Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Arusha
Mjengo umesimama[emoji91][emoji91][emoji91]Mwanza mtanuna sana ,Arusha is on [emoji91][emoji91]View attachment 2617926View attachment 2617927View attachment 2617928View attachment 2617947
Mwanza imeachwa na Arusha Kwa Kila kitu Hadi kwenye sekta ya Elimu .Mjengo umesimama[emoji91][emoji91][emoji91]
Chuo Cha benki kuuMwanza imeachwa na Arusha Kwa Kila kitu Hadi kwenye sekta ya Elimu .
Ujenzi wa Campus ya Chuo Kikuu Cha Utalii Tanzania-Arusha View attachment 2618468
Hako kajengo katawakoma...Mwanza mtanuna sana ,Arusha is on [emoji91][emoji91]View attachment 2617926View attachment 2617927View attachment 2617928View attachment 2617947
Hiki niniHako kajengo katawakoma...
Na haturingi[emoji116]View attachment 2618686
Noma ujenz umeshaanza au badoMwanza imeachwa na Arusha Kwa Kila kitu Hadi kwenye sekta ya Elimu .
Ujenzi wa Campus ya Chuo Kikuu Cha Utalii Tanzania-Arusha View attachment 2618468
Bro Kwan ukimpuuzia hyo choko unapungukiwa NiniChuo Cha benki kuuView attachment 2618682
ArushaHako kajengo katawakoma...
Na haturingi[emoji116]View attachment 2618686
Procurement.ujenzi wa mabey fly over mwanza...wapi arusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanza mumejipanga? Dom inawakalia,Arusha inawakalia [emoji16][emoji16]
Mwaka wa ngapi huu unaposti huo upuuzi?Procurement.ujenzi wa mabey fly over mwanza...wapi arusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2621028
Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli ..dumb..Kwa taarifa yako hyo hapo ni mpango wa maendeleo wa mwaka huu wa fedha unaoanza mwezi wa Saba ..mwaka Jana walikuwa wanatafuta fedha mwaka huu wanaanza manunuziMwaka wa ngapi huu unaposti huo upuuzi?
Umewahi kuona imetangazwa hata tender? 🤣🤣We kweli ..dumb..Kwa taarifa yako hyo hapo ni mpango wa maendeleo wa mwaka huu wa fedha unaoanza mwezi wa Saba ..mwaka Jana walikuwa wanatafuta fedha mwaka huu wanaanza manunuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nini maana ya kuanza manunuzi..au hyo elimu yako ya uhandisi inakusaidia kwenye kusukuma chapati tu...Umewahi kuona imetangazwa hata tender? [emoji1787][emoji1787]
Au inajengwa sehemu gani hapo uswazi City?