ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kazi ya Serikali kwani hawaoni kwamba Mwanza inahitaji barabaraKwa nini iwe lazima kuingia Katikati ya Mji? Why zisijengwe py pass za kutosha kuepusha msongamano hapo mjini hasa asubuhi na jioni?
Busan Mwanza ni Moja ya Mikoa Maskini sana hapa Tanzania ,imagine Mkoa una na watu karibu mil.4 yet unazidiwa na Arusha Kwa watu kumiliki Visimbuzi..[emoji134][emoji134]
Hivyo ni viashiria vya Maendeleo ngazi ya familia acha blaa blaa za kujifariji.Maendeleo sio kisambuzi mwana mtu anamiliki 14pro max ila hta whatsapp ajaweka
😂😂Hivyo ni viashiria vya Maendeleo ngazi ya familia acha blaa blaa za kujifariji.
Wapi Tanga vs Mbeya 😂😂😂😂😂
Hesabu idadi ya kaya kwanza then tubishane ila usitufananishe na washambaWapi Tanga vs Mbeya 😂😂😂😂😂
Tanga na Mwanza no difference watu wengi ila maskini 🤣🤣
Jamaaa ana husda na hajui kuchuja taarifa analeta kama zilivvyo 😂😂hilo ndo tatizo ya kufanya kazi halmashauri mda mrefu ndo maana amekuwa mtu wa majungu na umbea plus husda.Siku zote CDM hawajawah sema wanaikubali CCM ata ifanye mambo mazr namna gan watakosoa TU,,hivo binafs chki zako at huw hazina maana nakuonaga kama gehu TU,,utakuta unapost ziara ya wazir mkoa Fulani Sasa najiuliza Kwan ulitaka asiende hko au mbona mwanza ziara kibao za mawazir lakin hatupost maana hakuna maajabu ni kawaida mawaziri kuzuru Kila mkoa.
Kingine ushagakosa thread ambayo Iko active ndo maaana ukandandia hii ya MZ vs AR Kila siku unatma unapuuzwa,,,
Tengeneza thread ya kupondea mwanza TU kadir uwezavyo choice variables
Mkuu, wewe umehama Nini?jamaaa ana husda na hujui kuchuja taarifa analeta kama zilivvyo 😂😂hilo ndo tatizo ya kufanya kazi halmashauri mda mrefu ndo maana amekuwa mtu wa majungu na umbea plus husda.
Busan Mwanza ni Moja ya Mikoa Maskini sana hapa Tanzania ,imagine Mkoa una na watu over 4 Mil yet unazidiwa na Arusha Kwa watu kumiliki Visimbuzi..🙆🙆
Hapana!! huyo choice mzee wa kuleta taarifa za uongo dailyMkuu, wewe umehama Nini?
Washamba ni kina nani kwanza tuanzie hapo ...kabla hatujaliibukia Hilo zizi lako la wavaa misuliHesabu idadi ya kaya kwanza then tubishane ila usitufananishe na washamba
Hapo mbeya anataka kufananisha Mbeya na Tanga..Washamba ni kina nani kwanza tuanzie hapo ...kabla hatujaliibukia Hilo zizi lako la wavaa misuli
Bro ukweli hakuna ushamba pwani hata tukileta takwimu tambua hilo kabla sijafungua vault utakimbia hapa.!Washamba ni kina nani kwanza tuanzie hapo ...kabla hatujaliibukia Hilo zizi lako la wavaa misuli
Washamba ni kina nani kwanza tuanzie hapo ...kabla hatujaliibukia Hilo zizi lako la wavaa misuli