Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Nimeshawajuza huko wamepita kimya kimya wengine wanatukana hovyo ππArusha ndo habari ya dunia kwa sasaView attachment 2639293
Jamaa kakujibu vizuri kabisa kuwa Mwanza haikui kwa utashi wa kisiasa, wewe mwenyewe unaona jinsi serikali ya hawamu hii inafanya mambo kama vile kuikomoa Mwanza wakizani wataidhoofisha, sisi yetu macho tu.Nimeshawajuza huko wamepita kimya kimya wengine wanatukana hovyo ππ
Dom CBDwanataka Mwanza liwe jiji la kale lililopotea kama kilwa kivinje
inajitaidi lakini kwa matrillion ya pesa yanayotupwa hapo yangewekezwa Mwanza hakika tungekuwa kama Jo"berg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanataka Mwanza liwe jiji la kale lililopotea kama kilwa kivinje
[emoji23][emoji23][emoji23]mtakomainajitaidi lakini kwa matrillion ya pesa yanayotupwa hapo yangewekezwa Mwanza hakika tungekuwa kama Jo"berg
hii awamu mpaka kuja kumaliza muda wake basi Mwanza itakuwa imeona moto, ila kila jambo lina muda wake.[emoji23][emoji23][emoji23]mtakoma
Mwanza tunaijenga wenyewe, favour zote wapeleke Arusha na Dodoma ila nafasi yetu katika rank iko pale pale aminini maneno yangu.hii awamu mpaka kuja kumaliza muda wake basi Mwanza itakuwa imeona moto, ila kila jambo lina muda wake.
Loosers wa Mwanza mnaitia huruma sana ππMwanza tunaijenga wenyewe, favour zote wapeleke Arusha na Dodoma ila nafasi yetu katika rank iko pale pale aminini maneno yangu.
Ni hatari sana na hapo TAMISEMI wametenga bilioni 800 kwa miundombinu ya jiji la Dar peke yake kila mwaka kwenye mradi wao wa DMDP, majiji mengine barabara hazina tofauti na jehanum, hii nchi ya ovyo sana.π€£π€£π€£
Sicheki Kwa mazuri ila nawacheka wanaojiita Jiji la pili Kwa Ukubwa,sie tulishazoea kitambosunk naona unacheka lakini mtaendelea kunyonywa na hilo lijiji lenu la kipindupindu
subiri nikiwa Rais huu ujinga utaisha wa kujali jiji moja, hakika Dar itakuwa kama lindiππππSicheki Kwa mazuri ila nawacheka wanaojiita Jiji la pili Kwa Ukubwa,sie tulishazoea kitambo
Ilo jengo litakomaAsee sio SA hapa ni ArushaView attachment 2640719
Unafurahia haka kajenga wakati huo barabara zenu na majiji mengine ni mabonde na matope, na muda huo TAMISEMI wanapeleka bilion 800 zingine kwenye miundombinu ya jiji lenu la Dar kwenye mradi wa DMDP.Asee sio SA hapa ni ArushaView attachment 2640719