ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hayo matumiz makubwa ya umeme yatatoka wapi wakati Mwanza unapata umeme kwa masaa hivyo viwanda vya mwanza vitatumia umeme gani kila siku umeme hamna toka mwaka 2021.Wakuu hakuna battle hapa naona tunaionea Mwanza Bure, haiwezekani inazidiwa na Arusha Kwa Kila kitu πππ
Ona hapa Sasa kwenye umeme ni aibu,Size ya Mwanza ni Mbeya wote wako bottom 5 ππ
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1705188838203658494?t=s05hZQxeyzgwLXyPxkZS1A&s=19
Wapi ambako umeme uko full hauko Kwa masaa? Acha visingizio wewe.Hayo matumiz makubwa ya umeme yatatoka wapi wakati Mwanza unapata umeme kwa masaa hivyo viwanda vya mwanza vitatumia umeme gani kila siku umeme hamna toka mwaka 2021.
Kanda ya ziwa hasa kagera na geita wanatumia umeme wa uganda.Wapi ambako umeme uko full hauko Kwa masaa? Acha visingizio wewe.
Hivi Bado GGM hajaunganishwa na grid ya Taifa? Mbona kama Geita Hakuna kitu?
Hujanijibu hoja yangu,Kwa mara ya mwisho walikuwa mbioni kuwasha hapo mgodini na ndio nauliza huo mradi tayari au Bado?Kanda ya ziwa hasa kagera na geita wanatumia umeme wa uganda.
Wanatumia vyanzo vyao na bado hawajaunganishwa na grid ya taifa.Hujanijibu hoja yangu,Kwa mara ya mwisho walikuwa mbioni kuwasha hapo mgodini na ndio nauliza huo mradi tayari au Bado?
Kwann nihangaike na Takwimu uchwara ambazo zinafanywa kufrahisha kikundi flani cha watu, umewah fika UDOM? Pale wanafunz wengi ni Wasukuma, nenda CBETakwimu zinasema ukweli acha kujifariji.
Pia kuzaana hovyo kumeziidi.
GGM hawajawah tumia ushuzi wa Tanesco Wale wanazalisha wenyewWapi ambako umeme uko full hauko Kwa masaa? Acha visingizio wewe.
Hivi Bado GGM hajaunganishwa na grid ya Taifa? Mbona kama Geita Hakuna kitu?
Sizitaki mbichi hizi when they are against your favor π€£π€£π€£π€£Kwann nihangaike na Takwimu uchwara ambazo zinafanywa kufrahisha kikundi flani cha watu, umewah fika UDOM? Pale wanafunz wengi ni Wasukuma, nenda CBE
Nenda UDOM ndo utaelewa nn nasemaTakwimu zinasema ukweli acha kujifariji.
Pia kuzaana hovyo kumeziidi.
Udom kumefanya nini? Kama mko.wengi na mnaacha wengi shida Iko wapi?Nenda UDOM ndo utaelewa nn nasema
Wasomi wengi UDOM ni wasukuma, CBE wengi Lake Zone sina uhakika kwa UDSM na Vyuo VingineUdom kumefanya nini? Kama mko.wengi na mnaacha wengi shida Iko wapi?
Inabadilisha nini kwenye takwimu ikiwa wanaoongoza Kwa uzazi mkubwa ni hao hao Wasukuma? Ndio maana hata shule mnaacha wengiWasomi wengi UDOM ni wasukuma, CBE wengi Lake Zone sina uhakika kwa UDSM na Vyuo Vingine
Hako kajengo hakana maajabu bado stendi ya msamvu itakuwa bora kuliko hii, render huwa zinakuwa tofauti na kitu halisi, naona mabanda ya kufugis kuku kuzinguka stendi pamoja na kajengo kama ka kituo cha afya katikati.
Endeleeni kuokoteza picha za kutengeneza.Mwanza mbona wachafu hivi?! ..Arusha huwezi Kuta huu ujingaView attachment 2761948View attachment 2761949