ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kumbe nilikuwa sijui 😁😁😁😁Leo umeangalia Tulia Marathon? Ule sio mji ni kijiji!
Mbeya ni mji uliojaa mabanda na hauna hata gorofa za maana!
Hata Kahama inawakalisha!
Hakuna kujifariji Mwanza ni Jiji la hovyo and shaghalabaghala.
Hivi Kuna mtaa wa Mwanza unaweza Kuta umepimwa wote na hakuna dream houses mabanda kama ilivyo forest Mpya au Iwambi?