ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hii ni render sio Chuo..Bado wanajenga chuo kikuu hapa Mwanza na sio huko porini Arusha.
City University Mwanza
View attachment 2645068View attachment 2645071View attachment 2645072
Mwanza universityHii ni render sio Chuo..
Arusha Technical 👇View attachment 2646170View attachment 2646171View attachment 2646172View attachment 2646173View attachment 2646174
Render 😁😁😁😁
Hata kama likiwa ni la bilioni 200 mwanza tunajivunia uwekezaji wa private sector.Render 😁😁😁😁
Usisahau kama mlilia lia Kwa jengo la PAP building la chini ya 40 bln Jiandaeni Kwa Kilio zaidi..
Bil.61 zimemwagwa Kwa African Court View attachment 2646219
Pesa za migodi ya dhahabuHata kama likiwa ni la bilioni 200 mwanza tunajivunia uwekezaji wa private sector.
Sasa maswa yetu imewakosea nn tena kuletwa hapaDurban utalinganisha na Addis? Wewe utakuwa mshamba wa Maswa
Watuonyeshe na maegesho ya mabasi Arusha.View attachment 2646281
Tuelewane kwanza, sio International Airport ni Bus terminal... 📸📸📸📸 by @kangaboy
Naomba mtupie mapicha picha wengine hatupo Mwanza! Honestly Mwanza kwa project za ujenzi wa gorofa nahisi inapamabana na Dar maana ninachokiona Dar maeneo yenye site nyingi za ujenzi wa gororfa ni kariakoo the rest ni project za serkali na mashirika yake!Nipo hapa nyegezi bus terminal mambo ni fire 🔥 karibuni katika ufunguzi huu
Sijakuelewa unachomanishaNaomba mtupie mapicha picha wengine hatupo Mwanza! Honestly Mwanza kwa project za ujenzi wa gorofa nahisi inapamabana na Dar maana ninachokiona Dar maeneo yenye site nyingi za ujenzi wa gororfa ni kariakoo the rest ni project za serkali na mashirika yake!
Maeneo mengine kama Tabata ,Sinza na kinondoni hamana ujenzi hata maeneo ya Mwenge kuelekea Morocco bado hakuna site mpya inayojengwa!
Namaanisha kuwa Mwanza ujenzi wa site ni mwingi sana hasa site za Gorofa! Ila kwa upande wa Dar ujebnzi sio mwingi sana upo kiasi kariakoo tu! Ila posta mpya ,sinza, Tabata ,kinondoni site ni chache sana!.Hiyo inaonesha jinsii gani Mwanza iliongoza!. Pia Mwanza kwenye sensa kwa nyumba zinazoendelea na ujenzi iliongoza kitaifa na uipiku mpaka Dar!Sijakuelewa unachomanisha
Sawa ila ujue ujenzi utaenda kwa awamu sio kwamba ni project ya jengo kubwa kama PAPU! Hapana! Awamu ya kwanza itagharimu bil 10!
Ndio ila kutakuwa na facilities kibao humo ndani kama.viwanja,shule za Watoto, hospital nkSawa ila ujue ujenzi utaenda kwa awamu sio kwamba ni project ya jengo kubwa kama PAPU! Hapana! Awamu ya kwanza itagharimu bil 10!
Bila shaka itakuwa na vifaa na kumbi mbali mbali na tasisi kibao za haki za binadamu!Ndio ila kutakuwa na facilities kibao humo ndani kama.viwanja,shule za Watoto, hospital nk
Hujaona Dodoma mkuuNamaanisha kuwa Mwanza ujenzi wa site ni mwingi sana hasa site za Gorofa! Ila kwa upande wa Dar ujebnzi sio mwingi sana upo kiasi kariakoo tu! Ila posta mpya ,sinza, Tabata ,kinondoni site ni chache sana!.Hiyo inaonesha jinsii gani Mwanza iliongoza!. Pia Mwanza kwenye sensa kwa nyumba zinazoendelea na ujenzi iliongoza kitaifa na uipiku mpaka Dar!