attachment 2596529View attachment 2596531
Sent using Jamii Forums mobile app
NikusaidieBango halisomeki