Angalia mji wa Eldoret nchini kenya tena wala sio jiji ni township tuππAsee sio SA hapa ni ArushaView attachment 2640719
Vitu kama hivi ukitaka kuviona nenda Dar tu kwa Tanzania, na bado wajinga wanataka kushindanisha Tanzania na Kenya.Angalia mji wa Eldoret nchini kenya tena wala sio jiji ni township tuππ
View attachment 2640734
Haha achan na b 800 ni ile Jenngo la ubungo tu mtu mna machingaa complex ,mna Kariakoo, mna Soko la kisutu ,mna Soko la magomen duhUnafurahia haka kajenga wakati huo barabara zenu na majiji mengine ni mabonde na matope, na muda huo TAMISEMI wanapeleka bilion 800 zingine kwenye miundombinu ya jiji lenu la Dar kwenye mradi wa DMDP.
Sio eldoret tu vimiji vidogo kama kisii navo vimepiga hatua so poaAngalia mji wa Eldoret nchini kenya tena wala sio jiji ni township tu[emoji116][emoji116]
View attachment 2640734
Hii nchi imekalia kuwekeza Dar na dodoma majiji mengine ni kama mashamba yao, huu ushamba wa viongozi wetu utaisha lini?Sio eldoret tu vimiji vidogo kama kisii navo vimepiga hatua so poa
Kuna majiji mengine hayana masoko wala stendi lakini bado wanapeleka zaidi ya bilion 300 kwa ujenzi wa soko hapo ubungo.Haha achan na b 800 ni ile Jenngo la ubungo tu mtu mna machingaa complex ,mna Kariakoo, mna Soko la kisutu ,mna Soko la magomen duh
Ndio mana hata kungekuwa na majimbo kweliHii nchi imekalia kuwekeza Dar na dodoma majiji mengine ni kama mashamba yao, huu ushamba wa viongozi wetu utaisha lini?
Yan mi sielewi unakuta kiongozi amezaliwa mbarali uko kwao maskin ila anapamban kutengeneza dar huku kwao mbarali pakiendelea na wimbi la umaskiniKuna majiji mengine hayana masoko wala stendi lakini bado wanapeleka zaidi ya bilion 300 kwa ujenzi wa soko hapo ubungo.
Watanzania tukome kabisa hasa wa mikoani ...tunakimbilia mno dar ,Kila mtu dar hii imewafanya hata viongozi waone dar ndio Kila kitu ,,,ndo kwenye wapiga kura wengi .,, pengine tungekuwa na mindset ya kuangalia fursa sehemu nyingine haya yasingetokeaYan mi sielewi unakuta kiongozi amezaliwa mbarali uko kwao maskin ila anapamban kutengeneza dar huku kwao mbarali pakiendelea na wimbi la umaskini
Capripoint kwenye ubora wake.View attachment 2641463
Ruksa Kuzoom
Fikeni hapa kwanza πView attachment 2641463
Ruksa Kuzoom
Aiseee[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]Kama SAWatakwambia ni mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2642586View attachment 2642588View attachment 2642590View attachment 2642592
Kakipande kadogo ka Capri point [emoji3][emoji3]View attachment 2641463
Ruksa Kuzoom
Je ulishauliza kuhusu hili eneo la mwanzaππFikeni hapa kwanza π
Dawa ya haka kajengo ni hapa panapojengwa Mwanza central stationWatakwambia ni mbaya π€£π€£π€£π€£View attachment 2642586View attachment 2642588View attachment 2642590View attachment 2642592
Na hapa utasema ni ParisAiseee[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]Kama SA
Duh sasa mbona Mwanza karibia kila kitu Kiko karibu karibu ,ina mana mji mdogo au hamna maeneo mengineDawa ya haka kajengo ni hapa panapojengwa Mwanza central station
View attachment 2642991
Hiki niniNa hapa utasema ni Paris
View attachment 2642992