Umeona mabanda hayo?. Asee akili mzigo isijekuwa tunahangaika na teja hapa.Buswelu ilete hapa kama hutoona mabanda ya nguruwe yamechanganyikana na nyumba za kishua,mbaya zaidi ni unplanned..
Huko Iwambi ya washua Iko planned achana na iwambi ya mabanda
Sehemu kama hii ya airport inapakana na mabanda licha ya kuwa na Mandhari mazuri ambayo yangefaa sana kujengwa makazi ya kishua View attachment 2612413View attachment 2612414[
Hicho ni kipimo Tosha Cha kuonyesha unahangaika na eneo usilolijua. Yaani kafika mwanza airport halafu hajaona structure ya jengo la abiria🤔🤔. Kigagula.comAcha ubwege basi,nimefika hapo Malaika kule airport na sijaona lile jengo lenu la airport inayojengwa yaani Huwa mnaleta render ila structure haipo ni kama vile ujenzi umetelekezwa..
Hii sanawari tunayopigiwa kelele hapaDiversity ya nyoko
Kiongoz mbona haunijibu nimekuuliza upo wapi nikutembeze kwa gharama zangu mimiMwanza Tourist Hotel pekee ndio walau linapamba Mwanza na likikamilika litapendeza zaidi.
Utakutana na mtu anakwambia eti Arusha inategemea majengo ya serikali Sasa sijui hili ni la nani [emoji23][emoji23]
Mji hauna mitaa Wala Barabara ni Mji gani huo? Hovyo kabisaHicho ni kipimo Tosha Cha kuonyesha unahangaika na eneo usilolijua. Yaani kafika mwanza airport halafu hajaona structure ya jengo la abiria🤔🤔. Kigagula.com
[emoji3][emoji3][emoji3] Kuna mda unaongea kama umekatika kichwa, yaaan kila kitu unacho kiona mwanza kimewekwa juzi juziSasa Hizi Screen kumbe mmeanza kuwekewa juzi ....mbona Arusha Zipo kitambo afu nyingi tu
Pori gani tena, katika Majiji ya hovyo Mwanza ni hovyo of lowest classMwanza huwez kufananisha na porini huko
🤣🤣🤣🤣 Inauma si ndio? Mwanza bwana even main main roads zimejaa viraka mbaya yaani ni shida Kila sehemu 😀😀We senge
Angalia ratio ya majengo ya serikalo kati ya Mwanza na Arusha, 90% ya majengo ya arusha ni ya serikali, lakini mwanza ni 10% ndio ya serikali.Mwanza Tourist Hotel pekee ndio walau linapamba Mwanza na likikamilika litapendeza zaidi.
Utakutana na mtu anakwambia eti Arusha inategemea majengo ya serikali Sasa sijui hili ni la nani 😂😂
Narudia tena nitafute mimi nipo mwanza nitakutembeza kwa gharama zangu sitaki urudi kwenu ukiwa umejaa ujinga kama huuNimetembelea maeneo yaliyo kando kando ya Barabara yanayofokika kama city centre,kirumba,kuja malaika beach ,Igoma,ziwani kule wanauza samaki nk View attachment 2612800View attachment 2612801View attachment 2612794View attachment 2612795View attachment 2612796View attachment 2612801View attachment 2612800View attachment 2612799
Unachekesha sana, najua unaikubali sana Mwanza tatizo unaugulia moyoni, angalia hapa ulivyo kigeugeu👇👇Mji hauna mitaa Wala Barabara ni Mji gani huo? Hovyo kabisa
Tatizo umeenda na fixed mind .. kwamba mwanza ipo hovyo ...ulitakiwa akili yako iwe flexible tofauti na hapo ni chuki tu zinakuendesha ...unasema mwanza barabara tatu unakuwa umeimaliza lakin bado hujatembelea kiseke to buswelu,,bado hujatembelea pasiansi road to buzuruga.......na Sina hakika kama umetembelea musoma road....Mji hauna mitaa Wala Barabara ni Mji gani huo? Hovyo kabisa
Sasa kwani arusha ni origin ya wachagap? Ficha ujinga. Alafu kumbe ata diversity huelewi maana yake. Unaongelea slums.Sasa Lema si mchaga. Diversity unayoiongolea hapa ni kwasababu ya Lema na gambo, stupid!!!!!. Kwendra.......
Hizo main road za kenyata road na musoma road zinakuwa decongested to dual carriage muda wowote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inauma si ndio? Mwanza bwana even main main roads zimejaa viraka mbaya yaani ni shida Kila sehemu [emoji3][emoji3]
anang'ata na kupuliza ... Arusha wanapigwa Kwa nyuma na wanalambwa Kwa mbele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unachekesha sana, najua unaikubali sana Mwanza tatizo unaugulia moyoni, angalia hapa ulivyo kigeugeu[emoji116][emoji116]
View attachment 2612940
Kumbe Arusha zipo ?Mji hauna mitaa Wala Barabara ni Mji gani huo? Hovyo kabisa
Wew kifupi umetembelea barabara ya airport,,, isamilo,kirumba na city center bas ......Nimetembelea maeneo yaliyo kando kando ya Barabara yanayofokika kama city centre,kirumba,kuja malaika beach ,Igoma,ziwani kule wanauza samaki nk View attachment 2612800View attachment 2612801View attachment 2612794View attachment 2612795View attachment 2612796View attachment 2612801View attachment 2612800View attachment 2612799