Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Vault ipi ....Kwa hyo kwenye majiji ya kijanja utaweka Tanga?Bro ukweli hakuna ushamba pwani hata tukileta takwimu tambua hilo kabla sijafungua vault utakimbia hapa.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vault ipi ....Kwa hyo kwenye majiji ya kijanja utaweka Tanga?Bro ukweli hakuna ushamba pwani hata tukileta takwimu tambua hilo kabla sijafungua vault utakimbia hapa.!
ulisikia wapi kuna washamba ? very smart ni abandoned city still watu hawaonyeshi ushamba bado ni wajuaji huwezi kufananisha na watu wa bara.Vault ipi ....Kwa hyo kwenye majiji ya kijanja utaweka Tanga?
Huo uswahili unawasaidia nini ikiwa bado level ya umaskini ni kubwa ..ulisikia wapi kuna washamba ? very smart ni abandoned city still watu hawaonyeshi ushamba bado ni wajuaji huwezi kufananisha na watu wa bara.
Nenda hata south africa then ulizia mabaaria wa kwanza kuzamia beach boys ..ukweli mchungu hata muwe vip ni washamba tunawaona kuanzia hata viongozi wenu hawajuaji hata kuvaa mifano ipo dhahiri.
Sisi ni wajuaje na wabishi in real yaani ukisikia waswahili ndo sisi .
😂😂😂sisi maskini taja mikoa maskini..na weny udumavu wa kula then uje ..Huo uswahili unawasaidia nini ikiwa bado level ya umaskini ni kubwa ..
By the way..Tanga is no longer a city
Wambie wenzio wa mbeya maana mko group Moja[emoji23][emoji23][emoji23]sisi maskini taja mikoa maskini..na weny udumavu wa kula then uje ..
Ukiwa mshamba hamna kitu utanieleza.!
Wambie wenzio wa mbeya maana mko group Moja
Usilazimishe battle na mm utaumia ...........View attachment 2611094
Mjanja ni mjanja tu maisha assume mji umetelekezwa hakuna cha maana tangu mwaka 90 viwanda kama tegemezi zilishakufa ,plus mkonge na hyo bandari ndo imeanza kufanya kazi mwaka huu kwa uhakika tena mwezi wa 2...Fursa ni chache maana viwanda hamna ila top ten ya maskini hawapo kwa nn wasipongezwe?
Ulisikia mradi gani unajengwa Tanga zaidi ya wa bomba la mafuta ...Ulisikia wapi watu wa Tanga wanalalamika ? still ombaomba ni nadra kuwaona labda uende maduka ya wahindi ila kuzagaa mtaani unaweza usione hata mwaka nzima.
Mshamba ubattle na nan?Usilazimishe battle na mm utaumia ...........
It's better ustick na mbeya ,,hyo ndo mnawezana ila kwingine utaumia tu..
Size yako ChoiceVariable
Fala sana wewe
😆😆😆😆Fala sana wewe
Mwanza mjin wengi wanatumia cable barmedas na Mwanza cable wanawatumiaji zaidi ya 200kBusan Mwanza ni Moja ya Mikoa Maskini sana hapa Tanzania ,imagine Mkoa una na watu over 4 Mil yet unazidiwa na Arusha Kwa watu kumiliki Visimbuzi..[emoji134][emoji134]
Cables ni za maskini na kwenye biashara sio majumbaniMwanza mjin wengi wanatumia cable barmedas na Mwanza cable wanawatumiaji zaidi ya 200k
Masikini anaweza kununua tv?Cables ni za maskini na kwenye biashara sio majumbani
Endelea kuleta stori za kusadikikaCables ni za maskini na kwenye biashara sio majumbani
Hiii picha ni unyama mwingi [emoji95]Site [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2611351
Nasemaga kila siku Tanga ni pakijanja kuliko mwanza, mtu wa mwanza ukimweka na mtu wa tanga utaelewa. Mwanza maendeleo yameanza jana tu ndio maana malimbukeni.Usilazimishe battle na mm utaumia ...........
It's better ustick na mbeya ,,hyo ndo mnawezana ila kwingine utaumia tu..
Size yako ChoiceVariable
Ndio maana mnaambiwa nyie ni washamba, what is so special? Alafu kuna mwenzake anasema eti ni unyama mwingi?! 🤣 🤣 Mwanza i rest my case.Site [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2611351