Mmeishiwa cha kupost, kila siku ni haka kajenga mwishoe katapauka, lakini dawa wa hili jengo ipo jikoni, kuna ujenzi wa sgr mwanza central station yenye uwezo wa kuchukua watu 1000 kwa wakati mmoja👇
Mmeishiwa cha kupost, kila siku ni haka kajenga mwishoe katapauka, lakini dawa wa hili jengo ipo jikoni, kuna ujenzi wa sgr mwanza central station yenye uwezo wa kuchukua watu 1000 kwa wakati mmoja👇View attachment 2629869
Unaleta vitu vya kimbuzi chukua hii hapa👇👇
Kwenye hichi kidaraja watu Huwa hawavuki Bora ingejengwa underpasseUnaleta vitu vya kimbuzi chukua hii hapa👇👇View attachment 2629911
Amna nchi au mkoa hata dar wanaojisifiaga daraja ...ni nyie tu wasukuma ..ushawah ona dar wanajisifia daraja la manzese?Unaleta vitu vya kimbuzi chukua hii hapa[emoji116][emoji116]View attachment 2629911
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]na Kuna Double road nyingine inajengwa Kutoka Kisongo Hadi Kilombero
Jifanye ukusikia kuhusu mabey flyover kujengwa Mwanza, hilo domo utalifunga tu.Kwenye hichi kidaraja watu Huwa hawavuki Bora ingejengwa underpasse
Nimeonesha daraja hapo? Nimeonesha barabara hata daraja lenyewe halipo.Amna nchi au mkoa hata dar wanaojisifiaga daraja ...ni nyie tu wasukuma ..ushawah ona dar wanajisifia daraja la manzese?
Dar ndio sehemu gani?Amna nchi au mkoa hata dar wanaojisifiaga daraja ...ni nyie tu wasukuma ..ushawah ona dar wanajisifia daraja la manzese?
Ni nini hiki?
[emoji3][emoji3] hizo ni picha za mtaani kwangu sio za kudownload,,, napenda kupiga picha na ndio sababu nilinunua simu ya mamilion[emoji3]Ni nini hiki?
[emoji1787][emoji1787] mimi sio kama nyie mpo bize kudownload picha mitandaoni alafu mnakuja kutamba humuNi nini hiki?
Nitumie Whatsapp huku picha hazifunguki natumia app[emoji1787][emoji1787] mimi sio kama nyie mpo bize kudownload picha mitandaoni alafu mnakuja kutamba humu
Kila picha ninayotupia humu nimeipiga mwenyewe [emoji1787] sio unaenda location kali halafu simu camera mbovuView attachment 2630523