Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Bado wanajenga chuo kikuu hapa Mwanza na sio huko porini Arusha.

City University Mwanza
View attachment 2645068View attachment 2645071View attachment 2645072
Hii ni render sio Chuo..
Arusha Technical 👇
Screenshot_20230604-163854_1.jpg
Screenshot_20230604-163648_1.jpg
Screenshot_20230604-163616_1.jpg
Screenshot_20230604-163834_1.jpg
Screenshot_20230604-163932_1.jpg
 
Nipo hapa nyegezi bus terminal mambo ni fire 🔥 karibuni katika ufunguzi huu
Naomba mtupie mapicha picha wengine hatupo Mwanza! Honestly Mwanza kwa project za ujenzi wa gorofa nahisi inapamabana na Dar maana ninachokiona Dar maeneo yenye site nyingi za ujenzi wa gororfa ni kariakoo the rest ni project za serkali na mashirika yake!
Maeneo mengine kama Tabata ,Sinza na kinondoni hamana ujenzi hata maeneo ya Mwenge kuelekea Morocco bado hakuna site mpya inayojengwa!
 
Naomba mtupie mapicha picha wengine hatupo Mwanza! Honestly Mwanza kwa project za ujenzi wa gorofa nahisi inapamabana na Dar maana ninachokiona Dar maeneo yenye site nyingi za ujenzi wa gororfa ni kariakoo the rest ni project za serkali na mashirika yake!
Maeneo mengine kama Tabata ,Sinza na kinondoni hamana ujenzi hata maeneo ya Mwenge kuelekea Morocco bado hakuna site mpya inayojengwa!
Sijakuelewa unachomanisha
 
Sijakuelewa unachomanisha
Namaanisha kuwa Mwanza ujenzi wa site ni mwingi sana hasa site za Gorofa! Ila kwa upande wa Dar ujebnzi sio mwingi sana upo kiasi kariakoo tu! Ila posta mpya ,sinza, Tabata ,kinondoni site ni chache sana!.Hiyo inaonesha jinsii gani Mwanza iliongoza!. Pia Mwanza kwenye sensa kwa nyumba zinazoendelea na ujenzi iliongoza kitaifa na uipiku mpaka Dar!
 
Sawa ila ujue ujenzi utaenda kwa awamu sio kwamba ni project ya jengo kubwa kama PAPU! Hapana! Awamu ya kwanza itagharimu bil 10!
Ndio ila kutakuwa na facilities kibao humo ndani kama.viwanja,shule za Watoto, hospital nk
 
Namaanisha kuwa Mwanza ujenzi wa site ni mwingi sana hasa site za Gorofa! Ila kwa upande wa Dar ujebnzi sio mwingi sana upo kiasi kariakoo tu! Ila posta mpya ,sinza, Tabata ,kinondoni site ni chache sana!.Hiyo inaonesha jinsii gani Mwanza iliongoza!. Pia Mwanza kwenye sensa kwa nyumba zinazoendelea na ujenzi iliongoza kitaifa na uipiku mpaka Dar!
Hujaona Dodoma mkuu
 
Back
Top Bottom