Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Punguza mihemko, huku ulikofikia siko, hiyo dar ikashindane kwanza na Harare, then iende hapo Nairobi ikitoka ikashindane na majiji ya south Africq kabla haijafika kushindana na majiji ya Europe, asia na America..
Hapa ni baadhi ya maeneo ya Berlin nchini Germain👇👇
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]mambo moto mjengo mpya unashushwaaView attachment 2644747
Kama hayo ni mambo moto je hapa chini ni zaidi ya volcano magma👇👇

Angalia hapo palipozungushiwa mabati ilo eneo wataanza ujenzi wa hotel ya nyota saba, ghorofa 25 kwenda juu lakini sisi wana Mwanza hata Haturingi tupo normal tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa pontetial ipi ya kujenga 7 stars Mwanza?
 
Kama choice alivo sema Mwanza sehemu nyingi uswazi kwingi embu cheki ghorofa hilo linalojengwa sehemu scattered kama hiyo
 
Hizi mbona ni render leta project ikiwa[emoji91][emoji91]..alafu mbna Kuna Arusha university kitambo
Acha ujinga tulikuwa tunaongelea city college, now wanajenga chuo kikuu kabisa, kama unataka ujenzi unavyoendelea nitaweka picha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…