Arusha mall ni jina hamna kitu pale ..by the way chukua aim mall na Arusha mall changanya Kwa pamoja bado ukubwa wa rock city hamtaufikia [emoji1787]Kwamb Rock City Mall mpka Leo mnajisifia nayo?!Kipind Rock City Mall inazinduliwa Arusha kulikuw hamna mall hata moja ..Leo hii Arusha Kuna Aim mall ,Kuna Arusha mall ,Mwanza Bado mmebaki kujisifia na mall moja alafu mnasema eti private sector nyingi zipo huko nonsense!
Hii bara bara saivi Ina Lami safi njoo Tena ujione.Kijenge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2670980
Full mabanda ya nguruwe huko milimaniHiyo ni mwanza jiji
Hawa ndio Huwa wanaicheka Mbeya 😁😁😁😁Hii bara bara saivi Ina Lami safi njoo Tena ujione.
Je huku mshaweka mazingira sawa?
Mwanza hiyoView attachment 2671595
Nimeona mabanda ya nguruwe dream houses kule background 😂😂😂😂Kelele kibao..huko Twitter mmepigwa spana za kutosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji116]View attachment 2670975View attachment 2670976
Baada ya Jana kupigwa za uso .. admin kaaamua kuwafariji [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiko wapi[emoji2][emoji23][emoji23] Mikdde View attachment 2671774
HUU utakua mtaa wakina majanabaKijenge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2670980
[emoji91][emoji91]Nimeona mabanda ya nguruwe dream houses kule background [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanza fishing village Big slum City mnatia aibu sana ,look at Arusha [emoji116]View attachment 2671681View attachment 2671682View attachment 2671683View attachment 2671684View attachment 2671685
Mnachosha watu tuu,fikieni Kwa Tanga ndio mshindane na Arusha
Hiz ndo nyingi huko [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Mnachosha watu tuu,fikieni Kwa Tanga ndio mshindane na Arusha
Godown la kuku poa [emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila siku mim Huwa nasema ma Architecture wa bongo kazi bure...we tazama hata ikulu ya dodoma ...walishindwa kupanda hata miti wameacha panaonekana jangwa
Naweza nikakuuliza hapa ni wapi ukashindwa kujibu, Arusha huijui...Nimeona mabanda ya nguruwe dream houses kule background [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanza fishing village Big slum City mnatia aibu sana ,look at Arusha [emoji116]View attachment 2671681View attachment 2671682View attachment 2671683View attachment 2671684View attachment 2671685
Nataka suruali kama ya Juma ile aliyonunua elf 50Yani wasukuma washamba sana ,wamekuja ofisini kwangu kununua bidhaa then wanaongea kisukuma
Wasisahau Shenzhen ni Mji wenye Magorofa mengi kuliko ata jiji la Kibiashara la ShanghaiSwafi kabisa. Mwanza haisubiri matunda ya royal tour kutusua, washikaji wanadhani idadi ya maghorofa ndo kuwa juu. Hawajui kwamba unaweza kufika nyumba x isiyo ya ghorofa ila unaisho kama uko peponi. Hadi ujenzi unaoendelea kwa takwimu za 2022 mwanza ni kinara kumpiku hadi dsm.